Mengine hapo sio kwel....suala la kupokelewa/kutopokelewa inategemea Kuna kipindi hadi nawakimbia Kuna kipindi natafuta kwa tochi lkn mwisho wa siku maisha yanasongaAnakuzidi vingi, mwenzio yuko na familia yake wanafurahi na wakisikia baridi wanapeana joto. Ww mpk simu zako zipokelewe si utachina
Nimefika wifi tuma 😍😍😍njoo nkutumie pcha chap kisha umsimulie uyo mpaji 😂😂😂
Yule yupo Arusha, shule kasomea Arushanjombe
Kaa attention yaani ni sekunde nafuta😂😂Nimefika wifi tuma 😍😍😍
basi sio kenyeweYule yupo Arusha, shule kasomea Arusha
Unaona sasabasi sio kenyewe
UnazinguaMtandao bana, sijakublock beibeeyyy 🥰🥰🥰
Mbona tukiwa tunaongea kwa muda mrefu voda wanatukatia umesahau??
Hasira bana huwezi kufa beibeeey wangu, ntabaki mjane ujue 😔😔😔
Mwah 😘💋
Njoo tubet Euro imeanza
Mhmm!! Huko sasa kujifariji 😂😂😂Mengine hapo sio kwel....suala la kupokelewa/kutopokelewa inategemea Kuna kipindi hadi nawakimbia Kuna kipindi natafuta kwa tochi lkn mwisho wa siku maisha yanasonga
Ww una machale sana, utakua una IQ kubwaTukiwa live sawa ila kwa hz fake ID ambazo lamomy mwenye kitambi anachukua picha ya rafiki yake wa saloon anaupload humu....apana Kwa kwel
😂😂😂 wifi akeeKwani nmekuingilia sasa😂😂😂
Ukizoea jeramba la asubuh, hupati shida tenaMhmm!! Huko sasa kujifariji 😂😂😂
Muulize raraa reree anavyoshinda anavigonganisha 🍒 pale pisi zinapogoma kwenda maghetoni
Nazingua nini??Unazingua
😂😂😂😂 Kwahiyo na wewe unaunga mkono hoja??Ww una machale sana, utakua una IQ kubwa
😂😂😂😂 hakuna loloteUkizoea jeramba la asubuh, hupati shida tena
kumbe na kitambi unacho🤣🤣we upigwe tu risasi ya tumbo upepo uishe huo😂😂😂😂 Kwahiyo na wewe unaunga mkono hoja??
😂😂😂😂 sio kitambi na nyuma nimepigwa pasi hafu kibibi cha TANUkumbe na kitambi unacho🤣🤣we upigwe tu risasi ya tumbo upepo uishe huo
Hapa ngoja nitulize komwe, huenda mmekaa sebuleni kimahaba mnabadilishana simu huku mnaangalia Scotland anavoteswaWw una machale sana, utakua una IQ kubwa
aaah nataman nikupe siri ya mwili wangu ila nitakudanganya 😂😂😂😂😂😂 sio kitambi na nyuma nimepigwa pasi hafu kibibi cha TANU
We huogopi??