Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tunasajiria Nairobi tu hapo, halafu tunaanza na blocka ambazo kuna nchi za Congo DRC, central Africa na SADC countries😁.

Wateja wakubwa wanakua ni government agencies, Investors, Mashirika na Makampuni Makubwa ya habari, Taaisisi za utafiti, Business people n.k😃, ngoja tuendelee kuota, maana ni haki yetu kikatiba😁
Basi tuongeze bidii katika kusaka mtonyo na kuwekeza🤒💪.
👉Tupindue mezaa ya wageni, katika jumba letu(fungua code)😁 PakiJinja
 
Jf nzito aiseeee!! Haswaaa upande wa selfika
Kuna mtu kumbe aliahidiwa kupewa mil 3 afu kaambulia laki nakojoooooooooaa

Ila wazee wa humu Mungu anawaona khaaaaa!!!

Yaani huu mpdf umenizidi kimo aiseeee!!
Mchuchu nakusalimia!
 
Aah!! Umefika hatimaye? Haya bwana wewe cha kunidanganya kila siku unanipenda kumbe una mademu wengine na umeniacha mwenyewe sina taarifa?? Emu nipe maelezo ya kutosha nielewe mana ulisema niko peke yangu??!!!
Acha tu vijana wajifurahishe, ukitaka kuwaelewa haraka wasome taratibu
 
Back
Top Bottom