Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Sema hivi sio kumtafutia sababu,sababu zipo tena zakutosha Sana.
 
Kumbe huu UJINGA wake aliuanza muda mrefu toka akiwa shule. Sijafaham Vetting ya kuwapata viongozi wa Umma inakuwa vipi mpaka watu kama hawa wanapenya
 
Haya.
Ndo maana nimewaambia bakisheni akiba ya maneno..
Kusimamishwa.
Kutenguliwa haya NI MANENO mawili tofauti.
Muwe mnaelewa.
Mama anasoma comments zoteeee KWA furaha hii ya wananchi hawez mrudisha
 



 
Amemsimamisha kupisha uchunguzi, hajamfukuza kazi. Kuna ubaya kuchunguza tuhuma za kiongozi wa umma? Unadhani Rais hana vyanzo vyake vya taarifa?
Na wewe unadhani mpaka amsimamishe Rais hakuwa na hizo taarifa kutoka katika vyanzo vyake?hapo kamuweka pembeni jela inafuatia
 
Hii ni awamu ya 6 bwashee.

Mabadiliko makubwa yanakuja!
 
Wewe sio wa kutufundisha! Maisha ni haya haya! Tulia, anachunguzwa sio ametengukiwa tu, usitufanye wakinga

Wameufyataaaa thubutu walete ngebe watu wawasagie kunguni ....🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…