Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kumekucha
Weekend yako ya moto, km nakuona mbilinge zako..!! Huko kwa ba tamu unapikaga??

Mbona km umenitamanisha nitafute safari na mimi nipotee mpk j3!!
Ngoja nifanye jambo, tupotee wote.
Uduguu mie ndo mama mjengo, nisipike tenaa? Aweeeeh.
Ba tamu lazima ale masapta sapta kutoka ktk mkono wangu.

 
Kaa kwa password mjini jf ohhh 😂😂😂
Humu wanasubiri ujimix wakuletee mafile yako
ukiskia kichwa maji ndo hii sasa🤣😂 Yaani mji ambao sijulikani kisha niteseke hapana kwakwel
 
Hivi toka uzaliwe hujawahi kuzagamua? hujawahi kuwa na manzi? sasa si ukakatwe tu hilo naniliu, huna kazi yeyote unafanyia...?
Sijawahi kuzagamua, ila nimewahi kuzagamuliwa.
Sijawahi kua na manzi, ila nna ba tamu.

Sio kukata, nataka nikanyofoe na kufanya surgery nibebe mimba niwe mama watoto.

 
ukiskia kichwa maji ndo hii sasa🤣😂 Yaani mji ambao sijulikani kisha niteseke hapana kwakwel
Nashangaa wanaojianika humu ulimwengu wa fake ids!!! Humu usijulikane na yeyote mahi, kitumbili kimoja kikikujua tyuu kitaanza hekaheka km mwali aliyelipiwa mahari sasa bwana kachelewa kumfata hizo fujo zake 😂😂😂😂
 
@Lomamy yule dogo wa kuomba msaada wa ada nimekuachia kanishinda tabia. Why aliona aibu kujisema kuwa niyeye eti rafiki yake. Kwenye shida huwa kuna aibu kweli? Ngachoka, haoni wenzake wanafata watu kuwaomba hela PM. Atupishe...
nimechekaa hatariiii, kwan imekuajeee?
 
Kantibua mpk nilitamani Max angeweka sehemu ya voice note nimcharure..!! Katupotezea muda wetu kumuombea msaada kumbe sio muaminifu.
Sasa alivyokuwa anasema rafiki yake kumbe ni yy mwenyewe?? Nimemwambia had hapo husaidiki ng’o
Kwani imekuajeee??
 
Back
Top Bottom