cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,301
Na waufute sema visirani niliowatag walikuwa bado hawajaingia sijui ingekuwaje leo??
Ningeambiwa na mimi tapeli nawaita wakatapeliwe, ningesuuzwa bila sabuni![]()




Na waufute sema visirani niliowatag walikuwa bado hawajaingia sijui ingekuwaje leo??
Ningeambiwa na mimi tapeli nawaita wakatapeliwe, ningesuuzwa bila sabuni![]()




😂😂😂😂Sijawahi kuzagamua, ila nimewahi kuzagamuliwa.
Sijawahi kua na manzi, ila nna ba tamu.
Sio kukata, nataka nikanyofoe na kufanya surgery nibebe mimba niwe mama watoto.
![]()
Nilijua tyuu atakufikia ni suala la muda
Mpishi ana viungo vyote kuanzia vya chai mpk mlo wa usiku. Ushindwe wewe tyuu!!![]()





Ahaaa mm siji nalewaMi nimekusubiri hapa bonyokwa mpk mwili umeingia ganzi 😂😂😂
😂😂😂😂wee uduguu!!!
Muonee huruma mtoto wa mwanamke mwenzio jamani. Huko alipo hamini macho yake, kila anachoandika kinafutwa. Na ndege wewe unapeperuka![]()




Anafaa uduguu 😂😂😂huyo hapindui kwangu, em nishawishi nijiweke kwake, vipi hafai kuwa shem wako?
La 4 mwanangu hawa Germany sio pouwa kabisaa 😂Bao la ngapi hilooo 😄
Huyo mwenyeji kakimbia id yake ya mwanzo sijui kamtapeli nani pm??!!
Si tupo tunamchora km hatumjui





Bonyokwa beibeyyyy
Nna wivu sana ujue naomba hiyo soda itoke hapo mezani, hafu ni muhudumu huyo![]()





😂😂😂 babe umesusa??Ahaaa mm siji nalewa
Kama ni mimba lazima mtu azae mapacha 😄La 4 mwanangu hawa Germany sio pouwa kabisaa 😂
Nimetulia unanianza?? Kwani una shida gani na mimi?? Ujue unavuka misingi ya kiumeni.
Wewe unitoe mlio mimi??
Hebu acha ngendembwe zako, waambie walokutuma Lamomy chama kubwa km Arsenal sawa???




kumekuchaaaaa!!!Bao la ngapi hiloo embu sema tena 😁raraa reree chuma cha 5 iko 😂😂😂
Hatareee 😂😂😂Kama ni mimba lazima mtu azae mapacha 😄
Mkono 🖐️Bao la ngapi hiloo embu sema tena 😁
Alafu dk fupifupi kama kuku vile 🔥🔥🔥Hatareee 😂😂😂