Rostam aibukia kanisani!

Rostam aibukia kanisani!

Naamini hata waandishi wa habari waliofanya coverage siku ile waliitwa na Rostam mwenyewe,kwasababu kila kilichofanyika siku ile kilikuwa katika mkakati wa kutafuta jukwaa zuri lenye sura nzuri ambalo lingefaa kumnawisha mikono Mh.RA. Maramoja janja ikagundulika Maaskofu rightly so wakafanya hayo waliyoyafanya.
Nilishtushwa sana na yaliyotokea kanisani siku ile kwasababu ni kitendo ambacho sikukitegemea kama kingefanywa na kanisa kwa watu wa aina ile.
Mchungaji wa Kinondoni kama hakufuata taratibu za kanisa katika kutoa mialiko ya aina hii anastahili adhabu kali lakini nafikiri si sahihi kurudisha pesa ya RA kwasababu yoyote ile.
 
Kanisa lingekuwa na masikio lingeshasikia, wametandika kitanda chao cha unafiki sasa wamelala na mafisadi, wamefumwa wanang'aka huku wakijibaraguza kuficha utupu wao!
 
Mchungaji wa Kinondoni kama hakufuata taratibu za kanisa katika kutoa mialiko ya aina hii anastahili adhabu kali lakini nafikiri si sahihi kurudisha pesa ya RA kwasababu yoyote ile.

Mkuu Kinyama,

Hakuna mwenye uhakika kama Mchungaji hakufuata Utaratibu,nina uhakika kabla ya kumualika Rostama lazima kuna vikao vilifanyika na kupendekeza majina na kuwatumia watu mbalimbali barua(utaratibu uliozoeleka).Sidhani kama Mchungaji ali by pass Procedure.

Na nataka RA aje na Barua ya Mwaliko aliyopewa na hawa Watumishi,Kama ni kumkoma Nyani Giladi tutaamua tu.Kila Mtu ana haki ya kuheshimiwa,Hawa Maaskofu watakuw wameamua kumdhalilisha Mchungaji wa watu tu.Na sasa natafuta namba ya Mchungaji nizungumze naye.

Pesa ziirudishwe kwanza na Mchungaji asamehewe kwa uzito ule ule walioutimia kumuangamiza Mchungaji.hili ni jambo dogo sanas wasilitumie kujisafisha
 
Kweli dunia imekwisha!!!

Sasa hilo kanisa, au huyo binadamu (askofu, Sheik) ambaye ana uwezo wa kuchambua fedha haramu na halali yuko wapi wajameni...!!! Tuache hizi siasa kila mahali hadi makanisani.

Mtu ametoa kwa moyo wake... mwenye kujua za halali au sio za halali ni Mola wake... acheni siasa wajameni!!!!

Hakuna kutoa kwa moyo!!! Kanisa la KKKT halikuibuka juzi lilikuwepo miaka yote mbona hakuona umuhimu wa kulisaidia kabla hajawa na tuhuma chungu nzima za kifisadi? 😕

Ndiyo, si rahisi kujua zaka zote zitolewazo ni za halali au la, lakini pale ambapo kuna ushahidi wa kutosha kwamba mtoaji amekuwa tajiri mkubwa katika kipindi kifupi na kuna tuhuma chungu nzima za ufisadi dhidi yake basi zaka hiyo ikataliwe kanisani au msikitini. Ndiyo, kuna haja ya kulishinikiza kanisa lirudishe pesa za kifisadi toka kwa fisadi Rostam Aziz, kanisa kuomba samahani kwa waumini wake hakutoshi.
 
hili suala lote ni kama mfano wa abiria, gari, mmiliki wa gari, na dereva wa gari.

Gari (kanisa - KKKT Kinondoni)
Dereva wa Gari (Mchungaji - KKKT Kinondoni)
Mmiliki wa Gari (KKKT Dayosisi)

Dereva wa Gari ana uhuru wa kumpakia Abiria yeyote (hata Rostam Aziz) lakini kwa kibali cha Mmiliki wa Gari. Inapogundulika kuna abiria alipanda bila ya Mmiliki kupewa taarifa basi kosa si la abiria ila la Dereva! Na hapa ndipo KKKT waliposimamia! They are right!

