Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mwee afadhali safari hii nimepumzishwa
Sipo kwneye PDF

Ila Kuna watu hamjawahi pumzishwa,yaani bandika bandua watu wanaeatengenezea matukio tu

Kama wewe boss ledi
Watu sijui wanakuona mnyonge wao
I'm the Supastar weweee 😂😂😂🤣🤠!!
Mfano nimeuliza mambo ya nyuma nimtume Penseli Ili iweje?? Nani asiefahamu hizo habari humu ???
Nahuyo anaeshadadia na kunitag kabisa wamemtuma???
Nyieeee
 
Hahahaaa eti kibamiaaa kileeee babu mbavuuu zanguuu miee🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂!!


Wakati umesifiwa una peleka motrooo hatareeeee 😁😁😁😊!

Si wakupongeze sasa tyuuuu🤣🤣🤣!
Mungu awarehemu tu no way!
Tangu lini Wazee wakawa wana peleka Moto 🤪

Yaani hapa nikiwa nacomment kuna mtu anasema angalia Kibamia hichi kina comment

Mbaya zaidi hujuani hata na mmoja humu.
 
Kwahiyo ulitaka kuamini kabisa kuwa hazitanifikia.? Zilifika zote.

Huyo mmoja aliyejisilibia ndio kiini chenyewe, maana alikuwa anamjaza dogo ili aendelee kutiririka.

Na huyo me ndo namtaka sana kwann yeye ajizibe?? Hapa huyo Penseli ilitakiwa aje alete walivyoanzana lazima kuna vitu naye alichangia
 
Back
Top Bottom