Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Na vikundi vivunjwe, wajiunge vyenye faida km kausha damu, chupi mkononi ili tuwaze marejesho

Na wanaume waache kuwa nyuma ya wanawake hawa ndio tatizo kubwa humu nimeliona!! Yani mtoto wa kiume anashinda muda wote piem za dada zake kugombanisha

Na watu wazima hovyo mjifunze kukataliwa, wengine wanatishaaa jamaani khaaaaaa!!! Mungu anisamehe ila hapana ukweli tuseme mtu yupo toka enzi za TANU lkn naye hataki anajifanya rika la kina mshamba khaaaaaa!!!
aisee,
 
Serious jf inataka kufanywa kua Kama Badoo. Ukiona I'd yakike akili inaruka na kuwaza mtongozo.

Na wakike akiona I'd ya kiume akili inaruka inahamia kwenye udangaji.

Full kuwindana

Ss hivi wajumbe wamesema wanaacha kila mtu yuko busy kutafuta pesa

SI ETI WAJUMBE?? Mbona kimya au tyr washazama Badoo kubaduana??

Mimi najua kila mmoja leo kashajua nini kipo nyuma ya yote haya na tutajirekebisha
 
Na vikundi vivunjwe, wajiunge vyenye faida km kausha damu, chupi mkononi ili tuwaze marejesho

Na wanaume waache kuwa nyuma ya wanawake hawa ndio tatizo kubwa humu nimeliona!! Yani mtoto wa kiume anashinda muda wote piem za dada zake kugombanisha

Na watu wazima hovyo mjifunze kukataliwa, wengine wanatishaaa jamaani khaaaaaa!!! Mungu anisamehe ila hapana ukweli tuseme mtu yupo toka enzi za TANU lkn naye hataki anajifanya rika la kina mshamba khaaaaaa!!!
Rika la Tanu Tena?

Sisi si ndio mnasema tunajua kulea.
 
Back
Top Bottom