Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,193
- 33,577
Hayo ya mtungo hapanamvute akijaa tumpige mtungo
Hayo ya mtungo hapanamvute akijaa tumpige mtungo
kujikuta mtulivu mwenyewe mxiuuuUfungwe ila sitaki kuwa mmojawapo wa wakorofi
Mm na studio wapi na wapiStudio yako iko wapi nije kuanza mazoezi?
Bado hamjasema kumbe ndio kikao mlichokaa 🤣🤣🤣Hayo ya mtungo hapana
Kwenye maisha ogopa kugombana na ex public, hakuna mtakachokipata zaidi ya fedhea. Huwa niko mbele ya muda.kujikuta mtulivu mwenyewe mxiuuu
basi utanikabidhi Mimi nakikosi changu tumuonyeshe wanaume tupojeHayo ya mtungo hapana
Huku ni kujistukia sasa, huyo kadandia tu gari. Huwa sinaga ushirika wala urafiki na yoyoteBado hamjasema kumbe ndio kikao mlichokaa 🤣🤣🤣
Km Nchi ya baba yenu hii mtafanikiwa, mimi narekodi tu kazi yangu.
Unakataa maneno yako? Si umetoka kunifundisha nota hapo juu!!Mm na studio wapi na wapi
Ww uliza Leo na-bet vipi mechi
nawewe kwanin ugombane kama sio mgomvi kaa kmya,, ignoreKwenye maisha ogopa kugombana na ex public, hakuna mtakachokipata zaidi ya fedhea. Huwa niko mbele ya muda.
Ww ukisimulia watu ndege ilivyo tafsiri yake unamiliki ndege?Unakataa maneno yako? Si umetoka kunifundisha nota hapo juu!!
Who knows? Jf ni kichaka ohh!!Huku ni kujistukia sasa, huyo kadandia tu gari. Huwa sinaga ushirika wala urafiki na yoyote
utajaa tuu hatakama nimiaka Kumi mbele.tena Kwa ID ambayo hutaizania kabisaBado hamjasema kumbe ndio kikao mlichokaa 🤣🤣🤣
Km Nchi ya baba yenu hii mtafanikiwa, mimi narekodi tu kazi yangu.
Penseli tuliza boli dogo, naona unataka kunichosha sasabasi utanikabidhi Mimi nakikosi changu tumuonyeshe wanaume tupoje
🤐🤐🤐 nimeacha wifinawewe kwanin ugombane kama sio mgomvi kaa kmya,, ignore
nyie ndio ninao watakaWho knows? Jf ni kichaka ohh!!
Nikupongeze tu kwa mipango yako na watu wako, ila nakukumbusha hii Nchi sio yenu. Ukijua hili wenzio wanajua lile
mimisiohuyo unae mfikiriaPenseli tuliza boli dogo, naona unataka kunichosha sasa
Safi sana🤐🤐🤐 nimeacha wifi
Tuta adopt..Mayai ya kupata watoto sina mwenzio yote viza 😂
Huwezi kusimulia kitu usichokijua, hapo ww umerekebisha na kukosoaWw ukisimulia watu ndege ilivyo tafsiri yake unamiliki ndege?
Ww ndio maana nakuambiaga hujielewi, na haya mapovu yako na maneno yako ya ajabu ndio yamefanya nikuone mtu wa hovyo sanaWho knows? Jf ni kichaka ohh!!
Nikupongeze tu kwa mipango yako na watu wako, ila nakukumbusha hii Nchi sio yenu. Ukijua hili wenzio wanajua lile