Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 5,007
- 4,668
Nawasubili tena apa wale wanaojifanyaga wanaumizwa na upuuzi wa marefa pindi yanga inapobebwa sasa wajitokeze tena kukemea kilichotokea kwenye mechi ya simba na geita gold, je goli la kusawazisha la geita limekataliwa kwa misingi ipi? Mchezaji aliotea au kapombe alisukumwa? Jibu analo mwamuzi martini sanya!!!!!