Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mwanaume kuwa mbea hata haipendezi, ww unajiona uko sawa?? Unabishana na ex wako hii kali

Haya lete huo udraaku ila tuwaombe mods mapema wasitupe ban. Halafu mimi dhaifu na mpweke??
Kwahiyo ww ndo uliyekuwa unanitoa huo upweke?? Em tulia Mh unajishusha vyeo na unaidhalilisha Arusha
kumekuchaaaa!!! Ni yeyeeee.
Mtasema yoteee leo.
 
Mtandao bana, sijakublock beibeeyyy
Mbona tukiwa tunaongea kwa muda mrefu voda wanatukatia umesahau??

Hasira bana huwezi kufa beibeeey wangu, ntabaki mjane ujue
Mwah
Njoo tubet Euro imeanza
khaaaah!!!
 
Back
Top Bottom