Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

shida nini mtu wangu, njoo pm tuyamalize

Piem unilete km swahiba ako?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Thubutuuuu!!!

Muwe na vifua kaka zetu, wote tungekua mafriji hayagandishi tungewaleta watu wengi humu!! Wengine wanatuma pic zao na namba za simu kabisa lkn unamkataa kistaarabu maisha mengine yanaendelea

Hizi mambo sio nzuri kabisaa, najua wewe muelewa na sijawahi kugombana na wewe lkn mmezingua na mwenzio kipenseli
 
Na vikundi vivunjwe, wajiunge vyenye faida km kausha damu, chupi mkononi ili tuwaze marejesho

Na wanaume waache kuwa nyuma ya wanawake hawa ndio tatizo kubwa humu nimeliona!! Yani mtoto wa kiume anashinda muda wote piem za dada zake kugombanisha

Na watu wazima hovyo mjifunze kukataliwa, wengine wanatishaaa jamaani khaaaaaa!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mungu anisamehe ila hapana ukweli tuseme mtu yupo toka enzi za TANU lkn naye hataki anajifanya rika la kina mshamba khaaaaaa!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu mbna km unataka kuyatindinganyaa tenaa?? Hutaki Amani weyeee?

Crews uchwaraaa zivunjweeee.
 
Piem unilete km swahiba ako??
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png

Thubutuuuu!!!

Muwe na vifua kaka zetu, wote tungekua mafriji hayagandishi tungewaleta watu wengi humu!! Wengine wanatuma pic zao na namba za simu kabisa lkn unamkataa kistaarabu maisha mengine yanaendelea

Hizi mambo sio nzuri kabisaa, najua wewe muelewa na sijawahi kugombana na wewe lkn mmezingua na mwenzio kipenseli
kwenye hayo mambo yake ya kusave picha za watu, kusema watu sihusiki, ila nilikua najua amachokifanya

sema nimeshaongea nae, hatowasumbua tena.... labda aje na id nyingine
 
Piem unilete km swahiba ako?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Thubutuuuu!!!

Muwe na vifua kaka zetu, wote tungekua mafriji hayagandishi tungewaleta watu wengi humu!! Wengine wanatuma pic zao na namba za simu kabisa lkn unamkataa kistaarabu maisha mengine yanaendelea

Hizi mambo sio nzuri kabisaa, najua wewe muelewa na sijawahi kugombana na wewe lkn mmezingua na mwenzio kipenseli
Boraa umchanee ukwelii, tena makavu live km hiviii. Woiiiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom