Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Baba usianze kona kona pdf nimekuletea WhatsApp mapema!!! Nimekupigia simu ukasema uko kwenye meeting. Muda ndio huu emu ninyoshee maelezo hapa
Huyo dogo niliwaambia hapa, watu wakawa wanamuogopa kumchana. Nimemchana naona kasepa mazima Ila kaacha damage

Depal hata simjui vizuri anafananaje, same na darlin.
 
Halafu Cute Wife huyo aliyekuambia sasa nipo mfupi hujasikia alivyo yeye dah kwanza namdai hana hela anaajiri watu hajajipanga mkienda sasa ofisini mwa watu wanawakimbia na marafiki zangu wote waliniblock kisa hiyo kazi nikapauka nikasema bora kazi yangu ya udalali mwanaume anasura ya kizamani zamani , anavaa nguo za watu wa zamani yaani hujui ni mzee au nikijana
 
Back
Top Bottom