Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,194
- 4,112
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa serikali ipo katika mazungumzo ili kuweza kuendeleza mradi wa bandari ya Bagamoyo. Hayo ameyasema leo Tarehe 26, 06. 2021 wakati wa hotuba yake katika mkutano wa 12 wa baraza la biashara.
Rais Samia amesema pia hiyo itakwenda sambamba na mradi wa Mchumchuma na Linganga kuwa nao mazungumzo yanaendelea ili waone mwekezaji atatoa ngapi na Serikali ngapi ili kuweza kuendeleza mradi huo. Akaongeza kuwa chuma imepanda bei duniani hivyo ni wakatk sahihi wa Tanzania kuchamka.
Pia soma:
Rais Samia amesema pia hiyo itakwenda sambamba na mradi wa Mchumchuma na Linganga kuwa nao mazungumzo yanaendelea ili waone mwekezaji atatoa ngapi na Serikali ngapi ili kuweza kuendeleza mradi huo. Akaongeza kuwa chuma imepanda bei duniani hivyo ni wakatk sahihi wa Tanzania kuchamka.
Pia soma: