Rais Samia amteua Brigedia Generali Nduku Mabele kuwa Mkuu wa JKT, na Kanali Lyanga Shausi kuwa Mkurugenzi wa SUMA - JKT

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,812
11,987
Brigedia Generali Nduku Mabele ateuliwa kuwa Mkuu wa JKT, na Kanali Lyanga Shausi Mkurugenzi wa SUMA - JKT

IMG_20210520_033110_822.jpg
IMG_20210520_033113_861.jpg
 
Naona utaratibu mpya wa kuweka wasifu unaanza kutumika, baada ya wanaJamiiForums kila mara kudai C.V za wateuliwa.

Pongezi kwa mamlaka za uteuzi ya awamu ya sita na hususan kitengo cha Kurugenzi ya habari na uhusiano cha TPDF / JWTZ, kuanza kutuwekea wasifu kamili wa waliobahatika kuteuliwa, na kwa mtindo huu taarifa kwa umma inakuwa imekamilika.
 
Naona utaratibu mpya wa kuweka wasifu unaanza kutumika, baada ya wanaJamiiForums kila mara kudai C.V za wateuliwa.

Pongezi kwa mamlaka za uteuzi ya awamu ya sita na hususan kitengo cha Kurugenzi ya habari na uhusiano cha TPDF / JWTZ, kuanza kutuwekea wasifu kamili wa waliobahatika kuteuliwa, na kwa mtindo huu taarifa kwa umma inakuwa imekamilika.
Tunarejea kwenye utawala wa uwazi
 
Mpaka sasa hivi wasifu wa Sendiga haujulikani
Naona utaratibu mpya wa kuweka wasifu unaanza kutumika, baada ya wanaJamiiForums kila mara kudai C.V za wateuliwa.

Pongezi kwa mamlaka za uteuzi ya awamu ya sita na hususan kitengo cha Kurugenzi ya habari na uhusiano cha TPDF / JWTZ, kuanza kutuwekea wasifu kamili wa waliobahatika kuteuliwa, na kwa mtindo huu taarifa kwa umma inakuwa imekamilika.
 
Back
Top Bottom