Rostam aibukia kanisani!

Rostam aibukia kanisani!

Jamani atakuwa alipewa TAKRIMA ila CCM wao wanadai sio dhambi kupokea takrima ngoja tumsikilize ametutia aibu sana mil.3 tu pesa ndogo sana Mtikila ana njaa waungwana inabidi tumsaidie.
 
Mtikila na Rostam lao moja: Ila kwa sasa Rostam anaweweseka na siku si nyingi wanasiasa na waandishi watakaomgeuka nao atawataja na fedha alizowapa. Jambo la msingi ni kwamba, siku mtikila anakabidhiwa hizo fedha zinaoana na siku Mtikila alipofungua kesi dhidi ya gazeti la Mwanahalisi, na siku alipofungua kesi dhidi ya Mwanahalisi, ndio siku Rostam alifungua kesi dhidi ya Mwanahalisi. Hapo kuna kazi kweli kweli. Lakini kwa CCM wanapaswa kumfukuza Rostam kwa kushirikiana na wapinzani tena kwa kuwafadhili dhidi ya serikali na chama chao

Kesi inafunguliwa si na MTIKILA PEKE YAKE!

Kuna hata mahakimu MAFISADI NA HATA SLAA KASHALALAMIKA KUHUSU YULE HAKIMU KWENYE JIMBO LAKE AMBAYE ANAMILIKI BAA ZA KIFAHARI!

Sasa kama mahakimu wanaitwa watakatifu na ama watukufu na halafu wanafanya mambo ya kifisadi...Then tuna haki ya kumlaumu Mtikila kwa Milioni tatu alizokopa?

Sisi wachambuzi makini...Haina maana kuwa tuna imani na Mtikila moja kwa moja NO!

Ila anachosimamia kama kweli tuna nia nzuri na si uchu wa madaraka...Basi tuungane naye ili hata Hiyo kesi iwe HURU NA TUPATE MAHAKIMU NA MAJAJI HURU!

Pia tupiganie kwa sheria ya DPP kufutwa...!

Huu si wakati wa kunyoosheana vidole kati ya masikini na masikini!

Ni wakati wa kufanya kweli na Kumfikisha Mfisadi kule kunakotakikana!

Na hata hapa jf kuna watu ambao wana itikadi za tofauti lakini bado inapokuja kwenye mijadala flani flani tunakubaliana...Licha ya kwamba ndani ya mijadala hiyo si kila kitu tunachokubaliana nacho...Bado tunakubaliana kwenye yale ya msingi.

Kwa mfano kuna ile issue ya Zimbabwe..Kwamba ni kweli hatukukubaliana na Viongozi wetu wahangaikie na mambo ya wazimbabwe na huku wakitaka kupeleka watoto wetu wakafe huko.. wakati yetu ni makubwa tena labda kuliko hayo ya Zimbabwe...

Lakini watu hao hao waliokubaliana na mimi kuwa Viongozi wetu waachane na mambo ya Zimbabwe...Bado tunatofautiana pale inapokuja kwenye kutafakari juu ya namna ya kudili na issue hii ya Ufisadi Nyumbani.

Kwa maana hiyo basi...Wapinzani wengine wanaweza wasikubaliane na Mtikila...Lakini NI LAZIMA WAKUBALIANE NAYE KUWA HAKI NI SHERIA NA WALA SI SIASA!

Kwamba Mtikila lake moja na Rostam...Then na nyie ingieni kwenye vita kikamilifu ili kuhakikisha kuwa thats not he case!

Ni kesi ngapi amefunguwa Mtikila na wapinzani wako pembeni tu?

Nani alianza kudai TANGANYIKA KABLA HATA MMOJA WENU HAJAFUNGUWA MDOMO?!

MREMA ALIPOPATA SHIDA NA KUWEKWA NDANI KWA KUTAJA KASHFA ZA MKAPA...NA SASA AMESHINDA KESI...JE HAMUONI KUWA ALIHITAJI SAPOTI NA BADO ANAHITAJI SAPOTI?

