Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
Hamna kipenzi ni yale yale 🤨Ndugu yangu kuna mpya gani? Mana nilitoka kwa muda
Hamna kipenzi ni yale yale 🤨Ndugu yangu kuna mpya gani? Mana nilitoka kwa muda
Hvi hujui leo wewe nikuku wetu mtamu yammy goody nimeandaa kachumbari tunakukula alive



make kwanza nicheke Hamna kipenzi ni yale yale![]()
Nimeshusha muda shemVipi pdf jipya limeshushwa au nishushe langu![]()
Nimeshusha muda shem
Kumbe hujalipata?
Basi wewe samehe tu hilo lako litakua lime expire![]()




Nime kukosea nini binti Maua Unique Flower 🤐😁🤔Hvi hujui leo wewe nikuku wetu mtamu yammy goody nimeandaa kachumbari tunakukula alive
😀😀Ilo lazima niwepo😂😂Langu halija expire ni la moto
Nikishusha wote wanaamka hapa![]()
Basi tuongeze bidii katika kusaka mtonyo na kuwekeza🤒💪.Tunasajiria Nairobi tu hapo, halafu tunaanza na blocka ambazo kuna nchi za Congo DRC, central Africa na SADC countries😁.
Wateja wakubwa wanakua ni government agencies, Investors, Mashirika na Makampuni Makubwa ya habari, Taaisisi za utafiti, Business people n.k😃, ngoja tuendelee kuota, maana ni haki yetu kikatiba😁
Kuna vitu vinahuzunisha sana


Ilo lazima niwepo
![]()
😂😂😂😂 Nimecheka balaaHili linahusu wenye id zinazoanzia na
A
U
G
N
L
Hivi na wewe si A?? Lkn sio wewe
Kuna vitu vinahuzunisha sana![]()




Mchuchu nakusalimia!Jf nzito aiseeee!! Haswaaa upande wa selfika
Kuna mtu kumbe aliahidiwa kupewa mil 3 afu kaambulia laki nakojoooooooooaa
Ila wazee wa humu Mungu anawaona khaaaaa!!!
Yaani huu mpdf umenizidi kimo aiseeee!!
Naona ka ' A' hapo😂😂😂😂 Nimecheka balaa
Watatuua
Nimecheka sana yaani 😂😂😂Naona ka ' A' hapo
Mchuchu nakusalimia!




Acha tu vijana wajifurahishe, ukitaka kuwaelewa haraka wasome taratibuAah!! Umefika hatimaye? Haya bwana wewe cha kunidanganya kila siku unanipenda kumbe una mademu wengine na umeniacha mwenyewe sina taarifa?? Emu nipe maelezo ya kutosha nielewe mana ulisema niko peke yangu??!!!![]()