sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 21,039
- 48,152
Sometimes,Umekuwa njiwa siku hizi, mzee wa Hall 5 😁😁😁😁😁
Uko pouwa??
Sometimes,Umekuwa njiwa siku hizi, mzee wa Hall 5 😁😁😁😁😁
Whaaaaaatt.!! 🤣🤣🤣🤣🤣duh asante kwa kunikumbsha wifi angu😂😂sjakata almost 3 months
Niko poa kabisa, hofu kwako. Nimesubiri mualiko kimya....Sometimes,
Uko pouwa??
niwe na kipilipili mi uwoya😂😂😂😂we vip bwanWhaaaaaatt.!! 🤣🤣🤣🤣🤣
Kipilipili dot com, wifi nyoka akiingia si atazama mazima??
Umewahi...Niko poa kabisa, hofu kwako. Nimesubiri mualiko kimya....
Sio nonino? 🤣🤣🤣🤣niwe na kipilipili mi uwoya😂😂😂😂we vip bwan
Asante hivi wewe ni Ex? Best? Ama maana Selfika na hekaheka mpaka nasahau 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Location Bonyokwa... natia timuUmewahi...
Nilikuwa nakutafuta nikujulishe
Karibu sikukuu.
😂😂😂 Tuishie apa nduguSio nonino? 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂Asante hivi wewe ni Ex? Best? Ama maana Selfika na hekaheka mpaka nasahau 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Location Bonyokwa... natia timu
Selfica haina maex wa kudumu 😂😂😂Asante hivi wewe ni Ex? Best? Ama maana Selfika na hekaheka mpaka nasahau 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Location Bonyokwa... natia timu
😂😂😂😂 Si mimi wifiyo nnacho au??😂😂😂 Tuishie apa ndugu
Weee usiniuze, nyie ndiyo mnajuana wiki ijayo mahaba motomoto. Huyo ni wako wa kufa na kuzikana.Selfica haina maex wa kudumu 😂😂😂
Hapa mimi peke yangu ndo ntatoboa, nyie mkipeana maneno ya mahaba mnarudiana chap
ila weekend bwan 😂😂😂kwanza nna njaa apa ngoj ntafte mabaki😂😂😂😂 Si mimi wifiyo nnacho au??
Kweli sie tulipofikia baba Jeni bye bye 😂😂😂Weee usiniuze, nyie ndiyo mnajuana wiki ijayo mahaba motomoto. Huyo ni wako wa kufa na kuzikana.
Wifi kula unapenda ila mwili tu ndo umekataa 🤣🤣🤣🤣ila weekend bwan 😂😂😂kwanza nna njaa apa ngoj ntafte mabaki
Nani anataka kuumbuka? Kesho tunawakuta babe kibao. Tunawangalia tu, kuumbuka mwisho mwaka jana 🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸Kweli sie tulipofikia baba Jeni bye bye 😂😂😂
Haina kugeuka nyuma, ila nyie ndio hamuaminiki.!! Ila nimecheka yani tunagombana watu wametulia tuli hawachangii.!! Mmoja kajitokeza kamuunga mkono mbele kamkataa 🤣🤣🤣🤣
Kuna vitu vinachekesha sana, hii tabia sijaizoea selfika… hapa ilitakiwa wawe wanakazia na kuchochea