Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,235
- 86,950
Uwe na misingi ya kiumeniHaina shida mrembo, hio assignment rahisi sana, kingine?
Uwe na misingi ya kiumeniHaina shida mrembo, hio assignment rahisi sana, kingine?
Babu huyo 😍😍😍😍
oya eeeeeeeHaina shida mrembo, hio assignment rahisi sana, kingine?
We ni kichwa maji hasa, kila siku ni mtu wa kujistukia mno. Sasa mm na penseli wapi na wapi. Na hii nilikuambia kwenye mengine mengi, acha kunihusisha na vitu vya hovyo. Lakini ukilala ukiamka unakuja na jipyaMna mipango mpk mmeitana, sema huyo mwenzio mtu mihemko kakuharibia mapema. Hamjapangana vizuri kabla ya kuja kuniattack
Umemaliza mrembo, mi nina misingi ya kiumeni toka kitambo..Uwe na misingi ya kiumeni
Inashangaza zaidi ikiwa kwa mwanamke, kwa mwanaume hakuna sana nomaSishangai vijana wa Arusha kuvuta bangi na kuwa rafu ni sehemu ya swaga zenu, hata unavyotetea kwa upande wako uko sahihi.!!
Ila kwetu sisi km jamii ya watu waliostaarabika lazima tushangae na hii ni kwa wote ke na me.
Pole, msuka mipango mwenzio kakuumbua mapema kabisa.!! Niwatakie jpili njema na mipango mema. Una lingine?? Naomba leo maliza yote unayotaka kusema sababu baada ya hapa sitakuwa na muda wa kukujibu tena.!!We ni kichwa maji hasa, kila siku ni mtu wa kujistukia mno. Sasa mm na penseli wapi na wapi. Na hii nilikuambia kwenye mengine mengi, acha kunihusisha na vitu vya hovyo. Lakini ukilala ukiamka unakuja na jipya
Mara nitakua najuana na huyu, mara ninajuana na yule
Acha ujinga
Hapo sawa!! Kidogo unaanza kuja kujaUmemaliza mrembo, mi nina misingi ya kiumeni toka kitambo..
Basi sawa ombea kizazi chako kisipate majanga km hayoInashangaza zaidi ikiwa kwa mwanamke, kwa mwanaume hakuna sana noma
😂😂😂😂We kinega unasemaje?
Kidole kimefanyaje Mjukuu 😜Babu nimekariri kidole hicho🤸
Hujambo Mjukuu?Babu huyo 😍😍😍😍
Babu hiyo saa umenunua Bei gani na brand gani? Nataka nimpe zawadi mjukuu wako nimeipenda
Ww akili huna kabisa, kila muda unajistukiaPole, msuka mipango mwenzio kakuumbua mapema kabisa.!! Niwatakie jpili njema na mipango mema. Una lingine?? Naomba leo maliza yote unayotaka kusema sababu baada ya hapa sitakuwa na muda wa kukujibu tena.!!
Sauti ipo chini sanaBasi sawa ombea kizazi chako kisipate majanga km hayo
Sijambo babu!Hujambo Mjukuu?
Brand ni Edifice, nilinunua Mwaka 47
Unajipa kazi ambayo mwenyewe sitaki unifanyie!! Uko sawa kweli??Ww akili huna kabisa, kila muda unajistukia
Mm lingine litakuwepo pale nitapoona ujinga wako, hapo lazima nitakuchana hiyo kazi nimekuambia nitaifanya
Hutakua na muda wa kunijibu? Sema huwa unajipandisha sana mabega
Hivi uko sawa kweli?? Umeamka na pombe kichwani?? Nimegundua ww bila mimi huwezi ku survive, yani unaforce kabisa nikujibu ovyo?!! Wahi tiba harakaSauti ipo chini sana
Najua ni mgumu wa kuelewa, lakini nakueleza tena kwa lugha rahisi nitakujibu endapo nitapoona ujinga wako wowote ambao najua unanihusu, hiyo ndio maanaUnajipa kazi ambayo mwenyewe sitaki unifanyie!! Uko sawa kweli??
Wewe mwenye akili kwann usitulie muda wote unanifatilia nisiye na akili??
Kabla ya kunichana anza kujitafutia tiba ya matatizo uliyonayo
Umeshindwa tena kuelewa maana ya sauti ipo chiniHivi uko sawa kweli?? Umeamka na pombe kichwani?? Nimegundua ww bila mimi huwezi ku survive, yani unaforce kabisa nikujibu ovyo?!! Wahi tiba haraka
Wapi umehusishwa?? Halafu hiyo ya upweke umeikomalia!! Lini niliomba faraja yako? Hebu acha kujipa umuhimu kwenye maisha yangu.Najua ni mgumu wa kuelewa, lakini nakueleza tena kwa lugha rahisi nitakujibu endapo nitapoona ujinga wako wowote ambao najua unanihusu, hiyo ndio maana
Kuna muda nakuonea huruma ndio maana nipo very polite, najua hizi mbanga zote ni vile faraja yako ndivyo inavyopatikana kutokana na maisha ya upweke unayoishi