Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,193
- 33,577
Sawa ibaki hivyoHuwezi kusimulia kitu usichokijua, hapo ww umerekebisha na kukosoa
Sawa ibaki hivyoHuwezi kusimulia kitu usichokijua, hapo ww umerekebisha na kukosoa
Usotafute mchawi, una tabia za hovyo. Mara nyingi nimekuambia punguza au acha kabisa.Kwenye maisha ogopa kugombana na ex public, hakuna mtakachokipata zaidi ya fedhea. Huwa niko mbele ya muda.
Una pesa za kulea mtoto?Tuta adopt..
Kwani ni bilioni ngapi?Una pesa za kulea mtoto?
vidole vyaajuza🤣🤣🤣🤣
Bado hujasema, naona mna mipango mingi sana. Kazi iendeleeWw ndio maana nakuambiaga hujielewi, na haya mapovu yako na maneno yako ya ajabu ndio yamefanya nikuone mtu wa hovyo sana
Two weeks back ulinitolea povu hivi hivi na maneno mengi kweli kuwa najuana na lovelove mara najuana na antonnia, Mara nashirikiana nao maadui zako kukuhujumu kila ujinga uliandika. Hapo ndio niliona ww ni chenga sana
Leo tena umekuja na yaleyale. Unajistukia sana. Nilikuambia hii tabia yako nitaukomesha maana ulikua unanigeuza jalala
Safi..Bado hujasema, naona mna mipango mingi sana. Kazi iendelee
Kwanini umekubali siku zote hizo kugeuzwa jalala??? Tena na mtu unayemuita hajielewi??
Kantry unanichosha una lingine, ukiacha mipango yenu ya mtungo na genge lako??
Wewe zako nzuri? Unapimia kipimo gani kunijudge tabia zangu, ikiwa zako huzioni?Usotafute mchawi, una tabia za hovyo. Mara nyingi nimekuambia punguza au acha kabisa.
Umeona sasa, huku kujistukia kwako ndio uhovyo wako ulipoBado hujasema, naona mna mipango mingi sana. Kazi iendelee
Kwanini umekubali siku zote hizo kugeuzwa jalala??? Tena na mtu unayemuita hajielewi??
Kantry unanichosha una lingine, ukiacha mipango yenu ya mtungo na genge lako??
Mtaani kijana akiwa mvuta bangi na msela na rafu rafu huwa haishangaziWewe zako nzuri? Unapimia kipimo gani kunijudge tabia zangu, ikiwa zako huzioni?
Mtoto anahitaji pia muda wa walezi wake, na uhakikishe unakuwa na tabia ambazo zitakuwa mfano bora kwake.!! Khs pesa pia nazo ni nyingi zinahitajikaKwani ni bilioni ngapi?
Mtoto anahitaji pia muda wa walezi wake, na uhakikishe unakuwa na tabia ambazo zitakuwa mfano bora kwake.!! Khs pesa pia nazo ni nyingi zinahitajika
Haina shida mrembo, hio assignment rahisi sana, kingine?Mtoto anahitaji pia muda wa walezi wake, na uhakikishe unakuwa na tabia ambazo zitakuwa mfano bora kwake.!! Khs pesa pia nazo ni nyingi zinahitajika
Mna mipango mpk mmeitana, sema huyo mwenzio mtu wa mihemko kakuharibia mapema. Hamjapangana vizuri kabla ya kuja kuniattackUmeona sasa, huku kujistukia kwako ndio uhovyo wako ulipo
Babu nimekariri kidole hicho🤸
Nakupa 100% na ❤️ wangu juu.
Sishangai vijana wa Arusha kuvuta bangi na kuwa rafu ni sehemu ya swaga zenu, hata unavyotetea kwa upande wako uko sahihi.!!Mtaani kijana akiwa mvuta bangi na msela na rafu rafu huwa haishangazi
Lakini binti akiwa mvuta bangi, msela na rafu rafu huwa inashangza
Naamini umenielewa