Rostam Aziz yuko wapi? CCM mlisema ni mtanzania halisi

robinson crusoe

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2020
Posts
800
Reaction score
1,301
CCM mlisema Rostam Aziz ni mtanzania, mfanyabiashara mashuhuri, ni mwenzenu.

Sisi wana Igunga hatumuoni mbunge wetu wa zamani. Haonekani kufuatia hotuba ya Kapteni Tesha.

Taarifa za chini zinasema katimkia Zambia. Tunamuomba mzalendo huyu toka Iran, aje kupiga kura.

Tunachezewa sana! Eti mfanyabiashara!
 
Huyo ni kibubu cha pesa za wizi nchini. Wote anawatunzia na anatumika, huku akijidai mfanyabiashara. Wapo na vijana wake ndani ya baraza la Mawaziri.

Hapo morogoro vipi? Kiwanda cha tumbaku kimemalizika kujengwa? Kitakuwa mali ya nani? Wizara ya Kilimo aliyetoa pesa, au kitachukuliwa na MKWAWA?
 
CCM mlisema Rostam Aziz ni mtanzania, mfanyabiashara mashuhuri, ni mwenzenu.

Sisi wana Igunga hatumuoni mbunge wetu wa zamani. Haonekani kufuatia hotuba ya Kapteni Tesha.

Taarifa za chini zinasema katimkia Zambia. Tunamuomba mzalendo huyu toka Iran, aje kupiga kura.

Tunachezewa sana! Eti mfanyabiashara!
yupo mwese
 
JAmaa janja sana, awamu hii gia yake ya kwanza kuiweka serikali mfukoni ilikuwa kufadhili ile roho tour, baada ya pale pimbi yeyote nchini aliyejaribu kuzuia dili zake cha moto amekipata...Lissu alihoji kuhusu mgodi wake wa makaa ya mawe kule Ruvuma sote tunajua kapigwa kesi ya uhaini anahangaika nayo hadi leo!.
 
Hata kampeni za mama jamaa kachangia bi za kutosha ila kwa siri
 
JAmaa janja sana, awamu hii gia yake ya kwanza kuiweka serikali mfukoni ilikuwa kufadhili ile roho tour, baada ya pale pimbi yeyote nchini aliyejaribu kuzuia dili zake cha moto amekipata...Lissu alihoji kuhusu mgodi wake wa makaa ya mawe kule Ruvuma sote tunajua kapigwa kesi ya uhaini anahangaika nayo hadi leo!.
NAsikia ni pesa zao. Wanachota serikalini, yeye anatunza kwa kujidai muwekezaji. Sasa Hotuba ya Tesha kanywea. Wenzake waliotajwa pia hatuwasikii. Au wanadhani hatukusikia majina yao?
 
Alikuwa Zambia nadhani atakuwa amerejea kutiki.
 
CCM mlisema Rostam Aziz ni mtanzania, mfanyabiashara mashuhuri, ni mwenzenu.

Sisi wana Igunga hatumuoni mbunge wetu wa zamani. Haonekani kufuatia hotuba ya Kapteni Tesha.

Taarifa za chini zinasema katimkia Zambia. Tunamuomba mzalendo huyu toka Iran, aje kupiga kura.

Tunachezewa sana! Eti mfanyabiashara!

Ameona ahamishe majesi yake huko zambia jamaa snitch sana
 
Wahandisi wa mifumo Huwa hawafanyi kazi front wanafanya kazi kwenye injini ya mifumo hiyo. Huwezi kumwona ila yanayo endelea probably anahusikia kwa asilimia nyingi
 
Huyo ni kibubu cha pesa za wizi nchini. Wote anawatunzia na anatumika, huku akijidai mfanyabiashara. Wapo na vijana wake ndani ya baraza la Mawaziri.

Hapo morogoro vipi? Kiwanda cha tumbaku kimemalizika kujengwa? Kitakuwa mali ya nani? Wizara ya Kilimo aliyetoa pesa, au kitachukuliwa na MKWAWA?
kile kiwanda cha Bashe au ana hisa kubwa sana wengine pale geresha tu
 
CCM mlisema Rostam Aziz ni mtanzania, mfanyabiashara mashuhuri, ni mwenzenu.

Sisi wana Igunga hatumuoni mbunge wetu wa zamani. Haonekani kufuatia hotuba ya Kapteni Tesha.

Taarifa za chini zinasema katimkia Zambia. Tunamuomba mzalendo huyu toka Iran, aje kupiga kura.

Tunachezewa sana! Eti mfanyabiashara!
Hataki hata kutiki itabidi tuutafute huo uzalendo wake!
 
Back
Top Bottom