Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Hivi hamjui kujifunza na kusoma alama za nyakati? Hamuoni kuwa kila tukio mnalodandia haliwatoi mrithi?
Mmekomaa na kushangilia Sabaya kusimamishwa kazi.
Tukwaeleza ukweli hakuna political gain mtakayoipata. Sasa mmepata majibu.
Muwe mnapita mitaani na kujaribu kama mmepata kick za kisiasa baada ya kudandia jambo.
Anywa mlishakubali matokeo na kuwa washabiki wa kupiga kelele.
Mmekomaa na kushangilia Sabaya kusimamishwa kazi.
Tukwaeleza ukweli hakuna political gain mtakayoipata. Sasa mmepata majibu.
Muwe mnapita mitaani na kujaribu kama mmepata kick za kisiasa baada ya kudandia jambo.
Anywa mlishakubali matokeo na kuwa washabiki wa kupiga kelele.