Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mwanaume kuwa mbea hata haipendezi, ww unajiona uko sawa?? Unabishana na ex wako hii kali [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Haya lete huo udraaku ila tuwaombe mods mapema wasitupe ban. Halafu mimi dhaifu na mpweke?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwahiyo ww ndo uliyekuwa unanitoa huo upweke?? Em tulia Mh unajishusha vyeo na unaidhalilisha Arusha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaa!!! Ni yeyeeee.
Mtasema yoteee leo.
 
Jipigie makofi umeshinda [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila Kantry bana!! Unajua tushagombana kitambo hukoooooo mwaka ushapita. Hapa kila nikijitahidi nikuchachue naona [emoji533] yako nalegea nahairisha [emoji39][emoji39][emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Kwahiyo upo hapa kwaajiri ya kutoa siri zetu?? Haya zitoe zote usiache hata moja yani zote toa.!!
Halafu mbona umenikalia kooni nini mbaya??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] uwiiiii!! Hebu mlete akiwa full huyo rafiki yangu.!! Ndo walivyokudanganya huko pm wanakojadili watu?? Sijawahi kuwa na rafiki wa saloon. Circle yangu wote wakulima mahi..!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtandao bana, sijakublock beibeeyyy [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Mbona tukiwa tunaongea kwa muda mrefu voda wanatukatia umesahau??

Hasira bana huwezi kufa beibeeey wangu, ntabaki mjane ujue [emoji17][emoji17][emoji17]
Mwah [emoji8][emoji182]
Njoo tubet Euro imeanza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah!!!
 
Back
Top Bottom