Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaha nimekumbuka mtu wa kwanza kuniacha hadi bp ilishuka aisee .. baadae nikamove on
Yaani anajua kabisa nina kinyongo naye [emoji23][emoji23] .

Juzi tumefundishwa kusamehee na kuachilia ... Nimesamehee maana we still chat Ila sijaachilia .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu cnaaaa khaaaa, mna matukio hivyo na hamsemi, sijapendaaaaa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kheeeeeeh wee ndo umeandikaaaa??? Sikuwahi jua una madesa hivi, sasa mbna hutoagi somo watu wajifunze.??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie nacheka km chizi hapa lol.
 
Shougaaaaaa angu nipooooooo hapaaa, nasoma madesa ya mapenzi na mahusiano, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mko vizuriii mnoooō
 
Usiku mwema wapendwa!![emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji3577][emoji3577][emoji3577]
Nikapumzishe fuvu langu kwa leo [emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42]
Kampumzike tyuuh, leo ulikua na heka heka hatareeeeh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…