Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,844
- 57,504
Naona kuna watu wanataka niwape radhi, tangu lini Wazee tukawa na hayo mambo?Afu kuhusu Grahams mbona mi nilishausoma mchezo muda sana ningekua ninaejalii ningeshauliza humu muda mrefu nashukuru hata sijalii as Long as kitu hakinihusu walaaaaa!! Nilishalisikia hilo muda mrefu sana mwenzenyuuuu!
Nasemaaaajeeeeee jf sihamiiiiii 🤣🕺🕺
Sikuwahi kufikiria kama mtafikia hatua ya kuvunjiana adabu namna hii.
Sijapenda 🤨