Hatutaki migawanyiko na mimi nawaambia kwa jinsi wananchi wanavyoteseka...Kuna wengine tutakufa kwa ajili yao POTELEA MBALI almuradi FISADI NAYE KAFA!
 
siku moja horace kolimba aliebda pale sukita kuchukua complimentary, sukita lilikuwa duka kubwa la ccm nadhani sijui ni pale tabata, mtilika akapata hizi habari. kesho yake mtikila naye akaenda pale sukita na mazumghumzo yalikuwa hivi

mtikila: horace alifika hapa jana kuchukua complimentary siyo?

mhudumu:" ndiyo mchungaji

mtikila: alichukua nini na nini?
huku mhudumu akijua labda mtikila alikuwa na hamu ya kushindana na kolimba kwa kununua vitu kama alivyochukua horace kolimba

mhudumu: alichukua nyama ya mguruwe kama kg 10

mtikila: safi nipimie na mimi weka kwenye gari

mtikila: halafu akachukua nini tena

mhudumu: akachukua bia kreti 5
mtilkila: hapana shiyo usinipe nimeokoka

mhudumu: akachukua soda kreti 5

mtikila-nipe , weka kwenye gari
mhudumu: akchukua unga, mchele, maharagwe,

mtilkila-nipe vyote

huku akiwa amechukua vyoye,mhudumu akawa amekaa anasubiri mtikila alipe

mtikila: mwambie horace kolimba nimechukua complimentary kama alivyochukua yeye
SAA YA UKOMBOZI NI SASAAAA, KISHA AKAONDOKA
 
Habari za watutsi kuvamia jeshi na financiali institutions kama BOT we umezichukulia vipi?
Kwamba hata mipaka aliyoweka mwalimu si afadhali hata ile ya mkoloni?
Kusema unapenda demokrasia na kuyachukia baadhi ya makabila na kuwakumbatia wageni ndio USHUJAA HUO?
Kusema Mtikila na Mrema walikuwa hawana akili timamu bali MKAPA NI USHUJAA?
Kwenye debate kama hizi....NO WAY!

...there u go again Mushi,haya mambo ya magabacholi,watutsi na wachaga naona wanaanza kuunganishwa kinamna siku hizi ndio mwanzo wa civil unrest katika nchi nyingi,kufikiri wahindi wote ni wezi/sio raia na kuwaita magabacholi is very unfair na hao watutsi ninavyojua wengi wao wamejaa Kigoma mpaka Ngara na ni watanzania lazima ujue katika makabila ya waha na wahangaza wengi wao ni watutsi au wahutu na wao wanajuana uliza utaelimishwa sio kurukia tuu kila mtutsi sio raia
 
HIvi kwa nini mnampa USHINDI huyu Fisadi Rostam Aziz, yaani mnampa ushindi kwa kukubali hoja yake ya kumshutumu Mtikila. Rostam amewachota akili kiasi hiki; alifanya majaribio 2 pale Kempisk

1. ni kuchokonoa masuala ya kidini na kusema yeye muislamu kuchangia kanisa imekuwa nongwa; amewatoa kabisa kwenye hoja ya msingi kwamba yeye "fisadi" asichangie na kujisafisha kanisani.

2. Ni kumtupia lawama Mtikila kuwa aliwahi kumkopesha; hili mimi limenithibitishia kabisa kuwa Mtikila at least kwenye hili ameonyesha msimamo; ingawa alipewa hela lakini amesimama na kutetea maslahi ya Taifa. Lakini lengo la Rostam Aziz limefanikiwa; sasa hapa tunakesha kumjadili mzalendo Mtikila!!! Rostam saa hivi anapiga mluzi huku akijumlisha hesabu za leo zimeingia milioni ngapi za walalahoi kwenye akauti yake binafsi.
 
...there u go again Mushi,haya mambo ya magabacholi,watutsi na wachaga naona wanaanza kuunganishwa kinamna siku hizi ndio mwanzo wa civil unrest katika nchi nyingi,kufikiri wahindi wote ni wezi/sio raia na kuwaita magabacholi is very unfair na hao watutsi ninavyojua wengi wao wamejaa Kigoma mpaka Ngara na ni watanzania lazima ujue katika makabila ya waha na wahangaza wengi wao ni watutsi au wahutu na wao wanajuana uliza utaelimishwa sio kurukia tuu kila mtutsi sio raia

Hata hao wahindi na waarabu kama wanataka USALAMA WASITUHARIBIE WATOTO WETU,MALI ZETU NA VIZAZI VYETU!