Na Abiria (Rostam) alikuwa ana haki ya kupanda kwenye Gari (KKKT Kinondoni)kwani alisimamiwa na Dereva (Mchungaji - KKKT Kinondoni). Sasa kama Abiria aliacha "vumbi" ndani ya Gari si busara kumwambia njoo chukua vumbi lako, hapo kinachohitajika ni busara ya Mmiliki wa Gari.
 
Mkuu Gembe, nakubaliana na wewe moja kwa moja! Kosa si la Rostam Aziz, kosa ni la uongozi wa Kanisa KKKT Kinondoni. Kwanini hawakutoa taarifa za mwaliko wa Rostam kwenye uongozi wa juu? Hapa ndipo kwenye tatizo, lakini Rostam kama Rostam yeye hana tatizo!
Mi nafikiri kabla KKKT hawajoa kauli dhidi ya Rostam,ni vizuri wangeanza kusafisha kanisa kwa kutoa kauli dhidi ya mlezi wa KKKT dayosisi ya mashariki Mengi Benjamin kwa kuwatapeli wazungu mabilioni na kushirikiana na kaka yake Reginald mengi kuwafukuza nchini wazungu baada ya kuwatapeli,.KKKT ndio kanisa linaloongoza hapa nchini kuwa na wafuasi tena ndio walezi wa kanisa wanaongaza kwa kufanya biashara chafu,nani hamfahamu Kibo MAREALE, nana hawafaham mengi na mdogo wake, nani hafahamu kuwa katibu mkuu wa KKKT mstaafu Hamza Mwenegoa ni fisadi wa kupindukia "MKUKI MTAMU KWA NGURUWE KWA BINADAMU NI MCHUNGU'
 
Kwa kweli zirudi kabisa maana kwanza mlimualika wenyewe, kiti mkamtengea huku mkijua kwamba huyu Bwana ana-skendo ya UFISIADI sasa mnamkana rudisheni "chake"

KUMBUKENI AKIJA KUBANWA NA VYOMBO VYA SHERIA TUKAMTAKA HIZO HELA ALIKULA NA NANI AKIWATAJA NYIE NA NYIE PIA NI WAHUSIKA.
 
1.Mengi Benjamin kwa kuwatapeli wazungu mabilioni na kushirikiana na kaka yake Reginald mengi kuwafukuza nchini wazungu baada ya kuwatapeli

2.KKKT ndio kanisa linaloongoza hapa nchini kuwa na wafuasi tena ndio walezi wa kanisa wanaongaza kwa kufanya biashara chafu,nani hamfahamu Kibo MAREALE, nana hawafaham mengi na mdogo wake, nani hafahamu kuwa katibu mkuu wa KKKT mstaafu Hamza Mwenegoa ni fisadi wa kupindukia "MKUKI MTAMU KWA NGURUWE KWA BINADAMU NI MCHUNGU'
Haya maneno mawili ndiyo nilikuwa nayata sana,ni mojawapo ya yale yatakayo kuwamo katika walaka wangu kwenda kwao

Hawaona boriti katika jicho lao kwanzo,wanaona kwa jicho la mtu mwingine..

Lengo siyo kumsafisha RA ila kujua ni kwanini hawarudishi pesa aliyowapa?
 
Kurudisha pesa au kutorudisha hakubadilishi status ya Rostam Aziz. Fisadi ni fisadi tu. Kwanza kama ametoa hizo pesa kama mchango ni kwamba anarudisha tone la azoiba. Kama watarudisha ina maana kuwa wanamrudishia pesa mwizi, kama hawazitaki niafadhari wapelekewe yatima kwa sababu nao ni zao.
 
...........Huu ni wakati mgumu kwa Taifa letu sababu hatujui kwa 100% ni nani mzalendo wa kweli na nani ni adui. Hivyo juhudi zozote zinazofanywa na watu, vikundi au jumuiya pamoja na za kidini katika kulinda heshima ya Taifa letu ni vizuri tuzikaribishe.............

