Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Halafu Cute Wife huyo aliyekuambia sasa nipo mfupi hujasikia alivyo yeye dah kwanza namdai hana hela anaajiri watu hajajipanga mkienda sasa ofisini mwa watu wanawakimbia na marafiki zangu wote waliniblock kisa hiyo kazi nikapauka nikasema bora kazi yangu ya udalali mwanaume anasura ya kizamani zamani , anavaa nguo za watu wa zamani yaani hujui ni mzee au nikijana

Ahsantreeeeeeeeeee!!! Pdf liko sawa
Sasa ngoja nimwambie muhudumu aniongezee shots moja niendelee kutoa wenge nitiririke
 
Halafu Cute Wife huyo aliyekuambia sasa nipo mfupi hujasikia alivyo yeye dah kwanza namdai hana hela anaajiri watu hajajipanga mkienda sasa ofisini mwa watu wanawakimbia na marafiki zangu wote waliniblock kisa hiyo kazi nikapauka nikasema bora kazi yangu ya udalali mwanaume anasura ya kizamani zamani , anavaa nguo za watu wa zamani yaani hujui ni mzee au nikijana

Ni mtu mzima kisheti mwenyewe nimemuona shost ni wale bushman
 
Me id yangu sio mpya sema mitaa hii nilikua sikatizi nipo toka 2015 upo?? Nilikuwa nashinda kwa lala 1 na kina hearly, heaven sent wengine nishawasahau mana niliitelekeza jf kwa muda
Sasa wenzio wengine waliovamia ndo shida ikaanzia hapo.

Ila kijiwe toka kianzishwe na mshana 2019 kilikuwa poa Sana.

Nami nilipoteaga nikaibuka 2022. Nikawa mgeni Tena.

Ila all in all nilichokiona na watoto wa kiume wamechangia pakubwa Sana vuruga amani

Na Huyu smart na country na wao ndo wamechangia pakubwa sana. Maana ndio wanaogombaniwa kiasi kikubwa.

Tafuteni hela dada zangu! Acheni mabifu ya kugombania mabwana mnajichoresha.
 
Sasa wenzio wengine waliovamia ndo shida ikaanzia hapo.

Ila kijiwe toka kianzishwe na mshana 2019 kilikuwa poa Sana.

Nami nilipoteaga nikaibuka 2022. Nikawa mgeni Tena.

Ila all in all nilichokiona na watoto wa kiume wamechangia pakubwa Sana vuruga amani

Na Huyu smart na country na wao ndo wamechangia pakubwa sana. Maana ndio wanaogombaniwa kiasi kikubwa.

Tafuteni hela dada zangu! Acheni mabifu ya kugombania mabwana mnajichoresha.
Sasa humu tunawagombania wakinani kwani kuna akina nani??
 
Afe Kwa lipi Sasa Jamani anatukosea sana kaleta mafile alafu anaogopa au ni Nini

Anaogopa kuyakabili haya lkn analea ujinga me nimemwambia nalewa yeye akazane kusali!!

Sasa kuna hili la watu kuliwa kwa laki mpk ushahidi upo yani. Huko grand villa game imepigwa sema muhusika wa hii issue simpendi MBAYA MBAYA MBAYA nitampa kiki tu
 
Back
Top Bottom