Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 10,629
- 23,203
njoo nkutumie pcha chap kisha umsimulie uyo mpaji ๐๐๐๐๐๐๐ wohiii tutapigwa wifi
njoo nkutumie pcha chap kisha umsimulie uyo mpaji ๐๐๐๐๐๐๐ wohiii tutapigwa wifi
Mengine hapo sio kwel....suala la kupokelewa/kutopokelewa inategemea Kuna kipindi hadi nawakimbia Kuna kipindi natafuta kwa tochi lkn mwisho wa siku maisha yanasongaAnakuzidi vingi, mwenzio yuko na familia yake wanafurahi na wakisikia baridi wanapeana joto. Ww mpk simu zako zipokelewe si utachina
Nimefika wifi tuma ๐๐๐njoo nkutumie pcha chap kisha umsimulie uyo mpaji ๐๐๐
Yule yupo Arusha, shule kasomea Arushanjombe
Kaa attention yaani ni sekunde nafuta๐๐Nimefika wifi tuma ๐๐๐
basi sio kenyeweYule yupo Arusha, shule kasomea Arusha
Unaona sasabasi sio kenyewe
UnazinguaMtandao bana, sijakublock beibeeyyy ๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐ
Mbona tukiwa tunaongea kwa muda mrefu voda wanatukatia umesahau??
Hasira bana huwezi kufa beibeeey wangu, ntabaki mjane ujue ๐๐๐
Mwah ๐๐
Njoo tubet Euro imeanza
Mhmm!! Huko sasa kujifariji ๐๐๐Mengine hapo sio kwel....suala la kupokelewa/kutopokelewa inategemea Kuna kipindi hadi nawakimbia Kuna kipindi natafuta kwa tochi lkn mwisho wa siku maisha yanasonga
Ww una machale sana, utakua una IQ kubwaTukiwa live sawa ila kwa hz fake ID ambazo lamomy mwenye kitambi anachukua picha ya rafiki yake wa saloon anaupload humu....apana Kwa kwel
๐๐๐ wifi akeeKwani nmekuingilia sasa๐๐๐
Ukizoea jeramba la asubuh, hupati shida tenaMhmm!! Huko sasa kujifariji ๐๐๐
Muulize raraa reree anavyoshinda anavigonganisha ๐ pale pisi zinapogoma kwenda maghetoni
Nazingua nini??Unazingua
๐๐๐๐ Kwahiyo na wewe unaunga mkono hoja??Ww una machale sana, utakua una IQ kubwa
๐๐๐๐ hakuna loloteUkizoea jeramba la asubuh, hupati shida tena
kumbe na kitambi unacho๐คฃ๐คฃwe upigwe tu risasi ya tumbo upepo uishe huo๐๐๐๐ Kwahiyo na wewe unaunga mkono hoja??
๐๐๐๐ sio kitambi na nyuma nimepigwa pasi hafu kibibi cha TANUkumbe na kitambi unacho๐คฃ๐คฃwe upigwe tu risasi ya tumbo upepo uishe huo
Hapa ngoja nitulize komwe, huenda mmekaa sebuleni kimahaba mnabadilishana simu huku mnaangalia Scotland anavoteswaWw una machale sana, utakua una IQ kubwa