😳🙄Mleta mada hajui kama hamueleweki na hamjuagi mnataka au mnapenda nini...
Hivi byie hua mnatakaga au mnapenda nini, sema ukweli?
Sikupingi Mkuu Kaulimbiu Jipende kwanza mwenyewe haya mengine naturally huwa yanaflow tu yenyewe ..Ila unapokuwa tu na gari ni ulimbo kabisa haukatai ni added advantageYeah but tusisahau kuvaa mavazi mazuri ya gharama..
Mavazi ya gharama yenyewe kama yenyewe ni uchawi mkubwa sana wa nafsi. Ukiwa umevaa mavazi ya thamani kuna vitu ambavyo huwezi kuvifanya ambavyo ungeweza kuvifanya kama ungekuwa umevaa mavazi ya kawaida. Kwa mfano hata kama wewe upo addicted na kununua malaya kiasi gani huwezi kuwa umevaa suti ya milioni halafu ukaenda kulala na wale malaya wahaya wa buguruni. Hilo vazi la milioni lita activate the positive part of ur ego of which will never allow you to go that low
Yan mm nikiona mkaka msafi yan napagawa, afu anukie ndo kabisa nahis kucum , Gari mtu anaweza kupata bhn (artificial)lakin usafi na kuvaa vzur n natural jmn.
Sasa imagine umempata mkaka flan haalf msafi tuu naturally halaf anakuja kuwa na ndinga lake pia huko mbelen, nyie acheni tuu.
Penz na pesa mezani bila kujielezaHivi byie hua mnatakaga au mnapenda nini, sema ukweli?
Lil Bow Wow dogo amepotea kwenye mziki nakumbuka miaka ya 2002 dogo alisumbua sana akiwa na mkubwa Snoop Dog DogMtoa mada ni Pisi Kali Lil bow wow wahuni wanaruka nae tayari full tope.
Ukipewa hivyo, na bado unanuna bila sababu...Penz na pesa mezani bila kujieleza
Si utakuwa unajikojolea kila ukimuona huyo mkakaYan mm nikiona mkaka msafi yan napagawa, afu anukie ndo kabisa nahis kucum , Gari mtu anaweza kupata bhn (artificial)lakin usafi na kuvaa vzur n natural jmn.
Sasa imagine umempata mkaka flan haalf msafi tuu naturally halaf anakuja kuwa na ndinga lake pia huko mbelen, nyie acheni tuu
Hiyo inaitwa " the power of dressing nicely"Mwanamke anaweza kukutana na wewe kabla ya kuona na gari. The way you look ndio itakupa marks. Mfano kwenye party au club.
Enzi za ujana kuna siku niko club(nililipuka sana). Sasa kuna Jamaa alikuwa anamsumbua mtoto mmoja mkali sana. Yule mtoto bila mimi kujua akamwambia yule jamaa niache nitakuita BF wangu Moto utawaka hapa akanipoint Mimi.
Jamaa (alikuwa tipsy kidogo) akanifuata ananiomba msamaha Kwa kumsumbua 'GF' wangu Mimi nashangaa nani? Akanionesha Yule demu na yeye akaangalia upande wetu huku anatabasamu. No prize for guessing what happened next!
🤣mapenz yqna mambo yanayochekesha sana aiseeHakika, mambo yenu nawaachia wenyewe...