Wanataka twende India na uarabuni?

Nani hajuwi huko kwao ni UBAGUZI NA MWEUSI NI KITUKO?

Hao wahindi wenyewe huko kwao wana sytem ambayo hata mwalimu mweyewe nashangaa kwanini aliwakumbatia watu wenye kubaguana kwa sytem ya "CASTES"

Uarabuni kuna mafuta lakini hawawezi lima chakula hivyo tunategemeana na sisi tumewazidi wote bila kujali mzungu,mwarabu wala mchina china!

Washiriki kikamilifu kwenye UCHUMI NA NAMNA YA KUMKWAMUA MTANZANIA MWEUSI AMBAYE WANAKULA MALI ZAKE BILA HATA YA KUNAWA!

Sasa viongozi wetu wanasema sisi wananchi ni WABOVU..NA KUSEMA SISI NI MASIKINI OMBA OMBA...NA SASA BAADA YA MUHINDI..ETI WAMEMETA MCHINA MASIKINI AMBAYE NAYE KAMA MUHINDI..ATATAJIRIKA NA MUDA SI MREFU CHINGA NA KINA MTIKLA WATAKUWA WAKIPITA MADUKANI NA MAOFISI KWAO WAKI OMBA OMBA!

Nani wa kutumbia kitu?

Mwarabu kwasabau ya mafuta?

HATA SISI TUNA MAFUTA..TENA TUNA DIAMONDS NA GOLD NA MADINI MENGINE KEDEKEDE!

WAHINDI?

No WAY...TUNA ARDHI YA KUILISHA DUNIA NZIMA WAZUNGU NA WAHINDI HATUNA HAJA NA KACHORI ZAO!

Na pia HATUNA HAJA YA TSIVANGIRAI!

Tunataka hata wao wabadilike ili masiha ya mweusi yawe mazuri kama yao la SIVYO WAONDOKE NCHINI!
 
Mtikila hajatuangusha....kama kuna dume mpaka sasa kwenye hili game ni Mtikila. Yeye amemuendea Rostam Aziz kabla ya ripoti ya Dr Mwakyembe kutoka, amekopa/amepewa Mil 3. Lakini mara baada ya ripoti ya Rostam Aziz kutoka Mtikila hakumuonea aibu kwa sababu eti alishawahi kumkopa/kumuomba Mil 3 huko nyuma. Mtikila alipogundua kuwa Rostam Aziz ni Nyani, hakumuangalia usoni; aibu wala woga Mtikila akaanza kupambana naye moja kwa moja...

Rostam mpaka sasa ametuthibitishia kuwa yeye ni FISADI kwa kugawa/kutoa/kukopesha pesa kwa wanasiasa/mashirika ya dini na wanajamii wengine huku akiwa na nia ya kuonewa aibu akiwa anatuibia Watanzania.

Bravo Mtikila, pambana nao hao kama walivyo.

Hapendwi mtu, Taifa mbele.


Report ya Mwakyembe ilieleza ubaya wowote wa Rostam Aziz? mbona sioni hapo mahali? Katika watanzania milioni 40 ameona pa kwenda kukopa ni kwa Rostam tu?????????????????????Haiingii akilini.
 
Report ya Mwakyembe ilieleza ubaya wowote wa Rostam Aziz? mbona sioni hapo mahali? Katika watanzania milioni 40 ameona pa kwenda kukopa ni kwa Rostam tu?????????????????????Haiingii akilini.

Rostam Azizi atajibu bungeni na MAHAKAMANI KUWA YEYE HANA MAKOSA NA MWAKYEMBE ALIMWONEA YEYE NA KINA LOWASSA...Hilo atamweleza jaji na ataanza kwa kufanya hivyo kwa kuwaeleza wananchi huko BUNGENI KWANZA.

Wakijibu mahakani hizo tuhuma..Then watasema kuwa ni KIVIPI WAMEONEWA...Sisi tunajuwa dili lote na hatutakubali kuyumbishwa!

