Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Huyu Madam SSH anafanya kazi au anafanya maamuzi kwa kusikiliza kelele na porojo za mitandaoni.

Ni hatari sana kuwa na Rais anayesikiliza umbea, udaku na mihemuko ya mitandaoni kisha anachukua maamuzi ili kuwaridhisha followers wake.
Kaaazi kweli kweli!!!
Ni Jambo zuri Sana mama anafanya, kiongozi ni kusikiliza...
 
Mama tunazidi kukuelewa ,hii ni zawadi ya IDD kwa wana Hai, na katika tuhuma zinazomkabili msisahau ulevi wa pombe wa kupindukia alionao
 
Aende akachunge ng'ombe za familia. Wakati wa kutawaliwa au wa kuwa na viongozi wendawazimu, nadhani ufikie tamati sasa!
Wakati ana chunga mifugo rungu itumike kuchambia
Tuna hitaji kusikia yuko Kisongo ana rusha ndege.
 
Jamani hivi yule wa Mbeya na yule wa Iringa wapo kweli !!!???

Maana tangu "MWANAKWENDA ZAKE na AENDE" alipoondoka kama siwasikii tena naona wana act low profile sana

... au ilikua nguvu ya Azam Cola gesi imeisha na wao chali pressure zinapanda na kushuka

Ama kweli kila zama na Nabii wake !!!
Na umegundua kuwa hata mama wa afya kaacha ukomedi?
 
Yaani huyu mama anajua kumalizia sikukuu yangu vizuri kweli, hela sina Ila napata raha tu.

Walikuja kumsafisha humu tukawaambia katika mambo aliyobugi ni kufanya ile interview ya clouds, pale amemchokonoa pweza aisee. Mama akikaa kimya anatafuta namna ya kumuondoa kimya Ila amemlazimisha mama amuondoe kwa kashfa akazijibu.

Meaning ameshtakiwa kiuongozi aisee hii sio kutenguliwa amefukuzwa kwa kashfa. Ameharibu CV.

Sasa waliokuwa wanamtetea wakamsaidie kujibu tuhuma. Kenge wakubwa
 
Wewe umezaliwa tz hii, why wajitoa ufaham,KWA nini asemwe Sabaya au mwingine na sio watu Kama MTAKA, mtafutwa Sana tu hakuna namna alihali jamii uliyotumwa kuifanyia kazi mkageuka laana kwao
Huyu Madam SSH anafanya kazi au anafanya maamuzi kwa kusikiliza kelele na porojo za mitandaoni.

Ni hatari sana kuwa na Rais anayesikiliza umbea, udaku na mihemuko ya mitandaoni kisha anachukua maamuzi ili kuwaridhisha followers wake.
Kaaazi kweli kweli!!!

Huyu Madam SSH anafanya kazi au anafanya maamuzi kwa kusikiliza kelele na porojo za mitandaoni.

Ni hatari sana kuwa na Rais anayesikiliza umbea, udaku na mihemuko ya mitandaoni kisha anachukua maamuzi ili kuwaridhisha followers wake.
Kaaazi kweli kweli!!!
 
Sabaya na Bashite walikua maraika watesaji na watoa roho wa mtukufu Magufuli .
Mambo tuliopitia watanzania , hatutawasamehe CCM.
 
Huyu Madam SSH anafanya kazi au anafanya maamuzi kwa kusikiliza kelele na porojo za mitandaoni.

Ni hatari sana kuwa na Rais anayesikiliza umbea, udaku na mihemuko ya mitandaoni kisha anachukua maamuzi ili kuwaridhisha followers wake.
Kaaazi kweli kweli!!!
Hahahaha hahahaha, subiri mama awatie kidole cha jicho
 
Back
Top Bottom