Umeni quote mie?Shekhe hapa kidogo umepitikiwa siku hiyo ya Laylatil Qadir imebarikiwa kuliko miezi 1000 moja na sio siku 1000 moja.
Ramadhaan MubaarakRamadhan Kareem
Umeni quote mie?
Tuzidi kukumbushana mema na kukatazana mabaya.
Allaah akuhifadhi na akuongoze kwenye kheri zaidi.Najivunia kutoka kwenye ukristo na kuingia kwenye Uislam,lakini nilichokuwa nawauliza siku zote walimu wangu waliokuwa wananifundisha Elimu ya Dini,kwa nini wasiwaubirie watu kama wanavyofanya wa upande ule,Sababu mafundisho ya Dini ya Kiisilamu ni ya kweli kabisa,Maana wako watu wengi waliozama kwenye ujinga wa Imani na bado wanaendele kuzamishwa na mafundisho ya uongo