Rais Samia apokea Ujumbe Maalum toka kwa Mfalme wa Saudi Arabia

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Rais wa Tanzania, Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo maalum na Balozi wa Saudi Arabia nchini Tanzania Mhe. Yahya Ahmed Okesh baada ya kuwasilisha Ujumbe Maalum kutoka kwa Mfalme wa Saudi Arabia Salman bin Abdulazizi Al Saud Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 03 Novemba, 2023.

F9_9sUoWMAA2Rlk.jpeg
F9_-NRbW0AASMf7.jpeg
F9_-NRZXYAAu4YA.jpeg
 
Tanzania ni nchi ya amani kwa kila mtu inaonekana ikulu ni patamu sio kwa chadema tu mpaka kwa wazee wa kobazi
images (12).jpeg
 
Saudis wana ramani ya madini ypote Tanzania ....kuna mbuga imetolewa Tanapa ili iwe pori wapewe wao.....wachimbe dhahabu khaaa
Shida kubwa hatuna upinzani imara, ulikuwa wakati sahihi kuidondosha ccm
 
Huyo m Sunni. Wa ugoko ni wa Shia wa Iran.
APA kariakoo wabongo wengi Tu, wananyoa vibara, kufuga mandevu, na kanzu kuishia kwenye ugoko, wanajinasibu Wao ndio Al Sunna😂.

Yan hawapendizi hata kidogo, munaoneka ni watu msio starabika, watu wahovyo.

muangalieni shekh aliowaletea Dini alivyo pendeza😂
 
Mbona mnawa leble vibaya sana waislam, je hawawezi kuwa na jema hata moja!
Waislam kawaida huwa hawapendi hata faida ya ziada. Ukienda Benki unaweza kukopa fedha kwa kutumia mfumo wa Islamic Banking ambao hauna riba. Watu hawawajui waislamu ndiyo maana maneno ni mengi. Given time, watawafahamu tu na nina uhakika watatwapenda sana
 
Back
Top Bottom