Rais Samia: Mara baada ya sisi kuanzisha tozo ya mitandao ya simu, Serikali ya Uingereza nayo ikaanzisha

Akihutubia wananchi mkoani Kilimanjaro mheshimiwa Rais amesema mara baada ya sisi kuanzisha tozo ya kwenye mitandao ya simu ambayo ilipigiwa kelele na wananchi wengi, na Serikali ya Uingereza nayo imeanzisha tozo kama hii.

Kumbe mama anafanya vitu Hadi mataifa yaliyoendelea yanavikubali hadi kuiga.
Alisikika mlevi mmoja toka unguja,
 
Dah!!

Dah!!! Hivi kwanini lakini?!

Watu tunaogopa bure kufa, lakini akina Magu wameepuka mengi ya Tanzania!!

Yaani ujanja woooote ule, kumbe Toni Blea alikuja kukwiba maujanja ujanja Bongo!

Sasa kwavile hayo maunjanja ni ya kwetu si inabidi watulipe kamisheni, ama?!

Mama OYEEEE...
 
Mama tunakupenda sana lakini jinsi siku zinavyozidi kwenda unatupiga fiksi na saundi za hatarii sana. Hata iyo 520 billion uliyotoa Arusha kwa ajili ya maji ni Saundi tuu na fiksi.
Haya nimekusikia
 
Akihutubia wananchi mkoani Kilimanjaro mheshimiwa Rais amesema mara baada ya sisi kuanzisha tozo ya kwenye mitandao ya simu ambayo ilipigiwa kelele na wananchi wengi, na Serikali ya Uingereza nayo imeanzisha tozo kama hii.

Kumbe mama anafanya vitu Hadi mataifa yaliyoendelea yanavikubali hadi kuiga.
Utajivuna jirani kuiga ujinga?
 
Akihutubia wananchi mkoani Kilimanjaro mheshimiwa Rais amesema mara baada ya sisi kuanzisha tozo ya kwenye mitandao ya simu ambayo ilipigiwa kelele na wananchi wengi, na Serikali ya Uingereza nayo imeanzisha tozo kama hii.

Kumbe mama anafanya vitu Hadi mataifa yaliyoendelea yanavikubali hadi kuiga.
Uongo Mtupu, mimi niko hapa Uingereza na natuma fedha hata leo kwenda huko nyumbani, na hiyo kodi siioni...natumia App inayoitwa sendwave na hakuna kitu kama hicho cha kodi... ne free tu... mobile to mobile...
Acheni longolongo na ujanja ujanja nchi yetu isonge mbele... Ukweli n bidhaa adimu sana...
 
Doooh!context is important...alikua anaongea kiutani au?kama Sio kiutani basi kuna lack of neurons
E65OMZ3WEAkIWlV.jpg
 
Anajisifu kwa Kodi za dhuluma nchi hiii?

Leo hii mawakala zaidi ya laki 3 nchini kamisheni zao zimeathirika na tozo hizi wamepoteza wateja na miamala iliyokuwa ikifanyika kila siku.
pole sana ndug waqala.je ulitaka maendeloo yachangiwe na watumish tu kodi wakatwe wao tu ila wewe usiguzwe? tozo ni kila mtu anachangia taifa
 
Uingereza awawezi kuweka tozo za ovyo kama hizo.

Yaani mafisadi yamemzunguka mama na kumlisha uongo wa kishamba kweli; mwaka wa kodi U.K. unaanza 1 April baada ya hapo hakuna kodi wala tozo mpya mwaka unaofata.

Budget yetu sisi ni mwezi wa sita na inaanza papo hapo; dah halafu kuna watu wanamtaka mpaka 2030.
 
Back
Top Bottom