Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Afu kuhusu Grahams mbona mi nilishausoma mchezo muda sana ningekua ninaejalii ningeshauliza humu muda mrefu nashukuru hata sijalii as Long as kitu hakinihusu walaaaaa!! Nilishalisikia hilo muda mrefu sana mwenzenyuuuu!

Nasemaaaajeeeeee jf sihamiiiiii 🤣🕺🕺
Naona kuna watu wanataka niwape radhi, tangu lini Wazee tukawa na hayo mambo?

Sikuwahi kufikiria kama mtafikia hatua ya kuvunjiana adabu namna hii.

Sijapenda 🤨
 
alafu nipo busy kupeluzi files tu hapa.. naweka ushahidi amba upo huko.. naanza shambuliwa.. 😅😅😅 uzuri haya nayoweka ni kile ambacho kina umiza wengi.. hao waliopakaziwa figo ngoma ect mbona hawaruki ruki kama maharage.. kumjua mchawi rahisi sana..
Mjomba weka wasengenyaji walishasema hawaioni ufalme wa Mungu hata huu wa selfika hauwahusu hata km mm nilikusema Mjomba weka tu yaishe kwakweli kupakaziwa kunauma wanaumia na wao
 
Naona kuna watu wanataka niwape radhi, tangu lini Wazee tukawa na hayo mambo?

Sikuwahi kufikiria kama mtafikia hatua ya kuvunjiana adabu namna hii.

Sijapenda 🤨
Tena nimesikia umesifiwa kwa kusimamia ukucha babuuuu nikupe hongeraa tyuuuu sa nifanyeje???

Babuu kama ndio mnaambizana na wajukuu zako huko mnikome mieee jf Nishashindwagaa kitrambo sanaa so pulllllllliiiiiiiiizzzzz!!🙌🙌🙌🙌🙌!!
 
Back
Top Bottom