Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,741
- 6,322
Wameanza kudai Mikataba. Tukiitoa mikataba yote ya kaka yangu , PATAKALIKA hapa?Mbona hamkudai mkataba wa manunuzi ya ndege na Bei halisi??!
Umeambiwa wataingia kwenye mazungumzo,ambayo yatasimamiwa na pande zote ,kuhakikisha Kama tutanufaika vipi