Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Unanichosha tyuu!! Niko busy kuandaa uzi wa kumuonyesha hisia zangu Mh DC Nikki wa pili, sasa ww na hizo hekaheka zako km za pimbi unanipoteza..!! Labda km una maneno mazuri ya kunisaidia niongezee sawa karibu.
Btw nilitaka kusahau niliona kuna nyuzi ulianzisha za kumsifia una contact zake unisaidie?? Puliiiz dia ex nisaidiee basi
 
Ww ndio maana nakuambiaga hujielewi, na haya mapovu yako na maneno yako ya ajabu ndio yamefanya nikuone mtu wa hovyo sana
Two weeks back ulinitolea povu hivi hivi na maneno mengi kweli kuwa najuana na lovelove mara najuana na antonnia, Mara nashirikiana nao maadui zako kukuhujumu kila ujinga uliandika. Hapo ndio niliona ww ni chenga sana

Leo tena umekuja na yaleyale. Unajistukia sana. Nilikuambia hii tabia yako nitaukomesha maana ulikua unanigeuza jalala
Kumekuchaaaaa!!!!
 
Bado hujasema, naona mna mipango mingi sana. Kazi iendelee
Kwanini umekubali siku zote hizo kugeuzwa jalala??? Tena na mtu unayemuita hajielewi??
Kantry unanichosha una lingine, ukiacha mipango yenu ya mtungo na genge lako??
Woiiiiii!!!!! Ni hatariiiii
 
Najua ni mgumu wa kuelewa, lakini nakueleza tena kwa lugha rahisi nitakujibu endapo nitapoona ujinga wako wowote ambao najua unanihusu, hiyo ndio maana

Kuna muda nakuonea huruma ndio maana nipo very polite, najua hizi mbanga zote ni vile faraja yako ndivyo inavyopatikana kutokana na maisha ya upweke unayoishi
Kumepambazukaaaaa hukuuu!!!
 
Nilikuambia nachokijibu nakijua, na wala hili sidhani kama lina mjadala

Kuhusu faraja, hata mm niliikosa na kuipata kwako hivyo hivyo na ww wala haihitaji kukanusha na kutafuta ushahidi kwenye hili ikiwa ukweli unajua. Na sio dhambi, binadamu wote hupitia hiyo hali kwa kipindi flani, kukataa ni kujaribu kuuficha mnazi ndani ya nyumba
Duuuuuh!!!!
 
Kumbe humu ndaniii kuliwakaaa kinomaaa!!! Mbona hatareeee.
woiiiiiiiih. Danger 4 D.
 
Back
Top Bottom