Fahamu Tozo za Miamala ya Simu Ilivyochangia Maendeleo Katika Taifa

Maryam Malya

Senior Member
Nov 29, 2021
115
258
1. Ukusanyaji wa tozo Tsh. bilioni 221 kwa mwaka 2021/2022 zilikwenda kusaidia kwenye mikopo ya elimu ya juu.

2. Kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati kama vile JNHPP na SGR kwa mara moja.

3. Kupitia tozo za miamala ya simu serikali imeweza kujenga vituo vya afya 234 kwa bilioni 117 na kila kituo kimegharimu milioni 500.

4. Kupitia tozo za miamala ya simu mwaka 2021/2022 Serikali imeweza kununua vifaa tiba kwa vituo vya afya 234 vilivyojegwa kupitia tozo za miamala.

5. Kupitia tozo ya miamala ya simu serikali imeweza kuajiri wauguzi (madaktari, manesi na wataalam wa afya) 7612.

6. Pia, miamala ya simu imesaidia kujenga majengo ya nje OPD na upasuaji, Maabara na wodi za wazazi nchini.
 
Maryam umsahau kwenda kumzika kada wenu mzee Kizigha wenzio wanapakua buffet menu saa hizi. Wamejaa na mashati yao ya kijani.

Tundu lissu kaweka wazi tozo zimeletwa kwa kushtukiza sababu ya masharti ya imf
 
Hivi haya mapato yanayotokana na bandari, migodi, kilimo, misitu, utalii.... na kadhalika huwa yanakwenda wapi kama Serikali inategemea tozo kufanya yote hayo?

Tafadhali tuelezeni kwa ufasaha ili tuweze kuelewa vizuri zaidi. Wazir wa Fedha tuletee mchanganuo.
 
Hivi haya mapato yanayotokana na bandari, migodi, kilimo, misitu, utalii.... na kadhalika huwa yanakwenda wapi kama Serikali inategemea tozo kufanya yote hayo?

Tafadhali tuelezeni kwa ufasaha ili tuweze kuelewa vizuri zaidi. Wazir wa Fedha tuletee mchanganuo.
Na bado mikopo ambayo kila asubuhi serikali inachukua kutoka kwenye mabenki ya ndani na nje, mashirika ya kimataifa na nchi mbali mbali marafiki!
 
1. Ukusanyaji wa tozo Tsh. bilioni 221 kwa mwaka 2021/2022 zilikwenda kusaidia kwenye mikopo ya elimu ya juu.

2. Kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati kama vile JNHPP na SGR kwa mara moja.

3. Kupitia tozo za miamala ya simu serikali imeweza kujenga vituo vya afya 234 kwa bilioni 117 na kila kituo kimegharimu milioni 500.

4. Kupitia tozo za miamala ya simu mwaka 2021/2022 Serikali imeweza kununua vifaa tiba kwa vituo vya afya 234 vilivyojegwa kupitia tozo za miamala.

5. Kupitia tozo ya miamala ya simu serikali imeweza kuajiri wauguzi (madaktari, manesi na wataalam wa afya) 7612.

6. Pia, miamala ya simu imesaidia kujenga majengo ya nje OPD na upasuaji, Maabara na wodi za wazazi nchini.
Asante kutujulisha wananchi,tunaunga mkono.
 
Yale Yale waliyoyapinga kuwa nchi haiwezi kufanya miradi mikubwa bila kukopa leo wanajitakasa kwa kuandika unazi kuwa vyanzo vya ndani vimetumika kukamilisha Hy miradi.
CCM na polifix
 
Na kodi nyingine mnazo watoza wananchi kila siku, mnazitumia kwenye nini? Kama hiyo miradi yote uliyoitaja imejengwa kwa kutumia hela za tozo?

Vipi kuhusu zile hela za COVID 19 kutoka IMF, zilitumika kwenye miradi gani?
Ndio nashangaa.

Ila hawajui kwamba wananchi wanakuwa masikini wa kutupwa.
 
1. Ukusanyaji wa tozo Tsh. bilioni 221 kwa mwaka 2021/2022 zilikwenda kusaidia kwenye mikopo ya elimu ya juu.

2. Kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati kama vile JNHPP na SGR kwa mara moja.

3. Kupitia tozo za miamala ya simu serikali imeweza kujenga vituo vya afya 234 kwa bilioni 117 na kila kituo kimegharimu milioni 500.

4. Kupitia tozo za miamala ya simu mwaka 2021/2022 Serikali imeweza kununua vifaa tiba kwa vituo vya afya 234 vilivyojegwa kupitia tozo za miamala.

5. Kupitia tozo ya miamala ya simu serikali imeweza kuajiri wauguzi (madaktari, manesi na wataalam wa afya) 7612.

6. Pia, miamala ya simu imesaidia kujenga majengo ya nje OPD na upasuaji, Maabara na wodi za wazazi nchini.
Wewe unataka tukujaze mitusi?
 
1. Ukusanyaji wa tozo Tsh. bilioni 221 kwa mwaka 2021/2022 zilikwenda kusaidia kwenye mikopo ya elimu ya juu.

2. Kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati kama vile JNHPP na SGR kwa mara moja.

3. Kupitia tozo za miamala ya simu serikali imeweza kujenga vituo vya afya 234 kwa bilioni 117 na kila kituo kimegharimu milioni 500.

4. Kupitia tozo za miamala ya simu mwaka 2021/2022 Serikali imeweza kununua vifaa tiba kwa vituo vya afya 234 vilivyojegwa kupitia tozo za miamala.

5. Kupitia tozo ya miamala ya simu serikali imeweza kuajiri wauguzi (madaktari, manesi na wataalam wa afya) 7612.

6. Pia, miamala ya simu imesaidia kujenga majengo ya nje OPD na upasuaji, Maabara na wodi za wazazi nchini.
Lete ushahidi hapa
 
Back
Top Bottom