Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

" Huyu kapewa gono, yule anaumwa figo, yule ni single mother, fulani ana ngoma kamuambukiza fulani, yule kaliwa sana mwisho kachukuliwa na fulani, wanawake fulani ni low class..."

Hayo ni maneno ambayo huwezi kusema yanashangaza kwa mtu yoyote mwenye akili timamu, ila yanapozungumzwa na jinsia ya KIUME tena katika namna fulani ya kimbeambea, inatia mashaka kidogo. Katika hali ya kawaida mwanaume unaumiaje mwanamke akitongozwa, mbona ni issue za kawaida sana aiseeh..? Fulani analiwa sana/kaliwa sana, mbona sioni chochote cha ajabu kiumeni?

Sijawahi kuvutiwa kutaka kumfahamu vizuri huyu PENSELI, ila sasa napata wasiwasi juu ya Manhood yake.

Dogo Penseli 4 jirekebishe, kama kuna wanaokutia moyo kwenye hizo harakati zako ujue kabisa wanakupoteza.
Bro Ume zungumza kwa uchungu, natamani tuandae PAMBANO mkutane😁
 
Kwanza mi dizain ya wanaume wanaochekacheka kupitiliza nakila mwanamke humu mi nawawezeaa wapiii????🚮🚮🚮😏😏😏😏😏!
Huo moyoo sinaga kiukweli!! 🙌🙌🙌
! wee babu Sitrakii kabisa hio tabia ya kuwasambazia huu uongo!

Nipo napambana nahare yanguuu hukuuu nishakomaga muda sana!!
Afu Hizi habari nilishaambiwaga nikamuuliza mtu fulani Hum!!
Tutawaacha na Jukwaa lao la Selfika

Ngoja turudi kwenye majukwaa yetu ya Historia, maana bora tuwaandikie Vijana yale tuliyopitia miaka ile tunadai Uhuru wa Nchi kuliko huku kuchafuana wanakofanya.

So painful 💔
 
Hiii ni serious issue hawa watu hawana kazi za kufanya

Waarabu wakija wawachukue na hawa wakawe watumwa Mxxiewwww!! Yaani mtu anaacha kuwaza kutafuta chakula cha familia yake, katulia anapanga list za kingese kuzushia watu!!
Afu ni midume yenye midevu na mijike ilioingia hedhi inakaribia kukoma inatulia inatunga story kwa chit chat za selfika!!!!

Serikali waongeze tozo bundle zipande au warudishe kodi ya kila kichwa watu wawe serious na maisha humu
 
Nimewasamehe, ila jambo hili kutoka Moyoni kabisa sijalipenda.

Na it seems, Vijana wengi wa miaka hii hamjui kutunza Siri.

Kama mnaweza kuwa na Mahusiano humu, kwani ni lazima kila mtu ajue.

Jifunzeni kutunza Siri, kama mnaweza kuhadithiana haya vipi kama tulikuwa tuna Vibamia, si vyote mtaviweka hadharani jamani.

Tukiwa tuna comment hapa mtaanza kusema Angalia Kibamia hichi kinapita

Jamani heshimuni Privacy zenu

babu utaletwa na kiba chako wajukuu mafriji hayagandishi
 
Back
Top Bottom