KAMWE...TUNAJUWA HAKI NI SHERIA NA SHERIA NI HAKI!

USAFI JE...?

UTAPATIKANA MAHAKAMANI...KWANZA BAADA YA BUNGENI.

NA SI KEMPISKI,KANISANI KWA SIX AMA HATA JF!

Na pia si kwa kutwist issue ya MTIKILA.

RUDI BUNGENI ROSAMA AZIZ..MKAPAMBANE NA HOJA ZA MWAKYEMBE..HUKU MNAJIDHALILISHA BURE!

Inaelekea mlikuwa hamjuwi kuwa wakati nyie mnaendelea na Bunge na vikao vyenu..Na sisi hapa jf tulikuwa tunaendelea na bunge letu la kizalendo na vikao madhubuti vyenye kuchanja issues na si THE BUTIAMA DECLARATION AND SO FORTH.
 
Hata hao wahindi na waarabu kama wanataka USALAMA WASITUHARIBIE WATOTO WETU,MALI ZETU NA VIZAZI VYETU!

Wanataka twende India na uarabuni?

Nani hajuwi huko kwao ni UBAGUZI NA MWEUSI NI KITUKO?

Hao wahindi wenyewe huko kwao wana sytem ambayo hata mwalimu mweyewe nashangaa kwanini aliwakumbatia watu wenye kubaguana kwa sytem ya "CASTES"

Uarabuni kuna mafuta lakini hawawezi lima chakula hivyo tunategemeana na sisi tumewazidi wote bila kujali mzungu,mwarabu wala mchina china!

Washiriki kikamilifu kwenye UCHUMI NA NAMNA YA KUMKWAMUA MTANZANIA MWEUSI AMBAYE WANAKULA MALI ZAKE BILA HATA YA KUNAWA!

Sasa viongozi wetu wanasema sisi wananchi ni WABOVU..NA KUSEMA SISI NI MASIKINI OMBA OMBA...NA SASA BAADA YA MUHINDI..ETI WAMEMETA MCHINA MASIKINI AMBAYE NAYE KAMA MUHINDI..ATATAJIRIKA NA MUDA SI MREFU CHINGA NA KINA MTIKLA WATAKUWA WAKIPITA MADUKANI NA MAOFISI KWAO WAKI OMBA OMBA!

Nani wa kutumbia kitu?

Mwarabu kwasabau ya mafuta?

HATA SISI TUNA MAFUTA..TENA TUNA DIAMONDS NA GOLD NA MADINI MENGINE KEDEKEDE!

WAHINDI?

No WAY...TUNA ARDHI YA KUILISHA DUNIA NZIMA WAZUNGU NA WAHINDI HATUNA HAJA NA KACHORI ZAO!

Na pia HATUNA HAJA YA TSIVANGIRAI!

Tunataka hata wao wabadilike ili masiha ya mweusi yawe mazuri kama yao la SIVYO WAONDOKE NCHINI!

...endelea kutumia hizo lugha zako za wahindi,mtanzania mweusi,mtutsi,mwarabu etc ila siku wengine wakianza kutumia mangi na kuanza kukutoa mbio ndio utatia akili
 
...there u go again Mushi,haya mambo ya magabacholi,watutsi na wachaga naona wanaanza kuunganishwa kinamna siku hizi ndio mwanzo wa civil unrest katika nchi nyingi,kufikiri wahindi wote ni wezi/sio raia na kuwaita magabacholi is very unfair na hao watutsi ninavyojua wengi wao wamejaa Kigoma mpaka Ngara na ni watanzania lazima ujue katika makabila ya waha na wahangaza wengi wao ni watutsi au wahutu na wao wanajuana uliza utaelimishwa sio kurukia tuu kila mtutsi sio raia


kaka samahani ila i think africa is for african na wahindi wengi kama kina Rostam hawa uchungu na nchi yetu na ndio maana unaona wanafanya wanayoyafanya, you go to india kama utapewa cheo chochote na ngozi yako yenyeusi, apart from america niambie nchi nyingine ya ngozi nyeupe utakayokuta muafrica( when i say muafrica i mean a black african and not waafrica kama kina RA, Tanil etc) mwenye cheo cha kisiasa......Hii nchi imeuzwa ndugu zangu and it pain me kuona wahindi wanakuja kutupelekesha katika nchi yetu....Kuhusu watusti kwakweli sina usemi kama tutakuwa wakweli most of them are not tanzanians by origin na ndio maana wengi waliokuwa na elimu walirudi kwao baada ya genocide..sorry kama wewe ni mtusi ila ndio hivyo
 
