cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Mashallah uduguu
Baibui limepoaaaaa!! Nakuja kula pilau. Coca twende kwa uduguu wetu tukasherekee Idd kubwa![]()




kwanini lakiniii?Mashallah uduguu
Baibui limepoaaaaa!! Nakuja kula pilau. Coca twende kwa uduguu wetu tukasherekee Idd kubwa![]()




kwanini lakiniii?Unanichosha tyuu!! Niko busy kuandaa uzi wa kumuonyesha hisia zangu Mh DC Nikki wa pili, sasa ww na hizo hekaheka zako km za pimbi unanipoteza..!! Labda km una maneno mazuri ya kunisaidia niongezee sawa karibu.
Btw nilitaka kusahau niliona kuna nyuzi ulianzisha za kumsifia una contact zake unisaidie?? Puliiiz dia ex nisaidiee basi![]()





JamaniiiiPunguza presha, relax, fanya mazoezi ya kutosha kula mayai mabichi, muziki wote unaanzia kwenye do re mi fa se la ti do





Kumekuchaaaaa!!!!Ww ndio maana nakuambiaga hujielewi, na haya mapovu yako na maneno yako ya ajabu ndio yamefanya nikuone mtu wa hovyo sana
Two weeks back ulinitolea povu hivi hivi na maneno mengi kweli kuwa najuana na lovelove mara najuana na antonnia, Mara nashirikiana nao maadui zako kukuhujumu kila ujinga uliandika. Hapo ndio niliona ww ni chenga sana
Leo tena umekuja na yaleyale. Unajistukia sana. Nilikuambia hii tabia yako nitaukomesha maana ulikua unanigeuza jalala
Woiiiiii!!!!! Ni hatariiiiiBado hujasema, naona mna mipango mingi sana. Kazi iendelee
Kwanini umekubali siku zote hizo kugeuzwa jalala??? Tena na mtu unayemuita hajielewi??
Kantry unanichosha una lingine, ukiacha mipango yenu ya mtungo na genge lako??





Kumepambazukaaaaa hukuuu!!!Najua ni mgumu wa kuelewa, lakini nakueleza tena kwa lugha rahisi nitakujibu endapo nitapoona ujinga wako wowote ambao najua unanihusu, hiyo ndio maana
Kuna muda nakuonea huruma ndio maana nipo very polite, najua hizi mbanga zote ni vile faraja yako ndivyo inavyopatikana kutokana na maisha ya upweke unayoishi
Duuuuuh!!!!Nilikuambia nachokijibu nakijua, na wala hili sidhani kama lina mjadala
Kuhusu faraja, hata mm niliikosa na kuipata kwako hivyo hivyo na ww wala haihitaji kukanusha na kutafuta ushahidi kwenye hili ikiwa ukweli unajua. Na sio dhambi, binadamu wote hupitia hiyo hali kwa kipindi flani, kukataa ni kujaribu kuuficha mnazi ndani ya nyumba
Una pa kula iddy?? 😂😂😂kwanini lakiniii?
Kumekucha ilooo umepitwa 🤣🤣🤣
Uduguu acha umbea 😂😂Kumepambazukaaaaa hukuuu!!!
Kichaka umefyeka kwanza?? Hatutaki kutishana wifi 😂😂😂😂uzi umepoooooa sasa,,sijui nipite uchi
duh asante kwa kunikumbsha wifi angu😂😂sjakata almost 3 monthsKichaka umefyeka kwanza?? Hatutaki kutishana wifi 😂😂😂😂
😂😂😂😂 Nimecheka uduguu eti napangiwa mtungo.!! Kuna vitu vinachekesha sana.!!Woiiiiii!!!!! Ni hatariiiii
![]()
Sometimes,Umekuwa njiwa siku hizi, mzee wa Hall 5 😁😁😁😁😁