Selous
JF-Expert Member
- Jan 13, 2008
- 1,325
- 144
Kupeshana, kuombana na ufisadi ni vitu tofauti kabisaa. Goood Mtikila. Assume mke au mume wako mnafanya ofisi moja na mmoja wao ni bosi. Je mkihitilafiana mpaka ndo ikavunjika huko ofisini kutakalika kweli? kumbe leo ukipewa msaada au mkopo inabidi ushabikie hata maovu? sitaki kuamini kuwa hata shetani akisema ameonewa tutapiga makofi.
Be careful
Be careful