Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wapi umehusishwa?? Halafu hiyo ya upweke umeikomalia!! Lini niliomba faraja yako? Hebu acha kujipa umuhimu kwenye maisha yangu.
Nilikuambia nachokijibu nakijua, na wala hili sidhani kama lina mjadala

Kuhusu faraja, hata mm niliikosa na kuipata kwako hivyo hivyo na ww wala haihitaji kukanusha na kutafuta ushahidi kwenye hili ikiwa ukweli unajua. Na sio dhambi, binadamu wote hupitia hiyo hali kwa kipindi flani, kukataa ni kujaribu kuuficha mnazi ndani ya nyumba
 
Nilikuambia nachokijibu nakijua, na wala hili sidhani kama lina mjadala

Kuhusu faraja, hata mm niliikosa na kuipata kwako hivyo hivyo na ww wala haihitaji kukanusha na kutafuta ushahidi kwenye hili ikiwa ukweli unajua. Na sio dhambi, binadamu wote hupitia hiyo hali kwa kipindi flani, kukataa ni kujaribu kuuficha mnazi ndani ya nyumba
Kwahiyo tulikutana wote wapweke tukafarijiana? Sasa mbona ww unajitoa? Unanipa zigo la upweke peke yangu??
Basi sawa niache nitafute wa kunitoa upweke usinizidishie upweke.!!
 
Kwahiyo tulikutana wote wapweke tukafarijiana? Sasa mbona ww unajitoa? Unanipa zigo la upweke peke yangu??
Basi sawa niache nitafute wa kunitoa upweke usinizidishie upweke.!!
Jibu ni ndiyo, na wala sio dhambi. Sijajitoa ila nilikueleza huko kwa kukutolea mfano kijana akiwa mvuta bangi sio jambo zuri lakini haishangazi, Ila binti akiwa mvuta bangi inashangaza sana
 
Jibu ni ndiyo, na wala sio dhambi. Sijajitoa ila nilikueleza huko kwa kukutolea mfano kijana akiwa mvuta bangi sio jambo zuri lakini haishangazi, Ila binti akiwa mvuta bangi inashangaza sana
Kwahiyo mimi mvuta mpepe? 😂😂
Ujue hii mifano yako watu watanichukulia nakula ndumu kweli humu.!! Unataka nikose wa kunitoa upweke ajue mimi kibaka!!
 
IMG_20240506_172237_799.jpg
 
Sijambo babu!
Babu unapiga mikato kuliko vijana, muda wote uko smart..!! Uwe unawapa darasa hawa wajukuu zako wa kiume jinsi ya kuishi kwenye misingi ya kiume pamoja na kuwa wasafi.!!
Kwani bado hujapata Likizo tu uje utusalimie? Mimi na Bibi yako tumekukumbuka sana 🤗

Kuhusu Vijana imekuwa vigumu kuwapa mafunzo as muda mwingi tangu Wanazaliwa wamekuwa wakiishi Shuleni tangu wakiwa Chekechea hadi wanamaliza Vyuo Vikuu 🙌

Hata hivyo tunafanya jitihada kuwaandikia vitabu ili wabaki wakijifunza hata wakiwa huko huko Mjini 🤗😅
 
Kwani bado hujapata Likizo tu uje utusalimie? Mimi na Bibi yako tumekukumbuka sana 🤗

Kuhusu Vijana imekuwa vigumu kuwapa mafunzo as muda mwingi tangu Wanazaliwa wamekuwa wakiishi Shuleni tangu wakiwa Chekechea hadi wanamaliza Vyuo Vikuu 🙌

Hata hivyo tunafanya jitihada kuwaandikia vitabu ili wabaki wakijifunza hata wakiwa huko huko Mjini 🤗😅
Babu nitakuja kuwasalimia usijali, mwambie bibi aniandalie kuku.

Ila nimecheka babu hapo mnaandaa vitabu muwatumie huko huko wavisome 😂😂😂😂
Babu utakuwa kuna kitu unakunywa pembeni wewe!!
 
Babu nitakuja kuwasalimia usijali, mwambie bibi aniandalie kuku.

Ila nimecheka babu hapo mnaandaa vitabu muwatumie huko huko wavisome 😂😂😂😂
Babu utakuwa kuna kitu unakunywa pembeni wewe!!
Elimu huwa inarithishwa, miaka ya zamani kabla ya Elimu ya darasani ilikuwa Kama Baba atakuwa Mvuvi kule Kanda ya Ziwa, basi atahakikisha anamfundisha Kijana wake wa kiume kuvua

Hivyo kama Wazee tumeona vyema kuwasaidia Vijana wetu wa Mjini kupatia Elimu Kwa kuwatumia Vitabu huko huko Mjini wajifunze 🤗

Bibi yako amesema ukija atakuchinjia yule Jogoo Mkubwa mwenye madoa doa 🤗

Kuhusu zawadi nyingine, Babu yako nimepanga kukupa kama surprise utakapokuja🤗
 
Elimu huwa inarithishwa, miaka ya zamani kabla ya Elimu ya darasani ilikuwa Kama Baba atakuwa Mvuvi kule Kanda ya Ziwa, basi atahakikisha anamfundisha Kijana wake wa kiume kuvua

Hivyo kama Wazee tumeona vyema kuwasaidia Vijana wetu wa Mjini kupatia Elimu Kwa kuwatumia Vitabu huko huko Mjini wajifunze 🤗

Bibi yako amesema ukija atakuchinjia yule Jogoo Mkubwa mwenye madoa doa 🤗

Kuhusu zawadi nyingine, Babu yako nimepanga kukupa kama surprise utakapokuja🤗
Fanyeni haraka wapate hivo vitabu babu maadili yanamong’onyoka.!!
Bibi huyo jogoo ahakikishe kakolea ndimu 😂😂😂
Na zawadi zangu zingine hizo 😋😋
 
Fanyeni haraka wapate hivo vitabu babu maadili yanamong’onyoka.!!
Bibi huyo jogoo ahakikishe kakolea ndimu 😂😂😂
Na zawadi zangu zingine hizo 😋😋
Usijali Mjukuu, kama Wazee tutajitahidi kutoa Elimu Kila Siku 😜

Usitake nikung'ate sikio kukwambia zawadi nilizokuandalia ila jua zipo nyingi kwaajili yako🤗
 
Usijali Mjukuu, kama Wazee tutajitahidi kutoa Elimu Kila Siku 😜

Usitake nikung'ate sikio kukwambia zawadi nilizokuandalia ila jua zipo nyingi kwaajili yako🤗
Babu mi napenda vitu vya kijinga km zawadi ujue 😜
E’m ning’ate sikio
 
Back
Top Bottom