Rais Samia apokea Taarifa ya Ukaguzi Maalum BoT, CAG abaini uwepo wa malipo kufanywa nje ya bajeti

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Rais Samia Suluhu Hassan leo amepokea Taarifa ya Ukaguzi Maalum kutoka kwa CAG inayohusu matumizi ya fedha zilizotolewa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuanzia Januari hadi Machi 2021. Ripoti imebaini uwepo kwa miradi ambayo haikupangwa na hivyo kufanya malipo nje ya bajeti.

1.jpg
2.jpg
 
Shujaa na Mzalendo namba moja hakuona haya!

Utashangaa si Waziri wa Fedha wa wakati huo(Dr. Mpango) wala Katibu Mkuu wa Hazina wakati huo(Mtoto wa Dada) anaewajibika kwa kujiuzulu au kuwajibishwa na Mamlaka ya Juu/uteuzi yaani Rais.

Bunge la Ndugai halina mchango wowote katika kudhibiti ufisadi na hata katika kuisimamia serikali katika mambo kama haya(bora la Mama Makinda ingawa nalo lilikuwa rubber stamp)

Tudai tu Katiba Mpya watanzania vinginevyo tutachezewa sana na hawa Ma-CCM.
 
Wanabodi,

Leo Rais wa Jamhiri ya Muungano wa Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan amepokea taarifa kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) inayohusu matumizi ya fedha za serikali kati ya Mwezi Januari mpaka Mach mwaka huu.

Katika taarifa ya ukaguzi maalumu, CAG BW. Charles Kichere zimebaini kuwa fedha zilizotolewa BoT kwa wakati huo zilifuata utaratibu maalumu isipokuwa baadhi ya malipo yaliyokuwa yanatoka hazina kuu kwenda katika taasisi mbalimbali yalibainika kuwa na mapungufu.

Zaidi soma:

E5NZ2vFXoAINf-2.jpg


E5NZ2vGWQAI0wF8.jpg
 
Wanabodi,

Leo Rais wa Jamhiri ya Muungano wa Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan amepokea taarifa kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) inayohusu matumizi ya fedha za serikali kati ya Mwezi Januari mpaka Mach mwaka huu.

Katika taarifa ya ukaguzi maalumu, CAG BW. Charles Kichere zimebaini kuwa fedha zilizotolewa BoT kwa wakati huo zilifuata utaratibu maalumu isipokuwa baadhi ya malipo yaliyokuwa yanatoka hazina kuu kwenda katika taasisi mbalimbali yalibainika kuwa na mapungufu.

Zaidi soma:

1625142343482.png
1625142385876.png







1625142385876.png
 
Rais Samia Suluhu Hassan leo amepokea Taarifa ya Ukaguzi Maalum kutoka kwa CAG inayohusu matumizi ya fedha zilizotolewa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuanzia Januari hadi Machi 2021. Ripoti imebaini uwepo kwa miradi ambayo haikupangwa na hivyo kufanya malipo nje ya bajeti.
Jazia nyama basi, huu mtori wako ni uji mtupu
 
Back
Top Bottom