Wanandugu,
Hivi kuna mtu hapa maishani hajawahi KUKOPA? Kukopa kuna ubaya gani? Hata kama RA ni fisadi sasa ina uhusiano gani na KUKOPA? Angelikuwa kapewa fedha hilo ni jingine. Na hapa tunaongelea dola 3,000 tu ambayo ni nauli ya kwenda USA na kurudi na bado hapo hujala. Hebu tuache USHAMBA. Tunakuwa kama wale jamaa wa mitaani kuwa tayari KUMCHOMA mwizi wa shilingi 10,000 ila FISADI kumsujudu. Badala ya kukaa kujadili juu ya wizi wa MABILIONI, sisi tunajadili milion 3. Kwa kweli hata kama RA anaifahamu JF na kuja kusoma hii thread, inabidi ajisifu kuwa ".. Ahhh kweli mie nina akili, nimeigawa hata JF? .." Watu utafikiri walikuwa wakisubiri Mtikila ajikwae na hapo waanze kuonyesha jinsi ALIVYOANGUKIA KINYESI. Loooohhhhh, tooooo shame.
Mie nilishakopa mara nyingi tu. Nilishakuwa kwenye sherehe kibao. Ikitokea kesho eti hao watu ni MAFISADI au MAUWAJI, haimaanishi namimi nimekuwa kama wao. Mhhh, kazi ipo nchi hiyo. Heri hata ya Wachina na wengi wao but they think +.
 
...endelea kutumia hizo lugha zako za wahindi,mtanzania mweusi,mtutsi,mwarabu etc ila siku wengine wakianza kutumia mangi na kuanza kukutoa mbio ndio utatia akili

Nani anitowe mbiyo?
Mwarabu ama muhindi?
Kwenye nchi yangu?
THUBUTU!
Wamwulize MZUNGU MKOLONI NA KABURU KWANZA!
 
Wanandugu,
Hivi kuna mtu hapa maishani hajawahi KUKOPA? Kukopa kuna ubaya gani? Hata kama RA ni fisadi sasa ina uhusiano gani na KUKOPA? Angelikuwa kapewa fedha hilo ni jingine. Na hapa tunaongelea dola 3,000 tu ambayo ni nauli ya kwenda USA na kurudi na bado hapo hujala. Hebu tuache USHAMBA. Tunakuwa kama wale jamaa wa mitaani kuwa tayari KUMCHOMA mwizi wa shilingi 10,000 ila FISADI kumsujudu. Badala ya kukaa kujadili juu ya wizi wa MABILIONI, sisi tunajadili milion 3. Kwa kweli hata kama RA anaifahamu JF na kuja kusoma hii thread, inabidi ajisifu kuwa ".. Ahhh kweli mie nina akili, nimeigawa hata JF? .." Watu utafikiri walikuwa wakisubiri Mtikila ajikwae na hapo waanze kuonyesha jinsi ALIVYOANGUKIA KINYESI. Loooohhhhh, tooooo shame.
Mie nilishakopa mara nyingi tu. Nilishakuwa kwenye sherehe kibao. Ikitokea kesho eti hao watu ni MAFISADI au MAUWAJI, haimaanishi namimi nimekuwa kama wao. Mhhh, kazi ipo nchi hiyo. Heri hata ya Wachina na wengi wao but they think +.

Baadae watakuja na kuanza kusema kuwa PESA ZA EPA HAZINA UBAYA KWANI HATA WANANCHI WALIZILA PESA HIZO PALE WALIPONUNULIWA PILAO,KANDAMILI NA KANGA!

