vonmainstein
Member
- May 20, 2021
- 5
- 0
Demotion
Hahahah ni Radio Call....una frequency ?Hiyo simu ya upepo inapigwaje jamani?
Serikalini hulipwi mara 2, unalipwa mshahara wa kazi uliyokuwa unafanya kama ni mkubwa, kama mdogo unalipwa kwa kazi unayofanyaHuyo anakula hela mara mbili.
Hela za jeshini na za ukuu wa mkoa.
Serikalini hulipwi mara 2, unalipwa mshahara wa kazi uliyokuwa unafanya kama ni mkubwa, kama mdogo unalipwa kwa kazi unayofanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah mida mizuri ni saa 9 alfajiri mpaka saa kumi kasoroNaaam! Muhimu sana hii, utawala wa wazi unapunguza mashaka mengi!
By the way Unameditate sangapi tuanze wote naona pashakucha!
Wale wafia dini wataangalia jina "Rajabu" maana wanachotaka wao teuzi zote ziwe upande wa pili.Brigedia Generali Nduku Mabele ateuliwa kuwa Mkuu wa JKT, na Kanali Lyanga Shausi Mkurugenzi wa SUMA - JKT
View attachment 1791307View attachment 1791308
Unamjua Mwakibolwa Wewe aliyekuwa Mkuu wa Oparesheni za kijeshi au unaongea tuu baada ya kushiba ubwawaBrig. Gen. Juma Nkaanga Issa Sipe wa Mkurugenzi ya Habari. Nilikuwa sijui, sio kama siku ile walimleta Mwakibolwa aeleze vifo vya wanajeshi akasema "tunawaombea marehemu wapone haraka ". Hata ule mlipuko wa mabomu kuna mmoja alitetereka kutoa maelezo.
Wanajeshi wengi hawajui kujieleza
Wote wawili ni Wasukuma kufuatana na utambulisho wa Majina.Mkuu, huyo Mabele siyo sukuma gang kweli? Naona kama jina linafanana na jamaa wa huko! Kwa kuwa wewe ni mchambuzi mzuri wa sukuma gang labda unaweza kutueleza vizuri.
ChaiHuyo anakula hela mara mbili.
Hela za jeshini na za ukuu wa mkoa.
Chai
Kaambiwa aende Simiyu akapate uzoefu, maana mkoa wa Arusha utamzidi kimo 😂Duuh kumbe kafulila karushwa juu kwa juu hadi Simiyu hahaaa.
Nazikumbuka enzi za Msigwa IkuluKumbe hizi teuzi za Kijeshi ni bora taarifa kwa umma wawe wanatoa wenyewe kama hivi. Taarifa imeandikwa kisomi na kiuwazi kabisa. Hongera kwa wateule na hongera kwa jeshi letu pendwa JWTZ.
Hahahaaaa..... Godwin Kunambi na Aboubakary Asenga!Imependeza kuweka Cv
Rais amemteua ............. Kuwa Mkurugenzi wa Jiji
Sifa alikuwa anapambana ITV vizuri katika kipindi cha Mapambano ya hoja
Alisoma Kayumba
Mzalendo kweli kweli
Kuna Mjeda mmoja nadhani ni Meja anaishi Goba yupo vizuri sana kimaisha. Na hata hao wengine sijui kapteni na nyota 2 sijawahi kuona wenye dhiki. Wengi ninaowajua wana nyumba za Maana na Magari. Hata wale wanaovaa lisaa.Jeshini kwanzia cheo cha Luteni Kanali kwenda juu kuna ahueni kubwa, hakuna njaa hata moja!! ila Meja kushuka chini tena bila kitengo ni njaa kali tu, unaishia kupigiwa saluti ila mfukoni majanga.
Unajua vigezo hadi mtu akiseme yupo vizuri kimaisha anatakiwa aweje? nafikiri hapa ndipo tunatofautiana.Kuna Mjeda mmoja nadhani ni Meja anaishi Goba yupo vizuri sana kimaisha. Na hata hao wengine sijui kapteni na nyota 2 sijawahi kuona wenye dhiki. Wengi ninaowajua wana nyumba za Maana na Magari. Hata wale wanaovaa lisaa.
Hivyo wewe ni Muongo. Huenda umechukuwa reference ya ndugu yako Mlevi
ebu vitaje ww hivyo vigezo vyakoUnajua vigezo hadi mtu akiseme yupo vizuri kimaisha anatakiwa aweje? nafikiri hapa ndipo tunatofautiana.
Mkuu kwa umakini wako wa kuchunguza nakuteua kuwa Naibu Mchunguzi Mkuu wa JF 😂😂Hiyo simu ya upepo inapigwaje jamani?
Nani kakudanganya? unapewa mshahara mmoja mkubwa kwingineko posho tuHuyo anakula hela mara mbili.
Hela za jeshini na za ukuu wa mkoa.