Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 15,760
- 50,180
Tukiwa live sawa ila kwa hz fake ID ambazo lamomy mwenye kitambi anachukua picha ya rafiki yake wa saloon anaupload humu....apana Kwa kwelhuyo mimi sasa,,sawa ipo siku utaniomba msamaha
Tukiwa live sawa ila kwa hz fake ID ambazo lamomy mwenye kitambi anachukua picha ya rafiki yake wa saloon anaupload humu....apana Kwa kwelhuyo mimi sasa,,sawa ipo siku utaniomba msamaha
😂😂😂😂 Wewe hatma yako inadondokea nyanda za juu kusini, ipo siku utaoa mnyaluYule yupo excluded, Toka kitambo nlikuwa nammezeaga mate sema ndo vle tena machozi ya samaki
Usinenepe kabisaa 😂😂😂na kunenepa sijawahi penda aseee😂😂😂🙌🏾
ivi ukimwangalia huyo masai avatar apo ni mfupi na ana kitambi 😂😂😂😂Tukiwa live sawa ila kwa hz fake ID ambazo lamomy mwenye kitambi anachukua picha ya rafiki yake wa saloon anaupload humu....apana Kwa kwel
ili nife, puresha 😂😂😂Usinenepe kabisaa 😂😂😂
Mimi kuoa uongo!😂😂😂😂 Wewe hatma yako inadondokea nyanda za juu kusini, ipo siku utaoa mnyalu
🤣🤣🤣🤣 uwiiiii!! Hebu mlete akiwa full huyo rafiki yangu.!! Ndo walivyokudanganya huko pm wanakojadili watu?? Sijawahi kuwa na rafiki wa saloon. Circle yangu wote wakulima mahi..!!Tukiwa live sawa ila kwa hz fake ID ambazo lamomy mwenye kitambi anachukua picha ya rafiki yake wa saloon anaupload humu....apana Kwa kwel
Huyo kawaida sio mfupi sio mrefuivi ukimwangalia huyo masai avatar apo ni mfupi na ana kitambi 😂😂😂😂
Mabonge mengi yana ujinga mwingi kichwani 😂😂😂ili nife, puresha 😂😂😂
Alaiki futiboli yu no. Loko ligi na za mambele piaahhh😁😁!Akili kubwaz Mahondawaaaaazzzz gademu kisu u know 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Utaolewa sasa 😂😂😂Mimi kuoa uongo!
Sijuagi tofauti ya mnyalu, mbena na mhehe....ila Kuna Moja alikua shemu wangu ubini wake ni Mwigune
Maskini ya Mungu PM? PM yangu ipo very purposive hua siendi pm ya mtu ovyo ovyo🤣🤣🤣🤣 uwiiiii!! Hebu mlete akiwa full huyo rafiki yangu.!! Ndo walivyokudanganya huko pm wanakojadili watu?? Sijawahi kuwa na rafiki wa saloon. Circle yangu wote wakulima mahi..!!
Kikojoleo ☺️ aaaaaaaaaah maamaaaa#%@ke nitakituliza tu Mahondaw muda si mrefu wee tulia 😆Alaiki futiboli yu no. Loko ligi na za mambele piaahhh😁😁!
Kizungu nilifeliiigii aseeee!
So ndio umedinda kunibless nitulize kikojoleo changu anga??🤨🤨😴😴😴💤💤💤💤💤
😂😂😂 Unavyoruka sasa km kweliMaskini ya Mungu PM? PM yangu ipo very purposive hua siendi pm ya mtu ovyo ovyo
Nyie ndo uzeeni mnaanza kusumbua watoto, mtoto wa kiume uliyekamilika kwann usioe??Akili za kijima hizi!
Mi nadate tu mpaka nizeeke
sikuhitaji kuongea kwenye simu nilipo siiwezi kupokea simu. na Hakuna msg inaenda ya kawaida wala Whatsapp labda Kama umeachia sasa hiviNikublock kwa kipi?? Nimekupigia kukuonyesha siwezi kuku block na sio mdhaifu km unavyojinadi hapa.!! Sema nimeamua kukupuuza. Unionee huruma? Kuna sehemu nimehitaji huruma yako??
Serious mazeee sinaga makando kando huko😂😂😂 Unavyoruka sasa km kweli
Mangi una hekaheka 🙌🙌sikuhitaji kuongea kwenye simu nilipo siiwezi kupokea simu. na Hakuna msg inaenda ya kawaida wala Whatsapp labda Kama umeachia sasa hivi
Alafu msg uliyonitumia nimekuelewa sana, now I rest my case, Ila uachage ujinga.
Good day