Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaha nimekumbuka mtu wa kwanza kuniacha hadi bp ilishuka aisee .. baadae nikamove on
Yaani anajua kabisa nina kinyongo naye
.

Juzi tumefundishwa kusamehee na kuachilia ... Nimesamehee maana we still chat Ila sijaachilia .
mbavu cnaaaa khaaaa, mna matukio hivyo na hamsemi, sijapendaaaaa.
 
Kheeeeeeh wee ndo umeandikaaaa??? Sikuwahi jua una madesa hivi, sasa mbna hutoagi somo watu wajifunze.??

 
nyie nacheka km chizi hapa lol.
 
Shougaaaaaa angu nipooooooo hapaaa, nasoma madesa ya mapenzi na mahusiano,


Mko vizuriii mnoooō
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…