Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yanii humuuu kuna matatizo makubwa sana!!
Mfano yale mambo ya penseli eti mie ndio namtuma awanange kuhusu jamaaa mtu tulishaachana miaka nenda rudi akawa na list ya wanawake kibaoo humu hata jf seva shahidi Mtu nishamove on na maisha Yangu nae anaendelea zangu kuselfika zanguu kwaraha zangu mieee 🤠🤠😂😂 na life lake huko Kwamba hadi leo namtuma Penseli kwao what for???????? Namuogopa nani labda???? Namuogopa nani labda???
Ili nipate nini yani??? Mbona habari wanazijua Wengi humu na hakuna asiejua Kwanini nimtume Penseli????
Nazile dislikes jf nzima nilikua namtuma??? Mbona watu kibaoo humu wanaropoka ropoka tu kama vichaa na kuvamia na hamsemi wanatumwa nanani nyieee msiniletee bange zenuu tasavaliii!!!
Kwahio Na hao ambao hadi wananitag nao wanetumwa nahao???
Jiraniiii...
Pole jirani.
 
Yanii humuuu kuna matatizo makubwa sana!!
Mfano yale mambo ya penseli eti mie ndio namtuma awanange kuhusu jamaaa mtu tulishaachana miaka nenda rudi akawa na list ya wanawake kibaoo humu hata jf seva shahidi Mtu nishamove on na maisha Yangu nae anaendelea zangu kuselfika zanguu kwaraha zangu mieee [emoji1783][emoji1783][emoji23][emoji23] na life lake huko Kwamba hadi leo namtuma Penseli kwao what for???????? Namuogopa nani labda???? Namuogopa nani labda???
Ili nipate nini yani??? Mbona habari wanazijua Wengi humu na hakuna asiejua Kwanini nimtume Penseli????
Nazile dislikes jf nzima nilikua namtuma??? Mbona watu kibaoo humu wanaropoka ropoka tu kama vichaa na kuvamia na hamsemi wanatumwa nanani nyieee msiniletee bange zenuu tasavaliii!!!
Kwahio Na hao ambao hadi wananitag nao wanetumwa nahao???

Me nataka kumlipua mtu tulia, afu usipanic bana mbona kawaida kwani wanakutoa roho?? Afu hayo mambo yenu mbona hayaishagi emu Penseli aje jamani

Kukazwa kwa mwanamke kawaida anayeumia apeleke wa kwake Mxxiewwww
 
Saint Anne come this way unaitwaaa[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1783][emoji1783][emoji1783]!! Kumbee nawewe mnaa au nimesoma vibaya???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1783][emoji1783]!!
Heee
Mimi tena?

Wapi tena huko nimetajwa!?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahahhaha weka hapa tuone wote tafadhali. Maana kila mtu ana play victim humu ndani😂
nibembelezeni niweke 🤣🤣🤣 msipo nibembeleza basi nabaki nayoo 😅😅😅.. mie naweka mzigo kama ulivyo mwingine ananimbia natunga how ? huo.mkeka uwasaidie usikae unacheka na mtu hapa badae anaenda kukuanzishia mikasa
 
Back
Top Bottom