Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,987
Brigedia Generali Nduku Mabele ateuliwa kuwa Mkuu wa JKT, na Kanali Lyanga Shausi Mkurugenzi wa SUMA - JKT
Kisha imependeza kuwa Tangazo limetolewa na MMJ.Rais SSH yuko 'serious' na kutumia taaluma za Watumishi wa Umma.
Hongera Madame President, hongera Brig Gen Rajabu Mabele
Tunarejea kwenye utawala wa uwaziNaona utaratibu mpya wa kuweka wasifu unaanza kutumika, baada ya wanaJamiiForums kila mara kudai C.V za wateuliwa.
Pongezi kwa mamlaka za uteuzi ya awamu ya sita na hususan kitengo cha Kurugenzi ya habari na uhusiano cha TPDF / JWTZ, kuanza kutuwekea wasifu kamili wa waliobahatika kuteuliwa, na kwa mtindo huu taarifa kwa umma inakuwa imekamilika.
Naaam! Muhimu sana hii, utawala wa wazi unapunguza mashaka mengi!Tunarejea kwenye utawala wa uwazi
Ndiyo nini utambuzi in englishutambuzi
Naona utaratibu mpya wa kuweka wasifu unaanza kutumika, baada ya wanaJamiiForums kila mara kudai C.V za wateuliwa.
Pongezi kwa mamlaka za uteuzi ya awamu ya sita na hususan kitengo cha Kurugenzi ya habari na uhusiano cha TPDF / JWTZ, kuanza kutuwekea wasifu kamili wa waliobahatika kuteuliwa, na kwa mtindo huu taarifa kwa umma inakuwa imekamilika.
Kwani naye ni mwanajeshi? Kwani Lema akiteuliwa, zaidi ya kuwa mbunge kwa vipindi viwili, unadhani tutaelezwa nini kingine?Mpaka sasa hivi wasifu wa Sendiga haujulikani
Afisa kipenyo mbobezi.Mpaka sasa hivi wasifu wa Sendiga haujulikani
Nakumbuka ni mwalimu kitaaluma Uyo SendigaMpaka sasa hivi wasifu wa Sendiga haujulikani
Upo uzi huku utafute.Mpaka sasa hivi wasifu wa Sendiga haujulikani
Huyu Brig hapandishwi cheo ? Maana Mkuu JKT huwa Maj Gen ......au ni suala la muda ?
Hapo sawa sawa bana....yule alietolewa Mbuge sijui alikuwa masifa na hawampendi ndani jeshi.....ndio maana wamemsogeza pembeniNdani ya muda usiozidi mwaka mmoja anapandishwa kuwa meja jenerali