Sasa wanataka wananchi nao waitwe mafisadi kwasabau eti waliwagawia pilao na malapa kutokana na pesa za EPA?

WANAOTA HAWA!

NAONA WANAPOTEZA MUDA..NA MIMI NITAUMALIZA MJADALA HUU FASTA FASTA ILI WARUDI HUKO BUNGENI NA BAADAYE MAHAKAMANI.

NA KIKWETE HUU NI UJUMBE WANGU...!

USITHUBUTU KUJA WASHINGTON KAMA HUJAKAMATA MAFISADI...KWANI USIPOFANYA HIVYO WEWE NI RAISI BATILI NA USIJE HAPA WASHIGTON UTATOLEWA NISHAI.

Kabla hujaja washington ni muhimu uwasiliane na Balozi Green kwanza ili kuhakikisha kuwa yale waliyoyasema kabla mumeyafanyia kazi.

Muliahidi HAKI KUTENDEKA NA MUDA WA KUUZA SURA UMEISHA!

SASA NI MUDA WA KAZI!
 
Nani anitowe mbiyo?
Mwarabu ama muhindi?
Kwenye nchi yangu?
THUBUTU!
Wamwulize MZUNGU MKOLONI NA KABURU KWANZA!

Kati ya hao ulio wataja yupi afadhali?
Namaanisha nani afadhali kati ya;-
1.MWARABU,
2.MHINDI,
3.KABURU,
4.MZUNGU
.
Yupi ni bora kati ya hawa juu hapo maana wote wanatunyonya.
 
kaka samahani ila i think africa is for african na wahindi wengi kama kina Rostam hawa uchungu na nchi yetu na ndio maana unaona wanafanya wanayoyafanya, you go to india kama utapewa cheo chochote na ngozi yako yenyeusi, apart from america niambie nchi nyingine ya ngozi nyeupe utakayokuta muafrica( when i say muafrica i mean a black african and not waafrica kama kina RA, Tanil etc) mwenye cheo cha kisiasa......Hii nchi imeuzwa ndugu zangu and it pain me kuona wahindi wanakuja kutupelekesha katika nchi yetu....Kuhusu watusti kwakweli sina usemi kama tutakuwa wakweli most of them are not tanzanians by origin na ndio maana wengi waliokuwa na elimu walirudi kwao baada ya genocide..sorry kama wewe ni mtusi ila ndio hivyo

...just another crazy ignorance out there!
 
Na wananchi huu ni USHAURI WANGU...MSIKUBALI JK AJE HAPA USA KUONANA NA BUSH KABLA HAMJAPATA HAKI YENU!
Hatakiwi kuja hapa kabla hajatimiza maombi ya USA na ahadi alizowapa kuwa atamkamata MKAPA NA KINA ROSTAM!
Asipofanya hivyo...Basi muandamane hadi ubalozi wa USA kupinga ziara yake ya kujitembeza tembeza na kukumbatiana na BUSH huku watanzania WAKIFA KWA NJAA!
NANI ALIMWAMBIA AGOMBEE URAIS?
Na sasa eti lawama za kushughulikia mafisadi wanaziamishia kwa Mtikila eti kisa dola elfu tatu?
Kikwete usiondoke nchini utajiumbuwa!
 
Kati ya hao ulio wataja yupi afadhali?
Namaanisha nani afadhali kati ya;-
1.MWARABU,
2.MHINDI,
3.KABURU,
4.MZUNGU.
Yupi ni bora kati ya hawa juu hapo maana wote wanatunyonya.

Kati yao hao hapo juu...? Mbona easy tu...?!

Yule atakayesikiliza mapendekezo ya KAMATI YA MADINI NA YULE ATAKAYEKUBALIANA NA SISI KUWA UTAJIRI WETU NI LAZIMA UTUONDOE KWENYE U MASIKINI, MARADHI, UJINGA NA U OMBA OMBA BILA KUSAHAU UTUMWA MAMBOLEO!

yule atakayetuachia tuwe HURU basi hatutajali rangi yake wala asilia yake!

YULE ATAKAYEKUWA NA NIA NZURI!

LA SIVYO TUTAZICHAPA TRUST ME!

I CAN SMELL BLOOD!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom