Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,276
- 87,079
Mwanaume kuwa mbea hata haipendezi, ww unajiona uko sawa?? Unabishana na ex wako hii kali 🤣🤣🤣🤣Nimejibu comment ambayo inanihusu. Navuka misingi ya kiumeni? Hiyo misingi ni ipi?
Nakutoa mlio soon, wait and see but sina haraka
Hakuna wa kunituma na hizi tuhuma zako ndio ujinga unaoendekeza nao nitaukomesha. Chama kubwa Kama arsenal? Ww ulivyo dhaifu na mpweke hivyo? Subiri uone
Haya lete huo udraaku ila tuwaombe mods mapema wasitupe ban. Halafu mimi dhaifu na mpweke?? 🤣🤣🤣
Kwahiyo ww ndo uliyekuwa unanitoa huo upweke?? Em tulia Mh unajishusha vyeo na unaidhalilisha Arusha