Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 10,629
- 23,203
aaah nataman nikupe siri ya mwili wangu ila nitakudanganya ๐๐๐๐๐๐ sio kitambi na nyuma nimepigwa pasi hafu kibibi cha TANU
We huogopi??
aaah nataman nikupe siri ya mwili wangu ila nitakudanganya ๐๐๐๐๐๐ sio kitambi na nyuma nimepigwa pasi hafu kibibi cha TANU
We huogopi??
Huyo jamaa ni mjanja๐๐๐๐ Kwahiyo na wewe unaunga mkono hoja??
Wala, Ila ww ni mjanja. Huku jf Kuna mazwazwa mengi, wajanja wapo wachacheHapa ngoja nitulize komwe, huenda mmekaa sebuleni kimahaba mnabadilishana simu huku mnaangalia Scotland anavoteswa
Nipe wifi bana ๐๐๐aaah nataman nikupe siri ya mwili wangu ila nitakudanganya ๐๐
Kwani nani mjinga?Huyo jamaa ni mjanja
Unabaki unazizungusha tuu ๐Mhmm!! Huko sasa kujifariji ๐๐๐
Muulize raraa reree anavyoshinda anavigonganisha ๐ pale pisi zinapogoma kwenda maghetoni
Wala usitulize komwe muombe picha akupe uthibitishe, mi sipo naye mbona..!!Hapa ngoja nitulize komwe, huenda mmekaa sebuleni kimahaba mnabadilishana simu huku mnaangalia Scotland anavoteswa
๐๐๐๐ ila raraa unazingua ujue!!Unabaki unazizungusha tuu ๐
Aaaaaah ndio uhalisia huo ๐๐๐๐๐ ila raraa unazingua ujue!!
Ile siku nilicheka sana basi tu
wacha mimi nirare thathaNipe wifi bana ๐๐๐
Ila wanaume mnateseka sana halafu Mpaji Mungu anaona kuwa na mke sio vizuri ๐Aaaaaah ndio uhalisia huo ๐
Mizinguo haikosekani hata uwe naeIla wanaume mnateseka sana halafu Mpaji Mungu anaona kuwa na mke sio vizuri ๐
Mimi naangalia mpira hapa, ukiisha nalalawacha mimi nirare thatha
Sio sana km huna kabisa bana ๐Mizinguo haikosekani hata uwe nae
ajah urare sarama wiviiMimi naangalia mpira hapa, ukiisha nalala
Ina tegemea mtu na mtu ๐Sio sana km huna kabisa bana ๐
Nipatie mdogo wako๐Ila wanaume mnateseka sana halafu Mpaji Mungu anaona kuwa na mke sio vizuri ๐