Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,551
- 95,142
Mi nimekusubiri hapa bonyokwa mpk mwili umeingia ganzi 😂😂😂Hutaki kuja acha nienjoy🙄
Mi nimekusubiri hapa bonyokwa mpk mwili umeingia ganzi 😂😂😂Hutaki kuja acha nienjoy🙄
Uduguu mie ndo mama mjengo, nisipike tenaa? Aweeeeh.Kumekucha [emoji23][emoji23][emoji23]
Weekend yako ya moto, km nakuona mbilinge zako..!! Huko kwa ba tamu unapikaga??
Mbona km umenitamanisha nitafute safari na mimi nipotee mpk j3!!
Ngoja nifanye jambo, tupotee wote. [emoji23][emoji23][emoji23]
Thubutuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mnawaonea sana ma hanithi wetu,,hujui ndo wanaotulia kwenye ndoa saiv[emoji23][emoji23][emoji23]
Umeachiwa sasa 😂😂😂Uduguu mie ndo mama mjengo, nisipike tenaa? Aweeeeh.
Ba tamu lazima ale masapta sapta kutoka ktk mkono wangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah[emoji23][emoji23][emoji23] Na kuna siku ntaoga msimbazi mchana kweupe ili niuze vijora vyangu, mana wateja mmekuwa wabishi kutuungisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bi mdogo lazima ntaanzisha vurugu, nna wivu sana. [emoji23][emoji23][emoji23]
ukiskia kichwa maji ndo hii sasa🤣😂 Yaani mji ambao sijulikani kisha niteseke hapana kwakwelKaa kwa password mjini jf ohhh 😂😂😂
Humu wanasubiri ujimix wakuletee mafile yako
😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah
Sijawahi kuzagamua, ila nimewahi kuzagamuliwa.Hivi toka uzaliwe hujawahi kuzagamua? hujawahi kuwa na manzi? sasa si ukakatwe tu hilo naniliu, huna kazi yeyote unafanyia...?
😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee uduguu!!!Hilo ndio muhimu, abaki home muda wake umepita bana [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Kuna michezo ya vijana, nikikuonyesha mbele yake ataanza mdomo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo hapindui kwangu, em nishawishi nijiweke kwake, vipi hafai kuwa shem wako?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Una uthibitisho??
Ila ww kweli unamkubali coca
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu em sema kweli, nataka nimtulize huyu baba.Toka lini? [emoji23]
Ww mmependezana na coca na hizi punch zenu mi nasikia burudani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiii khaaaahLete uthibitisho km yy mwanaume?
Unampendaje mtu usiyemjua?? Una uhakika gani km mimi ni yule unayemfikiria? Km mjomba yako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nashangaa wanaojianika humu ulimwengu wa fake ids!!! Humu usijulikane na yeyote mahi, kitumbili kimoja kikikujua tyuu kitaanza hekaheka km mwali aliyelipiwa mahari sasa bwana kachelewa kumfata hizo fujo zake 😂😂😂😂ukiskia kichwa maji ndo hii sasa🤣😂 Yaani mji ambao sijulikani kisha niteseke hapana kwakwel
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ndo maana unaishia kuchukia watu, tatizo unakurupuka.Achana na huyo shoga..
Mi nipo na wewe, nshakuambia nakuelewa, masuala ya kukufahamu na kutokukufahamu ni mbele kwa mbele, kwa hio unasemaje mrembo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa hatariiii, kwan imekuajeee?@Lomamy yule dogo wa kuomba msaada wa ada nimekuachia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kanishinda tabia. Why aliona aibu kujisema kuwa niyeye eti rafiki yake. Kwenye shida huwa kuna aibu kweli? Ngachoka, haoni wenzake wanafata watu kuwaomba hela PM. Atupishe...
Bao la ngapi hilooo 😄raraa reree chuma cha 4 huku Germany wamekiweka 🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Kwani imekuajeee??Kantibua mpk nilitamani Max angeweka sehemu ya voice note nimcharure..!! Katupotezea muda wetu kumuombea msaada kumbe sio muaminifu.
Sasa alivyokuwa anasema rafiki yake kumbe ni yy mwenyewe?? Nimemwambia had hapo husaidiki ng’o