Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,235
- 86,950
Muwe mnanishtua mkianza kuchachuana si nimewaambia mi shabiki yenu 😂😂😂Vipi umeamkajee? Umeni mic eeh?
J2 njema!!!
Muwe mnanishtua mkianza kuchachuana si nimewaambia mi shabiki yenu 😂😂😂Vipi umeamkajee? Umeni mic eeh?
J2 njema!!!
😂😂😂 Si ndio mtafute wote watotoBro ni muda sasa uwe na mke na watoto, umri umeenda..
Mchachue bana 😂😂😂wee leo cna mood ya kukuchachua, Leo ni sikukuu na pia ni j2 siku ya utulivu na amaniiii.
Tukutaneee keshoo.
Yaani kajileta mwenyewe 😂😂 yaani nyieee😂😂😂😂 Nimecheka wifi
Huyo bff wangu tunaongea pm khs kusali na kufunga novena tu. Ila bff wa miubuyu mwingine
Upo lodgeKitambo sana mbona!!
Takbiiiiiiiiiiiirrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!💫💫💫
Mi nataka nitafute watoto na wewe..😂😂😂 Si ndio mtafute wote watoto
Shem kwa nani?Shem jana ulikuwa wapi? 😂😂😂
Ndo maana unaandika kama mtu mwenye dhambi😁ata sijaenda yani
Toka zako😂😂Ndo maana unaandika kama mtu mwenye dhambi😁
Nimeenda ibadani kwa Nia njema nikakuta harambee 😁😁😁Toka zako😂😂
utaenda tena kwelNimeenda ibadani kwa Nia njema nikakuta harambee 😁😁😁
Mi naendaga hata pawe na niniutaenda tena kwel
unajiharambee naweweMi naendaga hata pawe na nini
Hvo hvo tunaishi nazounajiharambee nawewe
😂😂😂 kajileta bff wangu, na bado wengine watajileta si nimekwambia nna ma bff wengi humu.!! Kaa uwaone watakavyotiririkaYaani kajileta mwenyewe 😂😂 yaani nyieee
Mayai ya kupata watoto sina mwenzio yote viza 😂Mi nataka nitafute watoto na wewe..
Si kwa cocaShem kwa nani?
karibu na kanisani kwetu basiHvo hvo tunaishi nazo