....nilitegemea kusikia baadhi ya wana JF wenye viji-standard vyao vilivyoshamiri UNDUMILAKUWILI...........to say "who are we to........" i.e one has to be clean to throw a stone unto another...........leo naona wanageuka geuka tena......

......Well Mkuu Yebo Yebo, maneno yako ni mazito, sina cha kuongeza zaidi ya hayo uliyoyaweka.....heshima mbele
 
mbona KKKT wapo kimya kuwakemea mafisadi waliomo ndani ya kanisa kama mlezi KKKT dayosisi ya mashariki Benjamin Mengi,na Kaka yake ambaye ni mfanyabiashaara maarufu Reginald Mengi walowatapeli wazungu na kuwafukuza nchini,au michango yao ni mikubwa kwa kanisa,jamani nani hawafahamu wafanyabiashara haramu wengi ni wana jumuia ya KKKT.nani hawafamu akina Kibo Mareale na biashara zao ,nani hafahamu kuwa katibu mkuu nsaafu kwa KKKT tz AMZA MWAENEGOA,alivyokuwa fisadi kiasi cha kukataliwa na akina CLEOPA MSUYA waziri mkuu msaafu,hata ALIPOGOMBEA UBUNGE NA KUSHINDA ALMASHAURI KUU YA CCM LIKAKATA JINA LAKE,
Nina wasiwasi na katibu mkuu wa sasa inawezekana Mengi kamweka mfukoni."Jamani mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni",kwa hili KKKT wamemuonea ROSTAM,kama binadamu kama ana makosa ilitakiwa aombewe ili arudi kundini,tujifunze kutoka kwa yesu na zakayo,
Viongozi wa dini msichanganye siasa na dini
 
na El Je Ambaye Ni Muumini Mzuri Tu Au Alipoenda Israel Kuhiji Alisamehewa. (kama Anatoa Sadaka Kanisani)

Hapo Umejipa Majibu Mwenyewe ,maana Kujiuzuru Kwa Edward Lowasa Kulifahamika Dunia Nzima Na Israel Haiko Mbinguni, Nashangaa Kumuona Malasusa Anajiingiza Ktk Mchezo Wa Wana Habari Pasipo Kujali Waumini Wake, Kanisa Analoliongoza Na Kibaya Zaidi Anakuja Mapema Na Kujibu Jambo Lisilomhusu Kabisa Aili Muradi Waamini Wamuone Kuwa Yeye Ni Mtumishi Wa Mungu , Wanadamu Tunapojivika Sura Za Uungu Tunasahau Wajibu Wetu Na Maagizo Ya Muumba.

Hata Kama Rostam Hakuja Kujutia Dhambi Kanisani Inatosha Kwa Watu Wakomavu Kiimani Kutambua Nguvu Ya Mungu Kwa Watu Wake ,watu Hao Ni Mimi Na Wewe Lakini Ni Pamoja Na Rostam Na Malasusa.

Tukubali Kuwa Kkkt Wamefanya Kosa Kubwa Sana Ktk Ku Respond Jambo Ambalo Halikuwataka Walijibu Maana Hakukuwepo Hoja Ya Kuijibu.

Ni Sisi Watanzania Tunaotakiwa Kuanza Sasa Ku Exercise Utawala Wa Sheria , Media Nasi Wana Jf Tuheshimu Msimamo Huo Lakini Ni Wajibu Wetu Kufahamu Kuwa Kushindwa Kwa Maadili Ktk Jamii Kunatokana Sana Na Ubovu Wa Taasisi Za Dini Ktk Malezi Ya Jamii Yetu.

