Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,235
- 86,950
Whaaaaaatt.!! 🤣🤣🤣🤣🤣duh asante kwa kunikumbsha wifi angu😂😂sjakata almost 3 months
Kipilipili dot com, wifi nyoka akiingia si atazama mazima??
Whaaaaaatt.!! 🤣🤣🤣🤣🤣duh asante kwa kunikumbsha wifi angu😂😂sjakata almost 3 months
Niko poa kabisa, hofu kwako. Nimesubiri mualiko kimya....Sometimes,
Uko pouwa??
niwe na kipilipili mi uwoya😂😂😂😂we vip bwanWhaaaaaatt.!! 🤣🤣🤣🤣🤣
Kipilipili dot com, wifi nyoka akiingia si atazama mazima??
Umewahi...Niko poa kabisa, hofu kwako. Nimesubiri mualiko kimya....
Sio nonino? 🤣🤣🤣🤣niwe na kipilipili mi uwoya😂😂😂😂we vip bwan
Asante hivi wewe ni Ex? Best? Ama maana Selfika na hekaheka mpaka nasahau 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Location Bonyokwa... natia timuUmewahi...
Nilikuwa nakutafuta nikujulishe
Karibu sikukuu.
😂😂😂 Tuishie apa nduguSio nonino? 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂Asante hivi wewe ni Ex? Best? Ama maana Selfika na hekaheka mpaka nasahau 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Location Bonyokwa... natia timu
Selfica haina maex wa kudumu 😂😂😂Asante hivi wewe ni Ex? Best? Ama maana Selfika na hekaheka mpaka nasahau 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Location Bonyokwa... natia timu
😂😂😂😂 Si mimi wifiyo nnacho au??😂😂😂 Tuishie apa ndugu
Weee usiniuze, nyie ndiyo mnajuana wiki ijayo mahaba motomoto. Huyo ni wako wa kufa na kuzikana.Selfica haina maex wa kudumu 😂😂😂
Hapa mimi peke yangu ndo ntatoboa, nyie mkipeana maneno ya mahaba mnarudiana chap
ila weekend bwan 😂😂😂kwanza nna njaa apa ngoj ntafte mabaki😂😂😂😂 Si mimi wifiyo nnacho au??
Kweli sie tulipofikia baba Jeni bye bye 😂😂😂Weee usiniuze, nyie ndiyo mnajuana wiki ijayo mahaba motomoto. Huyo ni wako wa kufa na kuzikana.
Wifi kula unapenda ila mwili tu ndo umekataa 🤣🤣🤣🤣ila weekend bwan 😂😂😂kwanza nna njaa apa ngoj ntafte mabaki
Nani anataka kuumbuka? Kesho tunawakuta babe kibao. Tunawangalia tu, kuumbuka mwisho mwaka jana 🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸Kweli sie tulipofikia baba Jeni bye bye 😂😂😂
Haina kugeuka nyuma, ila nyie ndio hamuaminiki.!! Ila nimecheka yani tunagombana watu wametulia tuli hawachangii.!! Mmoja kajitokeza kamuunga mkono mbele kamkataa 🤣🤣🤣🤣
Kuna vitu vinachekesha sana, hii tabia sijaizoea selfika… hapa ilitakiwa wawe wanakazia na kuchochea
mbona nmepunguza sasa,, nilkua nakula balaa, nilkua na 53 kgs uuuuweeeeh mwez wa tano mwishoni naenda nna 58kgs nkaona hii sasa ni serious 😂😂😂😂Wifi kula unapenda ila mwili tu ndo umekataa 🤣🤣🤣🤣