T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 10,650
- 34,934
Brig. Gen. Juma Nkaanga Issa Sipe wa Mkurugenzi ya Habari. Nilikuwa sijui, sio kama siku ile walimleta Mwakibolwa aeleze vifo vya wanajeshi akasema "tunawaombea marehemu wapone haraka ". Hata ule mlipuko wa mabomu kuna mmoja alitetereka kutoa maelezo.Brigedia Generali Nduku Mabele ateuliwa kuwa Mkuu wa JKT, na Kanali Lyanga Shausi Mkurugenzi wa SUMA - JKT
View attachment 1791307View attachment 1791308
Wanajeshi wengi hawajui kujieleza