Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mna mipango mpk mmeitana, sema huyo mwenzio mtu mihemko kakuharibia mapema. Hamjapangana vizuri kabla ya kuja kuniattack
We ni kichwa maji hasa, kila siku ni mtu wa kujistukia mno. Sasa mm na penseli wapi na wapi. Na hii nilikuambia kwenye mengine mengi, acha kunihusisha na vitu vya hovyo. Lakini ukilala ukiamka unakuja na jipya
Mara nitakua najuana na huyu, mara ninajuana na yule
Acha ujinga
 
Sishangai vijana wa Arusha kuvuta bangi na kuwa rafu ni sehemu ya swaga zenu, hata unavyotetea kwa upande wako uko sahihi.!!
Ila kwetu sisi km jamii ya watu waliostaarabika lazima tushangae na hii ni kwa wote ke na me.
Inashangaza zaidi ikiwa kwa mwanamke, kwa mwanaume hakuna sana noma
 
We ni kichwa maji hasa, kila siku ni mtu wa kujistukia mno. Sasa mm na penseli wapi na wapi. Na hii nilikuambia kwenye mengine mengi, acha kunihusisha na vitu vya hovyo. Lakini ukilala ukiamka unakuja na jipya
Mara nitakua najuana na huyu, mara ninajuana na yule
Acha ujinga
Pole, msuka mipango mwenzio kakuumbua mapema kabisa.!! Niwatakie jpili njema na mipango mema. Una lingine?? Naomba leo maliza yote unayotaka kusema sababu baada ya hapa sitakuwa na muda wa kukujibu tena.!!
 
Pole, msuka mipango mwenzio kakuumbua mapema kabisa.!! Niwatakie jpili njema na mipango mema. Una lingine?? Naomba leo maliza yote unayotaka kusema sababu baada ya hapa sitakuwa na muda wa kukujibu tena.!!
Ww akili huna kabisa, kila muda unajistukia
Mm lingine litakuwepo pale nitapoona ujinga wako, hapo lazima nitakuchana hiyo kazi nimekuambia nitaifanya
Hutakua na muda wa kunijibu? Sema huwa unajipandisha sana mabega
 
Ww akili huna kabisa, kila muda unajistukia
Mm lingine litakuwepo pale nitapoona ujinga wako, hapo lazima nitakuchana hiyo kazi nimekuambia nitaifanya
Hutakua na muda wa kunijibu? Sema huwa unajipandisha sana mabega
Unajipa kazi ambayo mwenyewe sitaki unifanyie!! Uko sawa kweli??
Wewe mwenye akili kwann usitulie muda wote unanifatilia nisiye na akili??
Kabla ya kunichana anza kujitafutia tiba ya matatizo uliyonayo
 
Unajipa kazi ambayo mwenyewe sitaki unifanyie!! Uko sawa kweli??
Wewe mwenye akili kwann usitulie muda wote unanifatilia nisiye na akili??
Kabla ya kunichana anza kujitafutia tiba ya matatizo uliyonayo
Najua ni mgumu wa kuelewa, lakini nakueleza tena kwa lugha rahisi nitakujibu endapo nitapoona ujinga wako wowote ambao najua unanihusu, hiyo ndio maana

Kuna muda nakuonea huruma ndio maana nipo very polite, najua hizi mbanga zote ni vile faraja yako ndivyo inavyopatikana kutokana na maisha ya upweke unayoishi
 
Hivi uko sawa kweli?? Umeamka na pombe kichwani?? Nimegundua ww bila mimi huwezi ku survive, yani unaforce kabisa nikujibu ovyo?!! Wahi tiba haraka
Umeshindwa tena kuelewa maana ya sauti ipo chini
Bila we siwezi kusurive? Ngoja niache hili but ukweli unaujua
 
Najua ni mgumu wa kuelewa, lakini nakueleza tena kwa lugha rahisi nitakujibu endapo nitapoona ujinga wako wowote ambao najua unanihusu, hiyo ndio maana

Kuna muda nakuonea huruma ndio maana nipo very polite, najua hizi mbanga zote ni vile faraja yako ndivyo inavyopatikana kutokana na maisha ya upweke unayoishi
Wapi umehusishwa?? Halafu hiyo ya upweke umeikomalia!! Lini niliomba faraja yako? Hebu acha kujipa umuhimu kwenye maisha yangu.
 
Back
Top Bottom