Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,193
- 33,577
Nilikuambia nachokijibu nakijua, na wala hili sidhani kama lina mjadalaWapi umehusishwa?? Halafu hiyo ya upweke umeikomalia!! Lini niliomba faraja yako? Hebu acha kujipa umuhimu kwenye maisha yangu.
Kuhusu faraja, hata mm niliikosa na kuipata kwako hivyo hivyo na ww wala haihitaji kukanusha na kutafuta ushahidi kwenye hili ikiwa ukweli unajua. Na sio dhambi, binadamu wote hupitia hiyo hali kwa kipindi flani, kukataa ni kujaribu kuuficha mnazi ndani ya nyumba