Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,276
- 87,079
Km mimi tuko pamoja 😀Leo Germany 😁🍺
Km mimi tuko pamoja 😀Leo Germany 😁🍺
Si ndo vzr watu wakichangamka jamaniApana sifahamiani nae ila ana uchangamfu flan hv...
Nani anatoa watu🤣🤣🤣naonaga tu mnatishana sijui bannologyMimi nimeweka yangu ninayoijua na yy akuwekee yake anayoijua tatizo hakuna hapo?? 🤣🤣🤣
Na yake nayo akuwekee. Ila tuachane nazo hizi mambo bana zitafanya tutolewe tena selfika
Weeeee embu tupia sasa mtoto mzuri ☺️Km mimi tuko pamoja 😀
ndo nilivo mkuu🤣😂nikishasense mazingira tu baasiii nalianzishaWala siteseki kwa ww kuchangamka
Ww kutuma picha sio muhimu, kwanza unaweza kutuma picha sio yako ntajuaje?? Humu wengine wanaume ila wana id za wadada na wanatuma picha sio zao!! Ulimwengu wa fake ids unaanzaje kuwa real?? Hayo ni mambo ya watu wasiojielewa ndio hutuma picha zao halisi.!!😂😂😂😂apa sasa nimejua kwanin unalazmisha kutuma picha🤣🤣😂😂 unataka kunilinganisha na huyo sjui nani maskin mweeee ila poleni sana
Karibu sana selfika inataka watu kama wwndo nilivo mkuu🤣😂nikishasense mazingira tu baasiii nalianzisha
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂 asante kwa ushaur na elimu ya jfWw kutuma picha sio muhimu, kwanza unaweza kutuma picha sio yako ntajuaje?? Humu wengine wanaume ila wana id za wadada na wanatuma picha sio zao!! Ulimwengu wa fake ids unaanzaje kuwa real?? Hayo ni mambo ya watu wasiojielewa ndio hutuma picha zao halisi.!!😂😂😂😂
Mods wakiona mnaanza hekaheka mnapewa ban, hafu mimi nimetawazwa balozi wa amani selfika, subirini nichukue mshahara wangu wa kwanza ndio mniletee hekaheka zenu 😂😂😂Nani anatoa watu🤣🤣🤣naonaga tu mnatishana sijui bannology
imeisha io na hamtojutiaKaribu sana selfika inataka watu kama ww
Ntupie nini? 😂😂😂Weeeee embu tupia sasa mtoto mzuri ☺️
📸😁Ntupie nini? 😂😂😂
Babe bado hujaondoka hapo?? 😞😞
Kaa kwa password mjini jf ohhh 😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂 asante kwa ushaur na elimu ya jf
Yako iko wapi?? 😂😂
Unasema 😁Yako iko wapi?? 😂😂
Hutaki kuja acha nienjoy🙄Babe bado hujaondoka hapo?? 😞😞
Halafu hao wa pembeni yako kuna makubaliano wanaingia 😂😂😂🤣
Yako iko wapi? 😂😂😂Unasema 😁
Mi nimekusubiri hapa bonyokwa mpk mwili umeingia ganzi 😂😂😂Hutaki kuja acha nienjoy🙄