Tina
JF-Expert Member
- Jul 9, 2007
- 572
- 579
Inajulikana kwamba Mtikila amekua akiishambulia na kuisakama CCM kwa muda mrefu.
-Mtikila amefungua kesi nyingi dhidi ya serikali ya CCM
-Mtikila amekua akiwashambulia viongozi wa CCM akiwamo Kikwete, Lowassa, Sumaye, Mkapa na hata Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere
-Mtikila ndiye aliyeibua hoja ya ubaguzi wa rangi na kusababisha mtafaruku mkubwa kwa kuwaita watu wenye asili ya Asia kuwa ni magabacholi
-Mtikila hakuwa na fedha na hana kipato, lakini sasa imebainika kwamba mfadhili wake mkuu ni Rostam Aziz, ambaye sasa anaanza kujivua gamba lake na kubaki na sura halisi
Rostam kama ameanza kumsema Mtikila na kuwageuka wanamtandao wenzake kwa kuwasema kwamba wanafanya ufisadi wa ngono hata wale ambao alikua akivinjari nao pale Sheraton/Royal Palm/Movernpick na baadaeye Kempisk na hata wale aliokua akikutana nao viwanja vya Dubai.
Hapo baadaye atawataja ama anawatisha kuwataja wale wote aliowafadhili katika chaguzi mbalimbali na hivyo hao CCM waliofadhiliwa na Rostam, wasijione wako salama kwani hapo baadaye akizidi kuchanganyikiwa atawataja wote hata wale wa juu kabisa wakiwamo wapinzani, waandishi wa habari, watendaji serikalini, wafanyabiashara na viongozi wa dini.
Kwa hiyo CCM wasichelewe, waanze sasa, wamhoji, maana sasa amechanyikiwa anaweweseka, atasemsa hata yasiyostahili, kama si hadharani atasema huko vichochoroni
-Mtikila amefungua kesi nyingi dhidi ya serikali ya CCM
-Mtikila amekua akiwashambulia viongozi wa CCM akiwamo Kikwete, Lowassa, Sumaye, Mkapa na hata Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere
-Mtikila ndiye aliyeibua hoja ya ubaguzi wa rangi na kusababisha mtafaruku mkubwa kwa kuwaita watu wenye asili ya Asia kuwa ni magabacholi
-Mtikila hakuwa na fedha na hana kipato, lakini sasa imebainika kwamba mfadhili wake mkuu ni Rostam Aziz, ambaye sasa anaanza kujivua gamba lake na kubaki na sura halisi
Rostam kama ameanza kumsema Mtikila na kuwageuka wanamtandao wenzake kwa kuwasema kwamba wanafanya ufisadi wa ngono hata wale ambao alikua akivinjari nao pale Sheraton/Royal Palm/Movernpick na baadaeye Kempisk na hata wale aliokua akikutana nao viwanja vya Dubai.
Hapo baadaye atawataja ama anawatisha kuwataja wale wote aliowafadhili katika chaguzi mbalimbali na hivyo hao CCM waliofadhiliwa na Rostam, wasijione wako salama kwani hapo baadaye akizidi kuchanganyikiwa atawataja wote hata wale wa juu kabisa wakiwamo wapinzani, waandishi wa habari, watendaji serikalini, wafanyabiashara na viongozi wa dini.
Kwa hiyo CCM wasichelewe, waanze sasa, wamhoji, maana sasa amechanyikiwa anaweweseka, atasemsa hata yasiyostahili, kama si hadharani atasema huko vichochoroni