Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aah!! Umefika hatimaye? Haya bwana wewe cha kunidanganya kila siku unanipenda kumbe una mademu wengine na umeniacha mwenyewe sina taarifa?? Emu nipe maelezo ya kutosha nielewe mana ulisema niko peke yangu??!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha tu vijana wajifurahishe, ukitaka kuwaelewa haraka wasome taratibu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka balaa
Watatuua

Kufa hufi ila cha moto utakiona tena hapo kuna alphabet nyingine nimezipotezea ni kivumbi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
 
Leo nimepoooaaa sina baya, hiyo mchuchu usifanye nikawekwa pdf la kufungia mwaka bure[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vizuri Sana.
Mchuchu tu me meanz dada kuwa na amani kabisa.

Natumai nyongo imeisha
 
Kufa hufi ila cha moto utakiona tena hapo kuna alphabet nyingine nimezipotezea ni kivumbi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
😂😂😂Hilo litakuwa la nne Kwa mwaka huu mie nanyweaga pepsi tu natulia
 
Umenifundisha umbea nimeanza kufukuzia nyendo zako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila usinipopoe tu
Ukinipopoa vocha ya Cute Wife sikupi[emoji125][emoji125][emoji125]
Kwaniii bado vochaa hajakupaa? Hebu I4wadiii kwangu chap kwa fastaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom