Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mangi una hekaheka 🙌🙌
WhatsApp yangu iko busy kuna vitu nafanyia marekebisho, na hizo msg za kawaida labda mtandao.
Hii tabia yako ya toka jana na leo sijaipenda kabisaa.!!
Uache uongo, ulikua umeblock msg zote hakuna zilizokua zinatoka
Ww hiyo tabia yako unaipenda?
Anyway ngoja nipotezee hili Ila acha kupiga mikwara ya namna ile kwa kutumia msg za kawaida itakuja kukugharimu, mm ni binadamu kesho inaweza kutokea nisiamke nikafa, ww ndio utawajibika. Usifanye Hilo kosa la kutoa vitisho kwenye msg
 

Attachments

  • Screenshot_20240614-215907_1.jpg
    Screenshot_20240614-215907_1.jpg
    68.6 KB · Views: 2
Uache uongo, ulikua umeblock msg zote hakuna zilizokua zinatoka
Ww hiyo tabia yako unaipenda?
Anyway ngoja nipotezee hili Ila acha kupiga mikwara ya namna ile kwa kutumia msg za kawaida itakuja kukugharimu, mm ni binadamu kesho inaweza kutokea nisiamke nikafa, ww ndio utawajibika. Usifanye Hilo kosa la kutoa vitisho kwenye msg
Mtandao bana, sijakublock beibeeyyy 🥰🥰🥰
Mbona tukiwa tunaongea kwa muda mrefu voda wanatukatia umesahau??

Hasira bana huwezi kufa beibeeey wangu, ntabaki mjane ujue 😔😔😔
Mwah 😘💋
Njoo tubet Euro imeanza
 
Saiv aliyeoa ananizidi nn? Labda stress na kua na mtoto ila services zingn tunapata sawa tena yawezekana mi napata zaidi
Anakuzidi vingi, mwenzio yuko na familia yake wanafurahi na wakisikia baridi wanapeana joto. Ww mpk simu zako zipokelewe si utachina
 
Usiku mwema wapendwa mrare unono 💤💤💤💤💤😴😴😴😴😴😴😴!

Nikapumzishe fuvu langu sasa🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️

Me likes
Uduguu km upo urusi 😍😍😍
Nouga sana, naomba raba
 
Back
Top Bottom