Viongozi Wa Dini Wameshindwa Kuishi Ktk Mahubiri Yao, Sasa Ninadhani Tunapaswa Tuanze Na Wao Na Mwisho Tutamaliza Ktk Siasa.
 
mbona KKKT wapo kimya kuwakemea mafisadi waliomo ndani ya kanisa kama mlezi KKKT dayosisi ya mashariki Benjamin Mengi,na Kaka yake ambaye ni mfanyabiashaara maarufu Reginald Mengi walowatapeli wazungu na kuwafukuza nchini,au michango yao ni mikubwa kwa kanisa,jamani nani hawafahamu wafanyabiashara haramu wengi ni wana jumuia ya KKKT.nani hawafamu akina Kibo Mareale na biashara zao ,nani hafahamu kuwa katibu mkuu nsaafu kwa KKKT tz AMZA MWAENEGOA,alivyokuwa fisadi kiasi cha kukataliwa na akina CLEOPA MSUYA waziri mkuu msaafu,hata ALIPOGOMBEA UBUNGE NA KUSHINDA ALMASHAURI KUU YA CCM LIKAKATA JINA LAKE,
Nina wasiwasi na katibu mkuu wa sasa inawezekana Mengi kamweka mfukoni."Jamani mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni",kwa hili KKKT wamemuonea ROSTAM,kama binadamu kama ana makosa ilitakiwa aombewe ili arudi kundini,tujifunze kutoka kwa yesu na zakayo,
Viongozi wa dini msichanganye siasa na dini

Hizi ni PUMBA kwa kiasi kikubwa!
Mambo ya kina Benjamin Mengi yalishamalizwa mahakamani kama sikosei.
Ni kesi ilisha unguruma na sasa haya ya RA ni tofauti kwani yanaweza yakalivuruga TAIFA!
Pia hao kina Marealle nao kama ni mambo ya EPA yaliwakuta wakiwa tayari huko kanisani mwao..Lakini na wao hawawzi kudispute chochote kwani ushahidi uko nje nje...Wlizipata kwa njia ya ccm!
Pesa za EPA zilipotoka kwa kina Iddi Simba na Rostam..Zilipewa walutheri wengi na wakristo wengineo na wanasiasa mbali mbali.
Pesa zilipewa hata kwa baadhi ya watu ninaowaheshimu kama Njake ambaye naona ni waarabu hao hao wamemtega.
Hivyo basi ni MBINU ya ROSTAM ili akianza yeye na wengineo wafuatie!
Hao wengine naomba wanyamaze tu kwani sisi tunamtaka RA kwasasa akishajibu tuhuma zake na akiwa safi..Basi hata hao wa EPA nk watakuwa safi pia!
Make sense?

NB:Kama ni kujisafisha RA angeenda msikitini anakosali kila siku ama kila ijumaa.
Asitumie UTASHI wake wa kisiasa maana na sisi tutamrudia huko!
Kwanza hatuna haja maana jf iko na yeye yuko hapa!
RA...You are not the ONLY one to be BRANDED AS A POLITICAL GENIUS!
ONE JF MEMBER IS ENOUGH FOR YOU AND YOUR WHOLE CREW!
 
Kurudisha pesa au kutorudisha hakubadilishi status ya Rostam Aziz. Fisadi ni fisadi tu. Kwanza kama ametoa hizo pesa kama mchango ni kwamba anarudisha tone la azoiba. Kama watarudisha ina maana kuwa wanamrudishia pesa mwizi, kama hawazitaki niafadhari wapelekewe yatima kwa sababu nao ni zao.
La Rostam linafahamika,ila hili la wao kama kanisa leo kuona kwamba ndiyo wamekosea..walikuwa wapi ?
 
Jamani pamoja na maneno mazuri yote watu mnanakili toka ktk vitabu vitakatifu.....lakini hatuwezi kuacha kukuemea uovu eti kwa sababu.....sijui nani alifanya nini huko nyuma.....
....haya maneno ya Mungu tunayoya-quote.........yanahitaji pia busara kuyatafsiri katika hali halisi ya matendo yetu ili tujenge jamii zilizo bora......

.............kwa hii taarifa iliyosababishwa na Rostam.............napenda kusema ni mlango MZURI wa kuanza kujirekebisha pale tunapokosea/tulipokosea/tutakapokosea.......
 
