Rais Samia apokea Taarifa ya Ukaguzi Maalum BoT, CAG abaini uwepo wa malipo kufanywa nje ya bajeti

Machagadema,eti hooh, Bashir na Dotto wamepiga mabilion ya shiling wakati Magufuri anaumwa, juzi hapa niliuliza mmoja wapo hapa,huyu Bashir mnayemsema amekwapua fedha BOT alikuwa kama Nani? akasema wewe subiria liport uone, sasahivi hivi liport imetoka chadema wanaanza kupindisha maneno, ujinga wa wanachadema wengi wamejenga ufahamu wao kupitia akina Kigogo na Mbowe chochote wanakacho post wanaona kiko sawa kabisa hawashughurishi akiri zao;Wafuasi wa Mbowe aliyewaita Nyumbu akudanganya
Kwani ukiwa sukumagang, lazima uandike liport badala ya report?!
 
Hap cjamuelewa kusema kuwa kuchelewa kulipa wakandarasi Riba itasababisha kupanda kwani ndio alichotumwa kugaguwa .....nimewasa tu
 
Rais Samia Suluhu Hassan leo amepokea Taarifa ya Ukaguzi Maalum kutoka kwa CAG inayohusu matumizi ya fedha zilizotolewa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuanzia Januari hadi Machi 2021. Ripoti imebaini uwepo kwa miradi ambayo haikupangwa na hivyo kufanya malipo nje ya bajeti.

Iweje taarifa ya ukaguzi wa mahesabu ya mapato na matumizi ya serikali iandaliwe na kutolewa na CAG halafu serikali (iliyokaguliwa) kupitia kwa msemaji wake ndiyo itoe summary report kwa kuonesha mapungufu aliyobaini CAG...?

Hivi ndiyo kusema kuwa serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imekuwa HONEST to that extent kiasi ambacho inaweza kujisema yenyewe kuwa hapa tumepiga hela na pale kuna ufisadi nk...?

I don't think so. Ni vyema CAG mwenyewe angesimama na kuisoma hiyo report kwa UKWELI na UWAZI wote....!!
 
Witch-hunt!!!
1625163272001.png
 
kama zilifuata utaratibu kuna kesi hapo wakuu?

wazee wa kila kitu kulaumu...
 
Tatizo mama alishampa mmoja wa watuhumiwa madaraka makubwa ambayo imekuwa mtihani mkubwa kwake kufanya maamuzi magumu dhidi ya muhusika. anyway tuende hivyohivyo
Unajua mimi nadhani mama alimtoa Bashiru kimakosa na bahati mbaya kabla ya uchunguzi waziri mhusika akamteua kuwa makamu wake. Daa mama anawakati mgumu sana maana watu wanaona kama Bashiru alitolewa kuwa mbuzi wa kafara.
 
Ndo imeondoka na marehemu injinia Patrick mfugale nini? Maana naona ndugu yake anatapatapa kuelezea chanzo cha kifo chake.
 
Tunatambua kuwa Tundu Lissu pamoja na kuwa anazungumza sana lakini hana historia ya kusema uongo wala jambo asilo na uhakika nalo.

Hii habari ya kuwa wakati unaingia madarakani zilikutwa fedha nyingi taslimu Ikulu zisizo na maelezo (ikimaanisha ni za kifisadi) sio ya kuachwa na kupuuzwa hata kidogo maana hata kama zilimhusu mwendazake ni wazi hakuchukua funguo za BOT na kwenda kufungua kuchukua mafedha bali kulikuwa na ushirika.

Haya mambo tuliyasikia sana kwa kina Mobutu, Yahya Jammeh, Abacha nk.

Ili kulinda heshima yako basi ile ripoti uliagiza ya uchunguzi wa BOT itolewe hadharani ili watu wasije kuhusisha na ushirika katika wizi huo.

Sikilizeni hadi mwisho mtasikitika wenyewe!
 
Hii nchi ni zaidi ya shamba la bibi.
Pengine ndio maana jamaa alikuwa anatembea na mamilioni, ilikuwa sio ajabu akisimamishwa na mtu akapata nafasi ya kujieleza shida yake basi kupewa 10m au 5m bila accounted for haikuwa ajabu. Very primitive style of leadership
 
Alitumia Kodi za Wananchi kuunda Tume, amekabidhiwa ripoti, baada ya kusoma kurasa kadhaa akaona ni Bora aikalie tu!!!!!!
 
Back
Top Bottom