Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,276
- 87,079
Ww umeanza, simu hazipokelewi na leo? 😂😂😂Alafu dk fupifupi kama kuku vile 🔥🔥🔥
Ww umeanza, simu hazipokelewi na leo? 😂😂😂Alafu dk fupifupi kama kuku vile 🔥🔥🔥
Mwanaume kuwa mbea hata haipendezi, ww unajiona uko sawa?? Unabishana na ex wako hii kali
Haya lete huo udraaku ila tuwaombe mods mapema wasitupe ban. Halafu mimi dhaifu na mpweke??
Kwahiyo ww ndo uliyekuwa unanitoa huo upweke?? Em tulia Mh unajishusha vyeo na unaidhalilisha Arusha




kumekuchaaaa!!! Ni yeyeeee.Hahhahahahahahahahaaaaa 😆Ww umeanza, simu hazipokelewi na leo? 😂😂😂
Jipigie makofi umeshinda
Ila Kantry bana!! Unajua tushagombana kitambo hukoooooo mwaka ushapita. Hapa kila nikijitahidi nikuchachue naonayako nalegea nahairisha
![]()





Kwahiyo upo hapa kwaajiri ya kutoa siri zetu?? Haya zitoe zote usiache hata moja yani zote toa.!!
Halafu mbona umenikalia kooni nini mbaya??





Yy nani? 😂😂😂😂kumekuchaaaa!!! Ni yeyeeee.
Mtasema yoteee leo.
Unipoteze umekuwa watu wasiojulikana?? Kantry unanichosha bana!! Halafu sijisikii kujibizana na wewe hizi taarabu zako





Uduguu lala yashapita hayo 😂😂😂
Jamaniiiiiii hukuuuUnarukaruka km maharage chunguni hebu ongea basi unachotaka kuongea, mana unajikuta unanijua sana kuliko ninavyojijua mxiewwww!!




😂😂😂 rudi kalale
😂😂😂😂 Coca lalaJamaniiiiiii hukuuu![]()
uwiiiii!! Hebu mlete akiwa full huyo rafiki yangu.!! Ndo walivyokudanganya huko pm wanakojadili watu?? Sijawahi kuwa na rafiki wa saloon. Circle yangu wote wakulima mahi..!!





Watoto wadogo hao 😄raraa reree wamepata la kufutia machozi scot huku 😔
Hawa maboya ujue wamejifunga wenyewe 😂😂😂Watoto wadogo hao 😄
Mtandao bana, sijakublock beibeeyyy
Mbona tukiwa tunaongea kwa muda mrefu voda wanatukatia umesahau??
Hasira bana huwezi kufa beibeeey wangu, ntabaki mjane ujue
Mwah
Njoo tubet Euro imeanza




khaaaah!!!Tumewaachia goli moja watoto wadogo 😄Hawa maboya ujue wamejifunga wenyewe 😂😂😂
Wee lekcharaaa huyu mkaka alovaa kinjunga, pandisha juu nimuobe vzur.