Rais Samia Suluhu Hassan: Serikali kufanya mazungumzo kuendeleza mradi wa bandari ya Bagamoyo

Nyendo

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,194
4,112
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa serikali ipo katika mazungumzo ili kuweza kuendeleza mradi wa bandari ya Bagamoyo. Hayo ameyasema leo Tarehe 26, 06. 2021 wakati wa hotuba yake katika mkutano wa 12 wa baraza la biashara.

Rais Samia amesema pia hiyo itakwenda sambamba na mradi wa Mchumchuma na Linganga kuwa nao mazungumzo yanaendelea ili waone mwekezaji atatoa ngapi na Serikali ngapi ili kuweza kuendeleza mradi huo. Akaongeza kuwa chuma imepanda bei duniani hivyo ni wakatk sahihi wa Tanzania kuchamka.

1624698123124.png


Pia soma:
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa serikali ipo katika mazungumzo ili kuweza kuendeleza mradi wa bandari ya Bagamoyo. Hayo ameyasema leo Tarehe 26, 06. 2021 wakati wa hotuba yake katika mkutano wa 12 wa baraza la biashara.

Rais Samia amesema pia hiyo itakwenda sambamba na mradi wa Mchumchuma na Linganga kuwa nao mazungumzo yanaendelea ili waone mwekezaji atatoa ngapi na Serikali ngapi ili kuweza kuendeleza mradi huo. Akaongeza kuwa chuma imepanda bei duniani hivyo ni wakatk sahihi wa Tanzania kuchamka.
Maendeleo lazima yaende sambamba na maendeleo katika mifumo bora ya kukusanya kodi na ulinzi wa taifa. Migogoro mingi Afrika inakuja na ujio wa uvumbuzi na ukuaji wa uchumi.

Chuma ni muhimu sana kuliko Dhahabu. Mitambo ya kuchimba Dhahabu inatokana na chuma
 
"Tumeanza mazungumzo ya kufufua Mradi wa Bagamoyo (Bandari ya Bagamoyo), pamoja na Mradi wa Mchuchuma na Liganga. Tunaenda kufanya mazungumzoa na taasisi iliyokuja ili mradi wa Bagamoyo tuufungue." – Rais @SuluhuSamia akizungumza na wafanyabaishara nchini.

My Take:
Natamani tuoneshwe huo mkataba wa bandari ya bagamoyo, Sina imani tena na kaka yangu Mwendazake. Nahisi wakati anausagia kunguni huu mradi alikuwa na interest zake za kibaguzi za ukanda.

Kwako Kigwangala, siyo kwamba anasalitiwa bali yanasahihishwa makosa yake, hebu amkeni kutoka usingizini.



 
Ulivyo taahira unafikri atakae umia hapa labda ni Magufuli na familia yake, hapana!

Ni bibi, babu, baba, mama na ukoo wako kule kijijini kwenu.
Biashara ya kupeleka simba na swala chato imekwisha. Hivi mbona hamtaki kuamini?
 
Ulivyo taahira unafikri atakae umia hapa labda ni Magufuli na familia yake, hapana!

Ni bibi, babu, baba, mama na ukoo wako kule kijijini kwenu.
Bora hata wangeumia mabibi na Mababu, hapa kuna uwezekano wakaja kuumia wajukuu na vitukuu vyetu tusipokuwa makini.
 
"Tumeanza mazungumzo ya kufufua Mradi wa Bagamoyo (Bandari ya Bagamoyo), pamoja na Mradi wa Mchuchuma na Liganga. Tunaenda kufanya mazungumzoa na taasisi iliyokuja ili mradi wa Bagamoyo tuufungue." – Rais @SuluhuSamia akizungumza na wafanyabaishara nchini.

My Take:
Natamani tuoneshwe huo mkataba wa bandari ya bagamoyo, Sina imani tena na kaka yangu Mwendazake. Nahisi wakati anausagia kunguni huu mradi alikuwa na interest zake za kibaguzi za ukanda.

Kwako Kigwangala, siyo kwamba anasalitiwa bali yanasahihishwa makosa yake, hebu amkeni kutoka usingizini.



Kuuliza sio ujinga. Aliyekuwa Rais (JPM) na Makamu wa Rais SSH wakati ule waliukataa huu mradi. Miezi mitatu baada ya kifo Cha JPM , aliyekuwa Makamu wa Rais Kawa Rais anaukubali tena huo mradi. Je hawa viongozi wawili wakati wa uongozi wao walikuwa wanafanya maamuzi kwa kushirikiana?
 
Back
Top Bottom