Mpango wa kuzuia hautakuwepo Kwa sababu wauaji ni polisi.mpango wa kuumaliza huu utekaji utaanza pale tu wananchi wakianza kuwauwa wanapokuja kuwateka hao policcm.Nguvu ya umma ikiamua haishindwi
 
M
Mwanza na Dar(Kariakoo)wameanza vizuri,wamekataa Afande Vishoka!
 
Andiko lako likekuja muda Sahihi,Cha msingi kama serikali imeshindwa kuwalinda raia wake kwa vitendo basi Kila mtu atambue kuwa usalama wa mwili wako ni wewe mwenyewe hivyo basi Anza kujilinda wewe mwenyewe.
 
Mkuu mambo yote n tarehe 23.9.2024 TUTAPIGWA SANAAA hil nakuakikishia
 
Andiko lako likekuja muda Sahihi,Cha msingi kama serikali imeshindwa kuwalinda raia wake kwa vitendo basi Kila mtu atambue kuwa usalama wa mwili wako ni wewe mwenyewe hivyo basi Anza kujilinda wewe mwenyewe.
Serikali imethibitisha watu binafs na majambaz bado yanamiliki silaha waziwazi wanazotumia kutekea!
 
Watu wako busy na umbea ila kujadili mambo ya msingi hamna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…