Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimejibu comment ambayo inanihusu. Navuka misingi ya kiumeni? Hiyo misingi ni ipi?
Nakutoa mlio soon, wait and see but sina haraka
Hakuna wa kunituma na hizi tuhuma zako ndio ujinga unaoendekeza nao nitaukomesha. Chama kubwa Kama arsenal? Ww ulivyo dhaifu na mpweke hivyo? Subiri uone
Mwanaume kuwa mbea hata haipendezi, ww unajiona uko sawa?? Unabishana na ex wako hii kali 🤣🤣🤣🤣

Haya lete huo udraaku ila tuwaombe mods mapema wasitupe ban. Halafu mimi dhaifu na mpweke?? 🤣🤣🤣
Kwahiyo ww ndo uliyekuwa unanitoa huo upweke?? Em tulia Mh unajishusha vyeo na unaidhalilisha Arusha
 
kungekua na voice ningekwambia utamke parachichi kuna namna yenu hua mnatamka eti paradzidzi,,🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂 wee shendrwaaaa
Tunaongea km tuna mapengo, na usiombe utukute tunadai pesa weeh
 
😂😂😂😂 Acha basi
aseeee kuna uyo mama naishi nae mtaa mmoja ni mkinga hua anaongea ivo basi mwenyewe yupo comfortable hata kwenye kusanyiko m hua nainjoiii 😂😂😂😂😂😂😂
 
Mwanaume kuwa mbea hata haipendezi, ww unajiona uko sawa?? Unabishana na ex wako hii kali 🤣🤣🤣🤣

Haya lete huo udraaku ila tuwaombe mods mapema wasitupe ban. Halafu mimi dhaifu na mpweke?? 🤣🤣🤣
Kwahiyo ww ndo uliyekuwa unanitoa huo upweke?? Em tulia Mh unajishusha vyeo na unaidhalilisha Arusha
Unaanza kujihami, masuala ya umbea na udaku yanakujaje? Unafikiri unaweza kuniblackmail?
Nikutoe upweke gan, yes we ni dhaifu na mpweke. Kama nilisaidia kukutoa basi it's ok
Najishusha vyeo kwa nan? Na nilijipandisha vyeo kwa nan?
 
aseeee kuna uyo mama naishi nae mtaa mmoja ni mkinga hua anaongea ivo basi mwenyewe yupo comfortable hata kwenye kusanyiko m hua nainjoiii 😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂 ila kitamu tunaongelea kooni
 
unafkiri ntatia neno sasa,,labda unipe ruhusa😂😂😂😂 yaani nitanunua io vita
😂😂😂 Vita yangu inanunuliwa na huyo huyo shemejio, kashanunua vita nyingi humu za kwangu. Na usishangae katikati ya ugomvi wetu akakugeuka 🤣🤣🤣
 
Unaanza kujihami, masuala ya umbea na udaku yanakujaje? Unafikiri unaweza kuniblackmail?
Nikutoe upweke gan, yes we ni dhaifu na mpweke. Kama nilisaidia kukutoa basi it's ok
Najishusha vyeo kwa nan? Na nilijipandisha vyeo kwa nan?
Jipigie makofi umeshinda 😂😂😂
Ila Kantry bana!! Unajua tushagombana kitambo hukoooooo mwaka ushapita. Hapa kila nikijitahidi nikuchachue naona 🍆 yako nalegea nahairisha 😋😋😋
 
Jipigie makofi umeshinda 😂😂😂
Ila Kantry bana!! Unajua tushagombana kitambo hukoooooo mwaka ushapita. Hapa kila nikijitahidi nikuchachue naona 🍆 yako nalegea nahairisha 😋😋😋
Hiyo kunichachua ndio huwezi na usije ukajaribu unajua vile tulikua tumefika, itakula kwako
Mm nipo kuondoa unafki wako na nitauondoa, unajua ujinga uliofanya alafu ukiwa huku unajizima data.
 
😂😂😂 Vita yangu inanunuliwa na huyo huyo shemejio, kashanunua vita nyingi humu za kwangu. Na usishangae katikati ya ugomvi wetu akakugeuka 🤣🤣🤣
ata najali sasa 😂😂😂
 
Hiyo kunichachua ndio huwezi na usije ukajaribu unajua vile tulikua tumefika, itakula kwako
Mm nipo kuondoa unafki wako na nitauondoa, unajua ujinga uliofanya alafu ukiwa huku unajizima data.
😂😂😂 Kwahiyo upo hapa kwaajiri ya kutoa siri zetu?? Haya zitoe zote usiache hata moja yani zote toa.!!
Halafu mbona umenikalia kooni nini mbaya??
 
Back
Top Bottom