Sema hivi sio kumtafutia sababu,sababu zipo tena zakutosha Sana.Bwana mdogo Sabaya Hakujifunza kwa pacha mwenzake Paul Makonda Baada ya kutumbuliwa kwake namna gani jamii ilimpokea.
Nilishangaa sana Juzi alipokuwa akihojiwa kwenye tawi la ccm ( clouds media) alikuwa anaongea mpaka anawapindukia watangazaji kama yuko sitting room alitamba zaid kiasi cha kum stopisha Kija kuwa asiwe na haraka yaani alikuwa na confidence ya hovyo sana.
Na ili nililitegemea maana malalamiko yalikuwa mengi mno juu yake.
Swala la kupisha uchunguzi dhidi yake ni kumtafutia sababu ya kumbananisha kwenye kona.
Mungu ni mwema siku zote.
Kumbe huu UJINGA wake aliuanza muda mrefu toka akiwa shule. Sijafaham Vetting ya kuwapata viongozi wa Umma inakuwa vipi mpaka watu kama hawa wanapenyaMiaka 35 ni sahihi ,kipind anasoma Ikizu sekondari akiwa form four mi nilikuwa form one mwaka 2006...jamaa alikuwa mbabe Sana , alikuwa na kundi la wannyanyua vyuma , yeye alikuwa wa mwisho kuingia dining hall na kundi lake na haiwezekani kuruhusiwa Kula bila yeye na kundi lake hawajafika , ni mtu wa system pia , Baba yake by that time alikuwa ni mkuu wa wilaya ya Serengeti kama sikosei
Hii ni awamu ya 6 bwashee.Naomba kauli yako kuhusu hii habari ya sabaya...
Mama anasoma comments zoteeee KWA furaha hii ya wananchi hawez mrudishaHaya.
Ndo maana nimewaambia bakisheni akiba ya maneno..
Kusimamishwa.
Kutenguliwa haya NI MANENO mawili tofauti.
Muwe mnaelewa.
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomkabili kuanzia leo, Mei 13, 2021
Aidha, Rais Samia amefanya teuzi za Viongozi mbalimbali ambao uteuzi wao unaanza leo
Mbowe: Ole Sabaya akiwa na gari lenye namba UN na silaha za moto aliongoza genge la wahalifu kwa lengo la kunidhuru na kuniua
DC wa Hai Ole Sabaya akiwa na gari yenye namba @UN na silaha nzito za moto ameongoza genge la wahalifu kuvamia Hotel ya Kitalii ya Aishi, Machame kwa lengo la kunidhuru na kuniua. Wameteka, kutesa na kuumiza walinzi wawili wa hotel. Wamepora silaha yao na kuwatekeleza Arusha Rd. Pia soma...www.jamiiforums.com Ole Sabaya ukipona hii panguapangua, chinja kondoo
Huu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogo wangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya. Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka...www.jamiiforums.com Uchaguzi 2020 - Lema: Msafara wa mgombea Urais, Tundu Lissu washambuliwa vibaya katika Ofisi ya CHADEMA Wilayani Hai, Kilimanjaro
Aliyekuwa Mbunge Arusha Mjini, Godbless Lema kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Twitter amesema msafara wa Tundu Lissu umevamiwa katika Ofisi za Chama hicho Wilayani Hai Amesema "Msafara wa mgombea Urais Mh Tundu Lissu umevamiwa na kushambuliwa vibaya katika ofisi ya CHADEMA HAI,magari yame...www.jamiiforums.com
Habari ndo hiyo
Nawatakia Eid Njema.
====
Alizaliwa mwaka 1980 katika mkoa wa Arusha
Hayati John Pombe Magufuli tarehe 28 Julai, 2018 alimteua Sabaya kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai
CHAMA: CCM
#NA SASA KAZI IMEANZA#
TAARIFA ZA ELIMU YAKE
SVISC. MASSACHUSET UNIVERSITY USA
BSC.ED ST JOHN UNIVERSITY DODOMA
UNED: SINIOUR SIX –BUGEMA HIGH SCHOOL-UGANDA.
FORM IV: IKIZU SEC SCHOOL
STD VII: SAMBASHA PRIMARY SCHOOL.
OTHERS: IST: PRESIDENT ST. JOHN’S UNIVERSITY DODOMA 2007.
CHAPEL PREFECT BUGEMA HIGH SCHOOL UGANDA.
CEO: TANZANIA YOUTH DEVELOPMENT CENTRE
SEMINARS BSYMPOSIUM: S. KOREA YOUTH CONFERENCE ,SOUL
YOUTH SUMMIT COMMISSIONED BY HON. PINDA TYDC:2010
CAPRIPOINT YOUTH EMPOWERMENT 2014
Katika historia yetu huyu ndiye aliyekuwa kiongozi jambazi akisaidiwa na makonda haileweki Magufuri sababu ipi alikuwa hawajui hawaHii inastahili kabisa kuitwa zawadi ya Idd kwa watanzania
Na wewe unadhani mpaka amsimamishe Rais hakuwa na hizo taarifa kutoka katika vyanzo vyake?hapo kamuweka pembeni jela inafuatiaAmemsimamisha kupisha uchunguzi, hajamfukuza kazi. Kuna ubaya kuchunguza tuhuma za kiongozi wa umma? Unadhani Rais hana vyanzo vyake vya taarifa?
Hii ni exclusiveUnamaanisha nini katika mustakabali wa mkuu wa Wilaya na rais?
Hii ni awamu ya 6 bwashee.
Mabadiliko makubwa yanakuja!
Suitable for some activities past midnight.Hahaha
You mean handsome??
Wewe sio wa kutufundisha! Maisha ni haya haya! Tulia, anachunguzwa sio ametengukiwa tu, usitufanye wakinga
Wameufyataaaa thubutu walete ngebe watu wawasagie kunguni ....🤣🤣Jamani hivi yule wa Mbeya na yule wa Iringa wapo kweli !!!???
Maana tangu "MWANAKWENDA ZAKE na AENDE" alipoondoka kama siwasikii tena naona wana act low profile sana
... au ilikua nguvu ya Azam Cola gesi imeisha na wao chali pressure zinapanda na kushuka
Ama kweli kila zama na Nabii wake !!!
Mkuu Bora angetenguliwa, ila kupisha uchunguzi wa tuhuma ni pakubwa zaidi.Haya.
Ndo maana nimewaambia bakisheni akiba ya maneno..
Kusimamishwa.
Kutenguliwa haya NI MANENO mawili tofauti.
Muwe mnaelewa.
Mhh how so😂?He is good looking though.
Who agrees?
Bahati nzuri you can't fool all the people all the time.Kuna watu wana maneno sana humu.
Ni wachonganishi na wafitini mno