Wajumbe walikua busy na umbea 🤣🤣🤣🤣Mr voucha
Jobless tuko na furaha
Mungu akubariki
Jamani
Airtel zote nilizoa Mimi
Na Voda 2
Mungu anipe nini tena Mimi
Haters watakasirika
Na bado
Sijawatuma mzubae
Hongera mama mchungaji
Tuselfike sasa
Wajumbe walikua busy na umbea 🤣🤣🤣🤣Mr voucha
Jobless tuko na furaha
Mungu akubariki
Jamani
Airtel zote nilizoa Mimi
Na Voda 2
Mungu anipe nini tena Mimi
Haters watakasirika
Na bado
Sijawatuma mzubae
Wakuandalie ulinzi chiefmkeka wa mwisho nataka ulinzi kama Mjep 😅😅😅😅😅.. bila ulinzi itakuwa ni patashika hapa
😂😂😂Ahaaa siwezi kunyamaza kabisa😅
Umeniacha hapo kwenye ndindo🤕😂😂😂
Ngoja nkashughulike
Ndindo zikiianza uje kuniita mwanafunzi wangu
Basi ni jasusi mbobezi.

Cute Wife mwambie mwenye hilo pdf akafungulie uzi kabisa ili tujuane![]()
Kama uko dar sema ninunue niweke dukani kwangu🤨Oyaa National Anthem na hapa husemi😁.
👉Oya Nuzulati kopa, Niku sake mji mzima😁😁😁
View attachment 2724304
I'm the Supastar weweee 😂😂😂🤣🤠!!Mwee afadhali safari hii nimepumzishwa
Sipo kwneye PDF
Ila Kuna watu hamjawahi pumzishwa,yaani bandika bandua watu wanaeatengenezea matukio tu
Kama wewe boss ledi
Watu sijui wanakuona mnyonge wao![]()
Ebu fungulia uzi chapDude nalishusha mwenyewe sihitaji silaha Nchi jirani front nakaa mwenyewe mwenye uchungu akazae ila lazima naye aone upuuzi anaofanyia mabinti anaosema anawasaidia kazi humu Mxxiewwww
Na nilikuwa sehemu network inasumbuaWajumbe walikua busy na umbea 🤣🤣🤣🤣
Hongera mama mchungaji
Tuselfike sasa
Nilisikiaga zamani 😀 Kwamba wahusika mmoja amefichwa nimezifuta km unazo nitumie nikamilishe uchunguzi
"Sikulamba sukari" una anakajua hako kastory?
😂😂😂vitasa liveUmeniacha hapo kwenye ndindo🤕
Niko nanjilinjii 🤓😁, daslaaam sija wahi fika😁Kama uko dar sema ninunue niweke dukani kwangu🤨
Tangu lini Wazee wakawa wana peleka Moto 🤪Hahahaaa eti kibamiaaa kileeee babu mbavuuu zanguuu miee🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂!!
Wakati umesifiwa una peleka motrooo hatareeeee 😁😁😁😊!
Si wakupongeze sasa tyuuuu🤣🤣🤣!
Mungu awarehemu tu no way!
🤣🤣For real, nimeshindwa kuelewa mnapataje hizo PDF na mimi nijionee.
Kwahiyo ulitaka kuamini kabisa kuwa hazitanifikia.? Zilifika zote.
Huyo mmoja aliyejisilibia ndio kiini chenyewe, maana alikuwa anamjaza dogo ili aendelee kutiririka.
Haki ya nani tutazichapa kwa bluetooth😅😂😂😂vitasa live
Si wanataka kuzichapa humu au nimesoma vibaya
😁😁Hakika Mkuu, wamenikosea sana Babu yao
Mwee afadhali safari hii nimepumzishwa
Sipo kwneye PDF
Ila Kuna watu hamjawahi pumzishwa,yaani bandika bandua watu wanaeatengenezea matukio tu
Kama wewe boss ledi
Watu sijui wanakuona mnyonge wao![]()


