Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,276
- 87,091
Udhaifu upi? Kwani mi kilema? 🤣🤣🤣Maneno mengi na sifa, ili tu kuficha udhaifu ulionao
Udhaifu upi? Kwani mi kilema? 🤣🤣🤣Maneno mengi na sifa, ili tu kuficha udhaifu ulionao
Wewe ndo unafaa sasa 😂😂😂ata najali sasa 😂😂😂
Acha kujihami, mambo ya siri yanatoka wapi? We ndio umeleta sijui kunichachua, ndio nakuambia usije ukajaribu😂😂😂 Kwahiyo upo hapa kwaajiri ya kutoa siri zetu?? Haya zitoe zote usiache hata moja yani zote toa.!!
Halafu mbona umenikalia kooni nini mbaya??
kabla sjanunua mko serious au ni jokes 😂😂😂Wewe ndo unafaa sasa 😂😂😂
Nunua ugomvi
Udhaifu ni ukilema tu?Udhaifu upi? Kwani mi kilema? 🤣🤣🤣
kumbe na kupendana humu kupo😋😋Nipo hapa honeeeeyyyy 😘💋💋💋
Nataka nifichwe na wewe beibeeeeyyy 🥰🥰🥰
Unanichosha bana, mimi sina muda wa kupigana mikwara hapa na wewe!! Ukijisikia kutapika tapika yote.!!!Acha kujihami, mambo ya siri yanatoka wapi? We ndio umeleta sijui kunichachua, ndio nakuambia usije ukajaribu
A na B yote majibu 😂😂😂kabla sjanunua mko serious au ni jokes 😂😂😂
We unaonaje?Udhaifu ni ukilema tu?
Kupo ni wewe tyuu kujichagulia upoe na yupi? 🤣🤣🤣kumbe na kupendana humu kupo😋😋
😂😂😂😂😂🙌🏾🙌🏾🙌🏾 Kilangakomo 🚶🏾♀️A na B yote majibu 😂😂😂
nipe mbinu aseee nijishndie namim wa hum kwa mara ya kwanza 😂😂😂Kupo ni wewe tyuu kujichagulia upoe na yupi? 🤣🤣🤣
Sasa nitapike nn? Mbona unajihami sana?Unanichosha bana, mimi sina muda wa kupigana mikwara hapa na wewe!! Ukijisikia kutapika tapika yote.!!!
😂😂😂😂 Acha kabisa!!😂😂😂😂😂🙌🏾🙌🏾🙌🏾 Kilangakomo 🚶🏾♀️
Wanakujaga wenyewe, wewe tulia wifi 😂😂😂nipe mbinu aseee nijishndie namim wa hum kwa mara ya kwanza 😂😂😂
nikuaaaacheee nikuachie naniiii😂😂😂😂😂😂😂 Acha kabisa!!
Ila wewe baki na mimi
Nachoona si nimekuambia.We unaonaje?
nimetulia hadi nmeanza kujipitisha lakini wapi😂😂😂Wanakujaga wenyewe, wewe tulia wifi 😂😂😂
Unipoteze umekuwa watu wasiojulikana?? Kantry unanichosha bana!! Halafu sijisikii kujibizana na wewe hizi taarabu zakoSasa nitapike nn? Mbona unajihami sana?
Mm sina haraka, Ila mdogo mdogo utapoteana