Kapachino
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 3,505
- 8,713
Itabidi uirudishe ya sophyNimecheka sana yaani 😂😂😂
Nipe summary Basi ndo nimefika home hapa.
Itabidi uirudishe ya sophyNimecheka sana yaani 😂😂😂
Nimecheka balaa
Watatuua








Aah wapiItabidi uirudishe ya sophy
Nipe summary Basi ndo nimefika home hapa.
Nimetingwa kidogo uduguuu utanisevia mengine ntayakuta Kesho usiyafute uduguuu!! Ngoja nizime data kabesaaaa!!Ndugu yangu kuna mpya gani? Mana nilitoka kwa muda
Vizuri Sana.Leo nimepoooaaa sina baya, hiyo mchuchu usifanye nikawekwa pdf la kufungia mwaka bure![]()
mnyawaniNimetingwa kidogo uduguuu utanisevia mengine ntayakuta Kesho usiyafute uduguuu!! Ngoja nizime data kabesaaaa!!
Muwe na Usiku mwema wapendwaaaa!!
Shushenj hayo ma vitu,jamani khaa,



Yaani uko pm wanavyonishikilia nisiseme nyieee😂😂😂Hilo litakuwa la nne Kwa mwaka huu mie nanyweaga pepsi tu natuliaKufa hufi ila cha moto utakiona tena hapo kuna alphabet nyingine nimezipotezea ni kivumbi![]()
😂😂😂😂Yaani uko pm wanavyonishikilia nisiseme nyieee
Nikitulia ntakupigia video call unipe summary siwezi Rudi nyumaAah wapi
Mambo ni mengi kwakweli
Acha tu vijana wajifurahishe, ukitaka kuwaelewa haraka wasome taratibu
Hee
Kamekesha kumbe !
Inabidi tukarudishe chuo![]()




tenaaaa? Sirudii kamweeHilo litakuwa la nne Kwa mwaka huu mie nanyweaga pepsi tu natulia



nyie me sitaki hivi selfika ndio ilivyo??Figo ini ni akina nani?
Umbea unanipita nipo hapahapa




dada kweli wee uko hapa JF na humjui Kidney?Si wewe ndiyo wanguVipi mlongo,haujakabiziwa pisi humu![]()
Kametoboa hapa hakajafumba jicho hata kidogo![]()




umechachukaa vibayaa weyee.Sema tu 😀Niseme nisiseme??![]()