Jamani pamoja na maneno mazuri yote watu mnanakili toka ktk vitabu vitakatifu.....lakini hatuwezi kuacha kukuemea uovu eti kwa sababu.....sijui nani alifanya nini huko nyuma.....
....haya maneno ya Mungu tunayoya-quote.........yanahitaji pia busara kuyatafsiri katika hali halisi ya matendo yetu ili tujenge jamii zilizo bora......

.............kwa hii taarifa iliyosababishwa na Rostam.............napenda kusema ni mlango MZURI wa kuanza kujirekebisha pale tunapokosea/tulipokosea/tutakapokosea.......

Hiyo ni baada ya RIPOTI ZOTE KUSOMWA NA MAHAKAMA NA PIA MAJINA YOTE YA WABUNGE WENYE HISA AMA KUWA NA UHUSIANO WA NAMNA MOJA AMA NYINGINE NA MAKAMPUNI AMA WATU WENYE UHUSIANO NA MAFISADI NA AMA MAKAMPUNI YA KIFISADI.
 
Nikweli Gembe nakuunga mkono kanisa lilikuwa wapi, au nalenyewe nifisadi!

Nilishawahi kumwambia mtu mmoja kwamba,UFISADI ulianzia makanisani yeye akanibishia..ila habari ndiyo hiyo,Hawa Wabunge ,viongozi tulio nao baada ya kuona uongozi makanisani hauna dili wakaamua kuingia katika siasa.
 
Kinachotokea hapa ni kwamba sasa nyimbo za Injili zimepoteza lengo lake la asili la "uinjilishaji". Kwa sasa zimegeuka kuwa biashara. Hivyo kupatikana kwa fedha kupitia nyimbo hizi kunatangulizwa mbele na uinjilishaji unaachwa nyuma. Rostam Aziz ni tajiri wa Richmond, si alialikwa aweze kumwaga fedha? Mwashangaa nini? Je, angemwaga fedha yake bila kutoa 'neno'? Kanisani pale!!!.
Ndugu yao "Mmasai feki", Mmeru Lowassa alikuwa akimwaga Azania Front michango kwa mamilioni ya Richmond, alipowajibishwa alipokelewa Monduli kwa nderemo na bashasha wakiwamo viongozi wa KKKT (Askofu Laizer). Kwa nini mnashangaa kuwa VIP katika uzinduzi wa nyimbo za injili huko KKKT Kinondoni?
Eti mgeni kama huyo anafika kanisani bila viongozi kujua. Haya, lakini, fedha fedheha. KKKT jihadharini na mambo hayo.
 
Kinachotokea hapa ni kwamba sasa nyimbo za Injili zimepoteza lengo lake la asili la "uinjilishaji". Kwa sasa zimegeuka kuwa biashara. Hivyo kupatikana kwa fedha kupitia nyimbo hizi kunatangulizwa mbele na uinjilishaji unaachwa nyuma. Rostam Aziz ni tajiri wa Richmond, si alialikwa aweze kumwaga fedha? Mwashangaa nini? Je, angemwaga fedha yake bila kutoa 'neno'? Kanisani pale!!!.
Ndugu yao "Mmasai feki", Mmeru Lowassa alikuwa akimwaga Azania Front michango kwa mamilioni ya Richmond, alipowajibishwa alipokelewa Monduli kwa nderemo na bashasha wakiwamo viongozi wa KKKT (Askofu Laizer). Kwa nini mnashangaa kuwa VIP katika uzinduzi wa nyimbo za injili huko KKKT Kinondoni?
Eti mgeni kama huyo anafika kanisani bila viongozi kujua. Haya, lakini, fedha fedheha. KKKT jihadharini na mambo hayo.

Usije ukashangaa hata hiyo albam ilikuwa ya kuwasafisha mafisadi na kuwapiga vijembe wazalendo kama mfadhili wao alivyofanya madhabauni.
Anyways nakubaliana na wewe kuwa wataliyumbisha kanisa wakifanya mchezo.

NB:Kwenye higlights ndipo penye msisitizo wa hoja yangu.
Maana sasa hizo kwaya siku hizi nazo ni mipasho tu kwa kutumia Biblia.
Ni kama TWANGA PEPETA TU!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom