Hata kama anarudi, mtashindwa kunyamazisha sauti za wananchi mtandaoni, elewa hicho. Tuna haki ya kuwa na maoni. Yale mambo ya kihuni yaliyopitiliza mliofanya awamu ya 4 mtashindwa, yamepitwa na wakati. Dunia imefunguka. Hamna kitu mtaweza kufanya ndani ya nchi kisitoke nje. Na ndio kinachoponza vijana watukutu, wamekuwa wajeuri, sasa vitu vyao vimeanikwa na vinaaibisha mtandao mzima.
Hela zinazoibwa, mali zinazonunuliwa ndani na nje ya nchi, hata mkitumia diplomatic passports, mnaacha footprints kila mahali, na mna-advantage ya ufisadi na uharibifu serikalini ambao hai-hold wahalifu accountable but from anywhere at anytime ikitokea serikali ndani au nje ya nchi ambayo iko ready kuwa serious na kuforce wezi na wauaji kuwajibika justice will be served -- inaweza ikachuka miaka 10, 20, hata 100 -- kila kitu kitajulikana na Mungu anavyotujali justice delayed isn't justice denied -- watayapata kotekote.
Kuiba na kutakatisha hela mnabreak international laws -- lakini mkiletewa ushahidi serikali ifanye kazi yenyewe hamna kinachofanyika miaka nenda rudi (allegedly). Mnapewa sovereignty mnaimis-use (allegedly). International co-operation kupinga uhalifu upo -- simumeona Teddy alivyonyanganywa nyumba Paris na magari Geneva -- ndio maana kuna wenye viwanja mia hapa nyumbani (allegedly) -- it is easier kumake sure serikali ya hapa inabaki ilivyokuliko kurisk kunanganywa mali huko nje.