Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

We we wewe

Namkumbusha ndugu yangu mzee WA hall v kuwa awe makini wakina Inni hawakawii kuingiza MTU mkenge


Kapachino
Nacheka hapa sina hamu, uliniacha ukaangukia kwa kidney 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 tulikuwa tunakuchora tu. Ukifika tu unamtag kumbeee 😆😆😆😆😆😆
 
Nacheka hapa sina hamu, uliniacha ukaangukia kwa kidney 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 tulikuwa tunakuchora tu. Ukifika tu unamtag kumbeee 😆😆😆😆😆😆
Ila huyo mimi sikumkuta aisee.!! Nahisi ningekuwa nashinda nacheka. Naona coca anamsemaga sana 😂😂😂
 
Naenjoy endeleeni basi. Mchokoze tena. Mapenzi yanataka hivyo kashikashi, vilio, kununiana, kublock, unblock. Najiona mimi kabisa...
😂😂😂 Kwani hata namchokozaga basi!! Mwenyewe vikimpanda tyuu ananiibukia.!! Kuna comments akiziona lazima aje awashe moto 🤣🤣🤣

Ss hivi nimechoka sitaki hata kuiona id yake, mwanaume gani hana kifua. Mambo ya ndani anatoa mliyojadili wawili peke yenu.!! Km sio ugombanishi ni nini?? Na mimi nikianza kutoa yake aliyoniambia si itakuwa balaa humu!!

Ss hivi anatokea 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Kwakweli hii avatar imenshtua hata Mimi...kila SAA naiangalia isije kuwa I'd moja yenye watu wawili
Wala hiyo avatar nimejiwekea tyuu, hahusiani na yeyote kati yetu. Ni ya msanii wangu pendwa kutoka kundi la weusi.
 
Kirahisi hivyo niingie mkenge?? Wakongwe hawaingiagi mkenge kirahisi..

MTU kama BL hawezi kunaswa au kunaswa kirahisi
😂😂😂 Nipe mbinu na mimi basi, wakongwe mna vitu vingi mnavijua humu
 
Back
Top Bottom